Waziri Ngeleja aingia club na Aunt Ezekiel usiku wa manane Dom

Waziri Ngeleja aingia club na Aunt Ezekiel usiku wa manane Dom

mhhh tuwaache tu hana hatia kama anatumia hela zake za uwaziri,hata yy si anapaswa kula raha jamani? hizi ni private issues bana labda kama angekuwa askofu ndio ningeshangaa.
 
ingekuwa ni ajabu kwa mwanaume rijali Kama Mheshimiwa kuachia totoz moto kama Aunt. Keep it up hizo ni adventure za wanaume rijali

...and that is typical of magamba.... money, sex and lies!!!
 
Tabia ya mtu ndiyo inayoonesha hata matendo, Nyerere alisema na alisisitiza umuhimu wa kutunza heshima ya uongozi.Huyo waziri ameonesha weakness kubwa sana hata hivyo si hilo tu yapo mengi anapenda sana totoz pamoja na buyu ndo maana wizara hii imemshinda. Lakini ndugu zangu tusimlahumu yeye tu bali na huyo wa juu si ndo anampa hizo chance ili apate totoz.
 
When i learned that mukulu ameukwaa uraisi,mambo mawili yalinijia ghafla..uzinzi na ushirikina..I am just reading my mind!
 
Ndugu yangu una busara sana sababu umeweza kujulisha watanzania kwanini wabunge wao wanasinzia bila kusikiliza tu. Maana ningesema kuchangia lakini wengine hawajuhi kwanini wamo, balaa tupu!
 
Huwa wanakesha baa/club alafu wanaamkia mjengoninamkumbuka Mw.Nyerere akisema 'pale Uingereza waziri mmoja mdogo alionekana akipitapita mtaani na mama mmoja mpaka watu wakaanza minongono he ho ho,waziri yule akaamua kumuandikia waziri mkuu kuomba kujiuzulu lakini kwa jinsi alivyochukia wala hata hakumjibu,'kama ni uhuni nenda kafanye huko barabarani,duniani kote serikali zinaongozwa kwa miiko'R.I.P Mwl.Nyerere
Nzuriiiii
 
Hiyo ni Ziara au wameenda kujiuza..mzee wa symbion lazima aligawa nyoka.
 
Teehe huyo waziri kiwembe sana tuu, nakumbuka wakati anafanya kazi kampuni flani hivi akiwa mwanasheria siku ya Valentine aligawa G-string nne kwa wadada wa nne tofauti zote zikiwa nyekundu hahahaha jamaa striker si mchezo
 
Cjui ana mke huyu?
mke wa nini ukifika dom unavua pete.......
DSCN1942.JPG

unaona kitu yenyewe kudadadadadeki.....viva ngeleja kamua kamua...wallahi hapo hata makobosto huvai.....nngwanyuu ngwanyuu
 
When i learned that mukulu ameukwaa uraisi,mambo mawili yalinijia ghafla..uzinzi na ushirikina..I am just reading my mind!
Ni vema umeweza kuona mbali ...Mukulu wako roho inaweza kumuuma endapo Ngeleja ata mu sms kwamba mida hiyo ya saa tisa na ushee yupo mahala anakula muzoga..!!!
 
mke wa nini ukifika dom unavua pete.......
DSCN1942.JPG
unaona kitu yenyewe kudadadadadeki.....viva ngeleja kamua kamua...wallahi hapo hata makobosto huvai.....nngwanyuu ngwanyuu
This is jf.
 
simlaumu Ngereja,hata mimi ningewachapa nao tu.Ngoja 2015 ifike na mimi nikagombee!
 
Tatizo si kuonekana na Aunty, hata kama angekuwa na mwanamke mwingine bado ningemuona hafai. Yaani waziri mzima kuonekana club tena usiku wa manane ilhali shughuli za bunge zinaendelea...??? Unajenga picha gani kwa wananchi waliokutuma? Shame on u!!
 
mhhh tuwaache tu hana hatia kama anatumia hela zake za uwaziri,hata yy si anapaswa kula raha jamani? hizi ni private issues bana labda kama angekuwa askofu ndio ningeshangaa.

uongozi una ethics zake, angetaka mambo hayo asingeng'ang'ania majukumu ya umma! Hawa juzi si ndio waliokuwa wanaambiwa na jk dodoma kwamba waache haya? Tatizo jk ameruhusu wamdharau sana! Na wanamfanya kama tambara vile!
 
Back
Top Bottom