Katika hari ya kawaida, Ni ujinga sana kutetea ghalama za bundle kwamba zimeshuka.
Na naamini Nape anajua kabisa either Rais hanunui bundle na hivyo hajui ghalama zake ama anaamuni Rais hawezi mfanya chochote.
Watanzania wote wanalia na hizo ghalama lakini yeye anatetea zimeshuka. Nape ni Bomu. Huyu anafaa kuwa kijijini analima.
Hapo hapo kashindwa anwani za makazi.