Wakuu,
Kwa sasa hali ya usalama wa wananchi wanaoishi maeneo ya jirani na hifahibza wanyama pori umekuwa wa kusuasua kutokana na uvamizi wa tembo katika makazi na mashamba ya watu, pia hata wengine kuuawa
Sasa waziri Ndumbaro amekosa suluhu dhidi ya tembo hao kunusuru usalama wa raia na mali zao zaidi ya kuleta siasa kwamba tembo wamepungua kutoka laki 1 mpaka elfu 60 na kipindi hiko kulikuwa hakuna shida hizi
Kiuhalisia hizi ni siasa dhidi ya usalama wa watanzania, Ndumbalo toa suluhisho kwa sasa wananchi hawahitaji porojo kwani tukianza ujangili na uvunaji wa tembo hao mtakuja kulia ninyi
Haiwezekani kusiwepo sheria ya fidia kwa wananchi dhidi ya wanyama waharibifu wa mali za wananchi, kwa sasa inaonekana hayo matembo yanaumuhimu kuliko watanzania,,, hii haikubaliki
Kwa sasa hali ya usalama wa wananchi wanaoishi maeneo ya jirani na hifahibza wanyama pori umekuwa wa kusuasua kutokana na uvamizi wa tembo katika makazi na mashamba ya watu, pia hata wengine kuuawa
Sasa waziri Ndumbaro amekosa suluhu dhidi ya tembo hao kunusuru usalama wa raia na mali zao zaidi ya kuleta siasa kwamba tembo wamepungua kutoka laki 1 mpaka elfu 60 na kipindi hiko kulikuwa hakuna shida hizi
Kiuhalisia hizi ni siasa dhidi ya usalama wa watanzania, Ndumbalo toa suluhisho kwa sasa wananchi hawahitaji porojo kwani tukianza ujangili na uvunaji wa tembo hao mtakuja kulia ninyi
Haiwezekani kusiwepo sheria ya fidia kwa wananchi dhidi ya wanyama waharibifu wa mali za wananchi, kwa sasa inaonekana hayo matembo yanaumuhimu kuliko watanzania,,, hii haikubaliki