Waziri Ndumbaro hafai ,hafai hafai....

Waziri Ndumbaro hafai ,hafai hafai....

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Waziri Ndumbaro hafai popote huku kwenye michezo ndo hafai hafai kabisa analeta migogoro na anazidi kuharibu...


Juzi watanzania waliona kilichotokea kwenye boxing....Ugomvi wa kibishara WA mapromota WA ngumu umeleta aibu kubwa sana.....huku waziri akiwa mshiriki Mkuu....

Promota ambae ana mkataba na Azam TV ..kanyang'anywa pambano lake la Mwakinyo na Mgana Allotey lilitakiwa kufanyika ijumaa ukumbi WA warehouse Masaki na lioneshwe Azam TV na limetangazwa mwezi mzima...badala yake promota mwingine akaliiba Hilo pambano limekuja fanyika Jumamosi.. ukumbi huo huo na likaonyeshwa na Millard Ayo TV....yaani jana...huku wale wote tuliolipia king'amuzi azam TV tukiwa tumetapeliwa kisa tu mapromota wanaibiana waziri kupitia kamisheni ya ngumi aliyoiunda mwenyewe baada ya kuivunja ile iliyokuwa inasimamia vizuri na kuchaguliwa na wadau ...
Huyu Waziri hafai hata kuwa mjumbe WA serikali ya mtaa
 
Waziri Ndumbaro hafai popote huku kwenye michezo ndo hafai hafai kabisa analeta migogoro na anazidi kuharibu...


Juzi watanzania waliona kilichotokea kwenye boxing....Ugomvi wa kibishara WA mapromota WA ngumu umeleta aibu kubwa sana.....huku waziri akiwa mshiriki Mkuu....

Promota ambae ana mkataba na Azam TV ..kanyang'anywa pambano lake la Mwakinyo na Mgana Allotey lilitakiwa kufanyika ijumaa ukumbi WA warehouse Masaki na lioneshwe Azam TV na limetangazwa mwezi mzima...badala yake promota mwingine akaliiba Hilo pambano limekuja fanyika Jumamosi.. ukumbi huo huo na likaonyeshwa na Millard Ayo TV....yaani jana...huku wale wote tuliolipia king'amuzi azam TV tukiwa tumetapeliwa kisa tu mapromota wanaibiana waziri kupitia kamisheni ya ngumi aliyoiunda mwenyewe baada ya kuivunja ile iliyokuwa inasimamia vizuri na kuchaguliwa na wadau ...
Huyu Waziri hafai hata kuwa mjumbe WA serikali ya mtaa
Iv huyu ni mmbunge wa jimbo gani iv tukumbushane
 
Wote na Naibu wake hawafai na waondolewe . Nakumbuka Bodi ya ngumi za kulipwa Tanzania iliwahi kumpa adhabu Mwakinyo lakini Mwana FA alitumia kofia yake kama Naibu Waziri Hadi Ile adhabu ikabatirishwa za ndaaaaani ni kuwa wawili hao ni mtu na meneja wake.
 
Waziri Ndumbaro hafai popote huku kwenye michezo ndo hafai hafai kabisa analeta migogoro na anazidi kuharibu...


Juzi watanzania waliona kilichotokea kwenye boxing....Ugomvi wa kibishara WA mapromota WA ngumu umeleta aibu kubwa sana.....huku waziri akiwa mshiriki Mkuu....

Promota ambae ana mkataba na Azam TV ..kanyang'anywa pambano lake la Mwakinyo na Mgana Allotey lilitakiwa kufanyika ijumaa ukumbi WA warehouse Masaki na lioneshwe Azam TV na limetangazwa mwezi mzima...badala yake promota mwingine akaliiba Hilo pambano limekuja fanyika Jumamosi.. ukumbi huo huo na likaonyeshwa na Millard Ayo TV....yaani jana...huku wale wote tuliolipia king'amuzi azam TV tukiwa tumetapeliwa kisa tu mapromota wanaibiana waziri kupitia kamisheni ya ngumi aliyoiunda mwenyewe baada ya kuivunja ile iliyokuwa inasimamia vizuri na kuchaguliwa na wadau ...
Huyu Waziri hafai hata kuwa mjumbe WA serikali ya mtaa
Although ndumbaro ana massive incompetence lakin bado sijajua kama hili indirectly ni lake
 
watu tumechoshwa na hii SERIKALI. tukiingia juu siku. kuna maraisi watalala jela au kunyongwa with no remorse.

nikiwa juu, kuna watu sheria kali lazima niwanyonge. wananchi wanateseka sana, they deserve better. hii dunia tunapita tu, na mungu afanye jambo watu walipwe.

swala la mda tu. wacha tugombee 2024 na 2025. tuone kama tutachomoka.


the youth is coming for them necks.


lastly waziri wa michezo hana noma kabisa. sema anasiasa nyingi sana. na elimu hana. kichwa kimejaa uchawa na sio elimu.
 
Wote na Naibu wake hawafai na waondolewe . Nakumbuka Bodi ya ngumi za kulipwa Tanzania iliwahi kumpa adhabu Mwakinyo lakini Mwana FA alitumia kofia yake kama Naibu Waziri Hadi Ile adhabu ikabatirishwa za ndaaaaani ni kuwa wawili hao ni mtu na meneja wake.
Waziri anatakiwa kusahihisha mapungufu ya naibu wake...wote hawafai lakin waziri Yuko more responsible
 
Waziri Ndumbaro hafai popote huku kwenye michezo ndo hafai hafai kabisa analeta migogoro na anazidi kuharibu...


Juzi watanzania waliona kilichotokea kwenye boxing....Ugomvi wa kibishara WA mapromota WA ngumu umeleta aibu kubwa sana.....huku waziri akiwa mshiriki Mkuu....

Promota ambae ana mkataba na Azam TV ..kanyang'anywa pambano lake la Mwakinyo na Mgana Allotey lilitakiwa kufanyika ijumaa ukumbi WA warehouse Masaki na lioneshwe Azam TV na limetangazwa mwezi mzima...badala yake promota mwingine akaliiba Hilo pambano limekuja fanyika Jumamosi.. ukumbi huo huo na likaonyeshwa na Millard Ayo TV....yaani jana...huku wale wote tuliolipia king'amuzi azam TV tukiwa tumetapeliwa kisa tu mapromota wanaibiana waziri kupitia kamisheni ya ngumi aliyoiunda mwenyewe baada ya kuivunja ile iliyokuwa inasimamia vizuri na kuchaguliwa na wadau ...
Huyu Waziri hafai hata kuwa mjumbe WA serikali ya mtaa
Kumbe walipigana jumamosi?nani alishinda?maana sina habari kama pambano hilo lilifanyika
 
Back
Top Bottom