Waziri Nape: Kuna tofauti Kati ya Tozo na makato ya miamala ya benki, Tozo za miamala ya Simu tumezipunguza kwa 50%

Waziri Nape: Kuna tofauti Kati ya Tozo na makato ya miamala ya benki, Tozo za miamala ya Simu tumezipunguza kwa 50%

Waziri wa Tehama mh Nape amesema Serikali ya awamu ya 6 ni sikivu ndio sababu kilio cha Tozo kimesikilizwa na kushughulikiwa

Nape alikuwa anajibu swali la Salim Kikeke wa BBC aliyetaka kujua Msimamo wa Serikali kuhusu Tozo

Nape amesema baada ya kilio cha Tozo kusikika walichukua hatua ya kuzipunguza kwa takribani 50©

Kwa yale makato ya miamala ya benki Nape amesema hilo liko chini ya Wizara ya Fedha ambao ndio watalitolea ufafanuzi lakini pale Bungeni waliweka baadhi ya misamaha ( exemptions) ili kuondoa double taxation

Waziri Nape alikuwa anahojiwa na mtangazani maarufu duniani Salim Kikeke wa BBC

Source BBC Dira ya Dunia
Huyu Nape aache ujinga. Swala siyo ukubwa wa matozo bali uwepo wa hizo tozo. Kinachohojiwa ni uhalali wa kuwatoza watu for the same money ..... imagine una mshahara wako bank umeiningizwa, ukiutoa unakatwa tozo, hiyo pesa ukiituma kwa mama yako kijijini unakatwa tozo .... mama akipokea anakatwa tozo ..... is that correct!!?
 
Waziri wa Tehama mh Nape amesema Serikali ya awamu ya 6 ni sikivu ndio sababu kilio cha Tozo kimesikilizwa na kushughulikiwa

Nape alikuwa anajibu swali la Salim Kikeke wa BBC aliyetaka kujua Msimamo wa Serikali kuhusu Tozo

Nape amesema baada ya kilio cha Tozo kusikika walichukua hatua ya kuzipunguza kwa takribani 50©

Kwa yale makato ya miamala ya benki Nape amesema hilo liko chini ya Wizara ya Fedha ambao ndio watalitolea ufafanuzi lakini pale Bungeni waliweka baadhi ya misamaha ( exemptions) ili kuondoa double taxation

Waziri Nape alikuwa anahojiwa na mtangazani maarufu duniani Salim Kikeke wa BBC

Source BBC Dira ya Dunia
Ukiendekeza kusoma na kumsikiliza Nape, unaweza ukaishia kuwa mtukanaji ukatupwa kuzimu baada ya maisha ya hapa duniani
 
Lipa Tozo kwa maendeleo ya Taifa
Huku nilipo nalipa tozo na matokeo ya malipo ya tozo nayaona bila hata kuuliza.

Ninyi huko mnalipa tozo kwa viongozi waendeshe magari ya kifahari huku wakiwatimulia vumbi ndio uone tofauti.

Kataa kuwa mjinga mara moja.
 
Waziri wa Tehama mh Nape amesema Serikali ya awamu ya 6 ni sikivu ndio sababu kilio cha Tozo kimesikilizwa na kushughulikiwa

Nape alikuwa anajibu swali la Salim Kikeke wa BBC aliyetaka kujua Msimamo wa Serikali kuhusu Tozo

Nape amesema baada ya kilio cha Tozo kusikika walichukua hatua ya kuzipunguza kwa takribani 50©

Kwa yale makato ya miamala ya benki Nape amesema hilo liko chini ya Wizara ya Fedha ambao ndio watalitolea ufafanuzi lakini pale Bungeni waliweka baadhi ya misamaha ( exemptions) ili kuondoa double taxation

Waziri Nape alikuwa anahojiwa na mtangazani maarufu duniani Salim Kikeke wa BBC

Source BBC Dira ya Dunia
Wengi wanataka kukimbilia Kenya. Maisha bongo ni magumu kwa wananchi
 
Nape ndio kabisa angekaa kimya ili asichafue hali ya hewa kwani hekima sdhani kama ziko vyema.
 
Back
Top Bottom