Waziri Philip Augustino Mulugo: SIJUI LOLOTE KUHUSIANA NA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA INAYOENDELEA

Hii takataka sijui JK aliitoa wapi... Yani kichwani kumejaa makamasi tu...
 
Hivi huyu ndiye aliyechanganya habari na kusema visiwa vya Zanzibar na Zimbabwe?
 
Hii nayo kali na inazidi kuingia kwenye rekodi ya utendaji kazi wake, hadi 2015 tutaona na kusikia mengi, tuombe uzima
 
Chama kwanza wananchi baadae. Alijionea Mbowe aliposema hii ndio nchi yetu na hawa ndio mawaziri wetu tulionao. Hakuna jins tuvumilieni tu hadi 2015.
 
bw amim hayuko pale kwa ajili ya wa tz yupo kwa ajili tu ya kuitikia,ndiyo mzee, ni kilaza 2 yule,amshukuru bw kimemo,
 
Saa nyingine natamani vitabu vya historia vije kuandika kwamba kati ya mwaka 2005-2015 nchi yetu ya Tanzania ilikua haina raisi. Kwenye nafasi za uraisi, uwaziri mkuu na mawaziri kwenye miaka hiyo tuweke to blank. Hii sasa ni too much.
 
yani hata kusema kuwa mitihani imeanza vizuri na bado tunaendelea kupata tarifa zaidi takujuza nitafute hata kesho kashindwa dah kiongozi wetu huyu kweli kilaza
 
Ngoja atakuja kujitetea, na ni hodari kwa kujitetea yule jamaa.
 
Huyu jamaa ni mtupu sana hata kufikiri hawezi!
 
Pumba.vuuuu yani yeye kwake NEC ni bora kulko kazi yake ya wizarani
 
Anayesaidiwa (jk) ni copyryt na huyu mzee wa 'kisiwa cha zimbabwe'!!
 
Ni hatar sana, Jk ali2mia kigezo gan kumchagua huyu Bwana.?! Au ndo wasemavyo vijana, ni undugunaization tu!?
 
Guys mengine mnamsingizia mkuu huyu,hawezi kuwa hajui kama mitihani imeanza!
 
Jamani twamuonea Baba wa watu bure hebu tumuache yaani jamaa kweli hamnazo ila ukite hana taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…