Waziri Ndubalo usijitumbukize kwenye mgogoro na mashabiki Bali jikite katika kuwapa uraia wachezaji wenye kipaji walipambanie taifa letu

Msaada please; ikiwa mimi ni shabiki ndaki wa al ahly... sina passport nimekulia kwa mtogole... sina jezi nyekundu nina alegy nayo... naweza tinga kanguo kangu ka njano? Au nitamkera waziri?
 
Shukurani.

Sasa hii umemtumia Ngurumo au mimi? Au mimi ndiyo ushanichanganya na Ngurumo?
πŸ˜€πŸ˜€ nimechanganya madesa lengo nilikuwa ukaa galie part2 ya mabeyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…