Waziri Nape kwanini husemi ni vigezo gani ambavyo Starlink hawajatimiza? Au wamegoma sharti la kuzima mtandao muda wowote mkiamua?

Kigezo ni je mtatupa uthibiti kama wakati wa uchaguzi tufunge internet...
Yeye anachotaka ni access control ya data Kwa maslahi ya chama...
Na ndio lengo ya kutaka ofisi hapa ni ili wadeal na Mtu uso Kwa USO hakuna kingine
 
Kigezo ni je mtatupa uthibiti kama wakati wa uchaguzi tufunge internet...
Yeye anachotaka ni access control ya data Kwa maslahi ya chama...
Na ndio lengo ya kutaka ofisi hapa ni ili wadeal na Mtu uso Kwa USO hakuna kingine

hapo juu Ujerumani anamakubaliano yake ya ziada kulingana na sheria zao... unaweza ipitia hiyp sheria inataka nini... na sisi tukiwa na matakwa yetu ni sisi... hawa na taka mpaka mteja apewe taarifa za uhakika wa speed ya matumizi ili ikishuka kulikokawaida ajieleze...

UK na nchi nyingi za Ulaya hii ndio aina ya makubaliano yao





Zambia, Kenya na nchi nyingi za Afrika hii ndio aina ya makubaliano yao




Tuendelee kuiamini serikali yetu... serikali za afrika hazina mpango na maswala ya mazingira, wenzetu ulaya huko nk wanazingatia vingi kwenye mikataba yao mpaka maswala ya mazingira


 
 
🤣
 
Hoja yako dhaifu sana mkuu, huduma iruhusiwe na watakaomudu wajiunge, kwani ina madhara gani wakiwepo. Wangapi wanamudu kununua hizo simu za kuanzia USD 2000? mbona hazijazuiliwa kwa sababu wengi hawazimudu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…