Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Huko Usa haki zikivunjwa unaenda mahakamani na mahakama ipo hutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takataka tupuHuko Usa haki zikivunjwa unaenda mahakamani na mahakama ipo hutuView attachment 2597231
Wenye mawazo kama haya ni wajinga.binadamu anaongozwa kwa taratibu sio utashi au matakwa yake mwenyewe.kuwe na katiba nzuri kuwe na sheria nzuri kuwe na taasisi na mifumo imara ya kuendesha nchi alafu tuone huyo atakayechezea nchi.tukisema nchi iendeshwe kwa dhimira njema za mtu atakavyojisikia hiyo itakua ni nchi ya ovyo kwasababu waliopo ndo hawa hawa.Waziri kaelezea kwa mapana zaidi kwa kifupi sana lakini alichomaanisha waziri ni kwamba katiba mpya haitabadili watu wabaya kuwa wema kwa maana rahisi ni kwamba mtu mbaya ataendelea kufanya ubaya kwa dhamira na nia sio kwa sababu ya katiba mpya.
Hatutaki katiba ya kubadili watu kuwa malaika, bali katiba yenye meno, sio hii katiba inayofuatwa kwa utashi wa rais aliyeko madarakani.Waziri kaelezea kwa mapana zaidi kwa kifupi sana lakini alichomaanisha waziri ni kwamba katiba mpya haitabadili watu wabaya kuwa wema kwa maana rahisi ni kwamba mtu mbaya ataendelea kufanya ubaya kwa dhamira na nia sio kwa sababu ya katiba mpya.
Tangu katiba ya 1977 kuna mabadiliko mangapi yamefanywa ? Ni zaidi ya mabadiliko makubwa 13 hivyo katiba inabadilika kulingana na mahitaji ya wakati, kulingana na sera za nchi na hata matamanio ya watawala au Wananchi. Hata itakayoitwa katiba mpya ikiwepo Kuna siku atapatikana kiongozi wa kuibadilisha na mambo yakawa ni Yale yale ya kudai katiba mpya.Hatutaki katiba ya kubadili watu kuwa malaika, bali katiba yenye meno, sio hii katiba inayofuatwa kwa utashi wa rais aliyeko madarakani.
Tangu katiba ya 1977 kuna mabadiliko mangapi yamefanywa ? Ni zaidi ya mabadiliko makubwa 13 hivyo katiba inabadilika kulingana na mahitaji ya wakati, kulingana na sera za nchi na hata matamanio ya watawala au Wananchi. Hata itakayoitwa katiba mpya ikiwepo Kuna siku atapatikana kiongozi wa kuibadilisha na mambo yakawa ni Yale yale ya kudai katiba mpya.
Cha msingi tuanze kubadili watu kwanza, tuwajengee wa kuishi kwenye maadili
Umeandika takataka, nenda Kenya, Wana katiba mpya, bado wanabishana bei ya unga, narudia bei ya unga, sio barabara za ramiHuko Usa haki zikivunjwa unaenda mahakamani na mahakama ipo hutuView attachment 2597231
Acha upuuzi. Hii katiba ya sasa inaruhusu raia kumshitaki rais au mbunge akifanya ufisadi?Tangu katiba ya 1977 kuna mabadiliko mangapi yamefanywa ? Ni zaidi ya mabadiliko makubwa 13 hivyo katiba inabadilika kulingana na mahitaji ya wakati, kulingana na sera za nchi na hata matamanio ya watawala au Wananchi. Hata itakayoitwa katiba mpya ikiwepo Kuna siku atapatikana kiongozi wa kuibadilisha na mambo yakawa ni Yale yale ya kudai katiba mpya.
Cha msingi tuanze kubadili watu kwanza, tuwajengee wa kuishi kwenye maadili
Puuzi kubwa huna akili. Unatumia makalio kuwaza. Bila katiba madhubuti hayo maandamnao yangefanyika.? Tunataka muwajibishweUmeandika takataka, nenda Kenya, Wana katiba mpya, bado wanabishana bei ya unga, narudia bei ya unga, sio barabara za rami
Kwa hiyo mabadiliko ya Katiba mpya yanayopiganiwa na CHADEMA lengo ni Rais ashtakiwe ? Basi tuna safari ndefu sana na wengi wanaolilia katiba mpya hawajui lolote ila ni mkumbo tu.Acha upuuzi. Hii katiba ya sasa inaruhusu raia kumshitaki rais au mbunge akifanya ufisadi?
Umeandika takataka, nenda Kenya, Wana katiba mpya, bado wanabishana bei ya unga, narudia bei ya unga, sio barabara za rami
Kwa hiyo mabadiliko ya Katiba mpya yanayopiganiwa na CHADEMA lengo ni Rais ashtakiwe ? Basi tuna safari ndefu sana na wengi wanaolilia katiba mpya hawajui lolote ila ni mkumbo tu.
Tuacheni kupotosha kwamba katiba ya JMT ni Rais na Rais ndiye Katiba na tukibadili mtazamo huu basi hatutalaumu.Hii katiba ya 77 inatoa mamlaka ya uungu kwa rais, ndio maana mabadiliko yake yanategemea hisani ya rais, lakini tukiwa na katiba iliyo juu ya rais na kulindwa na mifumo sio rahisi kutokea kiongozi akaichezea. Unapotaka Kupata katiba mpya, kisha wale wasioitaka ndio wakawa vinara wa kutaka kuiandika ni wazi tutabaki kila siku tunadai katiba.
Ili tuweze kupata katiba ya kweli ya wananchi, ni aidha yatokee machafuko, au mapinduzi ya kijeshi, hapo tutapata katiba ya kweli ya wananchi.
Umeandika ujingaKatiba inahusika na mambo ya utawala, na wala sio chakula. Usichanganye katiba na tumbo.
Wewe inatakiwa usafishwe mtaroPuuzi kubwa huna akili. Unatumia makalio kuwaza. Bila katiba madhubuti hayo maandamnao yangefanyika.? Tunataka muwajibishwe
Tuacheni kupotosha kwamba katiba ya JMT ni Rais na Rais ndiye Katiba na tukibadili mtazamo huu basi hatutalaumu.
Hata Kama katiba itashtaki Rais kama mnavyotaka ni lazima mtambue itampa nafasi ya kujitetea na hapo lazima atashinda, kwa nini? Rais ni taasisi na anatenda kwa kadiri ya mahitaji ya Taasisi kwa maana anapokea na kupewa ushauri. Tafsiri yake kosa la Rais ni kosa la kitaasisi zaidi, sasa unafikir kweli ni Rais kumshinda ukimshtaki?
Jitahidi kupunguza utoto kwenye mambo serious.Umeandika ujinga
Tatizo lenu mashoga mnalazimisha kulawitiwaWewe inatakiwa usafishwe mtaro