LINI SERIKALI ITAACHA KUWATIMUA WANANCHI
Badala yake ardhi ya mtu au kijiji iwe ndiyo mtaji wake wa kufanya biashara ya ubia na mwekezaji.
Anaongelea wekezaji mdogo, lakini hataki mchimbaji mdogo au kijiji kuingia ubia na wawekezaji wakubwa wa nje.
Serikali ya CCM kazi yake ni kuwatimua mchimbaji mdogo au wanakijiji wenye ardhi iliyo na madini au Vito
Toka Maktaba :
Afrika ni bara tajiri sana duniani. Lina rasilimali za kila aina kuanzia ardhi nzuri inayofaa kulima mazao ya kila aina, maji, hali nzuri ya hewa, uoto wa asili ikiwemo misitu, madini, mafuta, gesi n.k. Viwanda vingi duniani vinaendeshwa na raw-materials toka Afrika. Cha kustaajabisha, nchi...
Na mgawanyo uwe vitofali vya dhahabu, karai la Vito n.k au makubaliano baina ya mwananchi mnyonge mwenye kumiliki ardhi au baina ya kijiji kinachomiliki ardhi na mwekezaji.
1 July 2023
Under the new deal announced on Friday, Botswana gets a bigger share of rough stones from their joint venture, Debswana.
Botswana and mining company
De Beers have announced a new diamond sales deal.
View attachment 2868849
The new deal, concluded on Friday, gives
Botswana a bigger share of rough stones from their joint venture.
Debswana, a joint venture between Anglo American unit
De Beers and
Botswana's government, sells
75% of its output to
De Beers, with the balance taken up by state-owned
Okavango Diamond Co.
The new agreement covers a
10-year sales deal for
Debswana rough diamond production through to
2033 and
25-year
Debswana mining licences.
In the run-up to Friday's deal,
Botswana President
Mokgweetsi Masisi, who is expected to seek re-election next year, had pushed
De Beers for a bigger share of
Debswana's output.
In March,
Botswana announced it would take a
24% stake in Belgian gem processing firm
HB Antwerp in a move seen as designed to loosen
De Beers' grip on the country's gems.
Botswana supplies
70% of
De Beers' rough diamonds