Waziri Nape waelekeze DSTV na AZAM TV Waweke option ya kulipia kwa match unayotaka kuangalia

Waziri Nape waelekeze DSTV na AZAM TV Waweke option ya kulipia kwa match unayotaka kuangalia

sem2708

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,414
Reaction score
4,534
Kichwa cha habari kinajieleza, nchi nyingine wanaruhusu kulipia kwa match ama kuchagua movie unayotaka unalipia, ama pay per View, why not do the same ?

Nawasilisha

-----‐--------
Hawa DSTV tatizo lao wanataka faida kubwa kwa haraka, wenzao AZAM TV japokuwa hawaweki pesa kubwa lakini wana wateja wengi zaidi, na is just a matter of time , DSTV wasipobadilisha business model yao wataondolewa sokoni na aidha AZAM TV or another rival who is more consumer oriented. Kilichowafanya Google kuwa giant na ku survive a test of time, ni model yao ya 'long tail ', yaani kutobagua wateja wadogo wadogo, na hiyo model ndio wanaitumia AZAM TV, sasa AZAM TV wakijiongeza kidogo tu, wakaja na model hii ninayopendekeza watawatoa rivals sokoni.
 
Kichwa cha habari kinajieleza, nchi nyingine wanaruhusu kulipia kwa match ama kuchagua movie unayotaka unalipia, why not do the same ?

Nawasilisha
Kweli ila sidhani kama dstv watakubali
 
Nataka kuondoa hizi channels za tamthlia, inawezekana??
 
Sio malalamiko, believe me or not, that is the future! And it is the most sustainable and fair business model
HIVI UNAJUA WANALIPA KIASI GANI KUPATA RIGHTS ZA KUONYESHA HIZO MECHI HIYO OPTION YA PAY PER VIEW HAILIPI UNAKUMBUKA GTV WALIVYOKUJA WAKAFILISIKA DSTV WAKAZINUNUA RIGHTS TENA
 
HIVI UNAJUA WANALIPA KIASI GANI KUPATA RIGHTS ZA KUONYESHA HIZO MECHI HIYO OPTION YA PAY PER VIEW HAILIPI UNAKUMBUKA GTV WALIVYOKUJA WAKAFILISIKA DSTV WAKAZINUNUA RIGHTS TENA
Kwa kweli sijui, I am just expressing my wishes as a consumer
 
Kichwa cha habari kinajieleza, nchi nyingine wanaruhusu kulipia kwa match ama kuchagua movie unayotaka unalipia, ama pay per View, why not do the same ?

Nawasilisha
Wazo lako zuri sana mkuu, fungua kituo tekeleza Hilo wazo utapata watumiaji wengi kuliko DStv
 
Hawa jamaa nilishawahi kuwashauri hii kitu waliponipigia simu ajabu wanapiga danadana tu.

Nadhani hii kitu badala ya kuwapunguzia itawaongezea mapato.

Mfano mimi nina dstv package ya compact 51k sasa kuna mechi za UEFA nataka kuangalia inanilazimu kwenda bar kucheki wakati naweza kulipa kwa mechi moja labda elfu 2 just for a single match then nakuwa bado nina package yangu ya 51k sasa hapo ubaya uko wapi?
 
Kama shida yako mpira download hio app hapo kila mechi utacheki

Epl,uefa kila wiki

Cha kufanya tafuta dongle u-connect simu na Tv.

Kikubwa uwe bando na internet ya uhakika
XRecorder_Edited_19022022_200252.jpg
 
Back
Top Bottom