Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Siyo hilo tu. Katiba ya Kenya inasema uteuzi wa Makatibu Wakuu ( CAS), lazima uidhinishwe na bunge. Lakini mwezi March Rutto aliteua na kuapisha Makatibu Wakuu bila idhini ya BungeUmeandika takataka, nenda Kenya, Wana katiba mpya, bado wanabishana bei ya unga, narudia bei ya unga, sio barabara za rami