LGE2024 Waziri Ndejembi ajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Dodoma

LGE2024 Waziri Ndejembi ajiandikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Dodoma

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1728657640491.png

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Chamwino mkoani Dodoma, Mhe. Deogratius Ndejembi amejiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, katika kitongoji cha Mpela Wilaya Chamwino, Dodoma leo.

Zoezi hilo limeanza leo nchi nzima na kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan na litaendelea hadi Oktoba 20, 2024.
 
Back
Top Bottom