Waziri Nape: Huduma ya Internet imerejea kwa 94%

Waziri Nape: Huduma ya Internet imerejea kwa 94%

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Kwenye ukurasa wake wa X (Twiiter) Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Ndg. Nape Nnauye amesema huduma za internet zimerejea kwa 94% na sasa wanafanya jitihada huduma hiyo irejee kwa 100%

"Kazi Inaendelea vizuri. Mpaka mchana wa leo Tarehe 15/5/2024, Huduma za Internet zimerejea kwa 94%! Nawapongeza sana TCRA na watoa huduma kwa kazi nzuri ya kurejesha huduma. Tumalizie kipande kilichobaki." - Nape Nnauye

1715775668729.png
 
Hamna lolote, bado tatizo lipo palepale mimi huu uzi nimetumia dakika kadhaa kuufungua na YouTube ndio kabisa haifunguki.

Haraka ya kupost ya nini? Asubiri ikae sawa ndio aseme.
 
Haya sasa mitandao ya simu mtulipe bando zetu 😁😂😁😁😁 ila huyu jamaa ni form 4 failure
 
Hamna lolote, bado tatizo lipo palepale mimi huu uzi nimetumia dakika kadhaa kuufungua na YouTube ndio kabisa haifunguki.

Haraka ya kupost ya nini? Asubiri ikae sawa ndio aseme.
Nunua Bundle
 
Hamna lolote, bado tatizo lipo palepale mimi huu uzi nimetumia dakika kadhaa kuufungua na YouTube ndio kabisa haifunguki.

Haraka ya kupost ya nini? Asubiri ikae sawa ndio aseme.
Naunga mkono hoja dada yangu
 
SEMENI WAMEREJESHA.sio mmerejesha mna nini ninyi?sio tcra wala hayo makampuni ya simu yenye uwezo wa kurudisha internet
 
Back
Top Bottom