Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Duh!!!!,Yule jamaa ana roho mbaya km sura yake.Ona sasa mbona yana mshinda!!Huyu alimfanyia fitna kubwa Mahiga (RIP) aondolewe pale, alimwambia jiwe kuwa ile wizara akipata mtu anaejua sheria atasimamia vizuri mikataba ya madini na kuwa Mzee Mahiga hajui sheria anampotezea mapato.
Hawezi kuja huyo,kazi yake ni kusifu na kuabuduJane Lowassa njoo fasta
Na ndio maana Inspekta Polepole ameteuliwa kuwa mbunge ili akahamasishe katiba ibadilishwe, muhula wa urais uwe hauna kikomo bwana mkubwa atutawale milele daima.Tanzania tulipewa $143M kupambana na COVID-19 kutoka IMF June. September tukakopa $3.79M kutoka WB kwa ajili ya ‘laboratory diagnosis & management of COVID-19 cases’, Oktoba tukaongeza mkopo wa $50.7M kutoka AfDB kupambana na COVID-19 ambayo ILIFUKUZWA. Pia kuna €27 millions toka EU. Fedha tulifanyia nini?
Bila shaka pesa zote hizi hawa wahuni wamezitafuna. Ndiyo sababu baadhi ya Watanzania wanataka tuwekewe vikwazo vya kiuchumi maana hata tunachokipata kama Nchi wahuni wanatafuna kimya kimya.
Waambie mabwana zako kuwa zile pesa zililetwa kufidia atheri zilizosababishwa na corona siyo kutibu Corona kwa maana Corona haina dawa .nakukumbusha athari tulizopata wakati wa corona ni watalii kitokuja,ndege kutoruka,shule kufungwa,baadhi ya Hospitali kutumika kwa corona tu,Pesa hiyo imetumika keep fidia gharama hizo.Pia nakukumbusha kuwa aliyehoji ni mbunge kutoka Ujerumani, kumbuka Tundu Lisu alikimbilia Ubalozi wa Ujerumani ,alisindikizwa na balozi wa Ujerumani mpaka Airport ,Nakukumbusha Chadema inapokea misaada kutoka Chama kinachotawala Ujerumani.Sasa kwa ufupi waliohoji kule ni CHADEMA iliyochangamka wala usiwe na hofu.Habari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka tena bila wao kujisifia au kutuzodoa, Wabunge Wa Bunge La Ulaya, ambao Prof Kabudi uliwaita "WAHUNI/WAJINGA" kumhoji Mwenyekiti Wao Wa Bunge kuhusu vigezo alivyotumia kuipa Tanzania msaada ya "€ 27 MILLION" kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa Covid-19.
Wakati Serikali ya Tanzania (Ikiongozwa na Mh Rais) kutangaza na kutoa "MAHUBIRI NA MAWAIZA KWA RAIA WAKE" kwamba Tanzania haina ugonjwa huo. Ugonjwa huo ni wa kishetani.
Wabunge Wa Ulaya walikuwa na "HAKI YA KUMHOJI MWENYEKITI WAO" kuhusiana na hizo hela, kwasababu ni hela za walipa kodi wao Ulaya. Hela hizo hawajazokota. Waliwakamua walipa kodi wao. Hela hizo sio kwamba hawakua na kazi nazo, ila kutokana na upendo na heshima waliamua kutupa.
NOTE THAT: Wabunge wale hawakui hoji Tanzania wala hawajakuku hoji wewe kama Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Tanzania. Walimhoji Mwenyekiti Wa Bunge lao.
"MASHARTI YA KUPEWA MSAADA NA MIKOPO" yanajulikana ni lazima "UOMBE KWA KUTOA SABABU ZA MSINGI". Kwa hiyo, sisi kama taifa (Kupitia kwa Wizara Ya Mambo Ya Nje) tuliomba na tulitoa sababu za msingi mpaka kupewa ule msaada na mikopo wa kupambana na Covid-19.
Sasa, uliowaita "WAHUNI/WAJINGA" na kuwatisha kwamba "TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA VITA YOYOTE", na wala "HAIJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI KWAAJILI YA MISAADA".
Wameamua kutoa "MAFIGA" na "KUMWAGA CHUNGU CHA MBOGA". Natumai umefurahi sasa kwa ujeuri/ukaidi na dharau uliowafanyia. Sisi kama raia hatukupendezewa kabisa. Sifa ya mtanzania yoyote huwa inajulikana Ukarimu/Heshima/Ukweli/Urafiki/Upendo.
Turudi kwenye mada yangu,
WAHUNI/WAJINGA (Kama ulivyowaita)" wametoa "LIST YA MIKOPO/MISAADA" ambayo sisi kama taifa "TULIOMBA (Narudia tena kwa herufi kubwa TULIOMBA" ili tuweze kupambana na Covid-19. Hawajakurupuka usingizini na kuamua tu kutupa hio misaada. Tuliomba.!!!
Hii kama taifa ni kujivisha JOHO LA UONGO/UTAPELI NA KUTOKUA WAAMINIFU. Kuomba misaada na mikopo kwa kutumia sababu zisizo za kweli.
BAADHI ya hiyo Mikopo na msaada yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION (Msaada)
2) $ 14.3 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mkopo Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mkopo Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mkopo Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND (Mkopo).
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA mimi Alexander The Great natoa wito, utoke hadharani na kutupa MAELEZO NA SABABU ZA MSINGI za;
A) Kwanini tuliomba msaada na mikopo ya matrillioni kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Wakati Rais alihubiri na kutoa mawaiza kwamba hatuna huo ugonjwa?
B) Hizo hela zilitumika vipi? Na madeni yatarudishwa vipi? Kwa kodi zetu walalahoi?
C) Kwanini uliwatukana na kuwadharau wanaotupa misaada bila sababu ya msingi?
D) Kwanini hujaandika barua ya kuachia nafasi yako kwa maslahi ya taifa?
Ahsante, natumai utaita PRESS YA WAANDISHI WA HABARI WA NDANI NA NJE kutoa maelezo na majibu ya malalamiko yangu.
Mbona unakurupuka kama umefumaniwa. Wewe ndio Palamagamba Kabudi kwani mpaka ujibu hizo hoja?Waambie mabwana zako kuwa zile pesa zililetwa kufidia atheri zilizosababishwa na corona siyo kutibu Corona kwa maana Corona haina dawa .nakukumbusha athari tulizopata wakati wa corona ni watalii kitokuja,ndege kutoruka,shule kufungwa,baadhi ya Hospitali kutumika kwa corona tu,Pesa hiyo imetumika keep fidia gharama hizo.Pia nakukumbusha kuwa aliyehoji ni mbunge kutoka Ujerumani, kumbuka Tundu Lisu alikimbilia Ubalozi wa Ujerumani ,alisindikizwa na balozi wa Ujerumani mpaka Airport ,Nakukumbusha Chadema inapokea misaada kutoka Chama kinachotawala Ujerumani.Sasa kwa ufupi waliohoji kule ni CHADEMA iliyochangamka wala usiwe na hofu.
Kabudi siyo daraja lako hata kidogo vumilia tu kupokea majibu yetu sisi tuliyekuwa naye huku kijiji wakati akisoma.Mbona unakurupuka kama umefumaniwa. Wewe ndio Palamagamba Kabudi kwani mpaka ujibu hizo hoja?
Hakuna mtu aliyeenda kuomba pesa ziletwe ila zililetwa na mashirika ya UN. Na pesa hizo zilikuwa za kupambana na athari za Corona siyo kutibu Corona kwa sababu Corona haina tiba. Nenda uwaambie mabwana zako ujumbe huuMbona unakurupuka kama umefumaniwa. Wewe ndio Palamagamba Kabudi kwani mpaka ujibu hizo hoja?
Kwani bado kuna Covid 19 nchini. Kama haipo unadhani imeondoka yenyewe hakuna jitihada zilizofanyika eti.Habari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka tena bila wao kujisifia au kutuzodoa, Wabunge Wa Bunge La Ulaya, ambao Prof Kabudi uliwaita "WAHUNI/WAJINGA" kumhoji Mwenyekiti Wao Wa Bunge kuhusu vigezo alivyotumia kuipa Tanzania msaada ya "€ 27 MILLION" kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa Covid-19.
Wakati Serikali ya Tanzania (Ikiongozwa na Mh Rais) kutangaza na kutoa "MAHUBIRI NA MAWAIZA KWA RAIA WAKE" kwamba Tanzania haina ugonjwa huo. Ugonjwa huo ni wa kishetani.
Wabunge Wa Ulaya walikuwa na "HAKI YA KUMHOJI MWENYEKITI WAO" kuhusiana na hizo hela, kwasababu ni hela za walipa kodi wao Ulaya. Hela hizo hawajazokota. Waliwakamua walipa kodi wao. Hela hizo sio kwamba hawakua na kazi nazo, ila kutokana na upendo na heshima waliamua kutupa.
NOTE THAT: Wabunge wale hawakui hoji Tanzania wala hawajakuku hoji wewe kama Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Tanzania. Walimhoji Mwenyekiti Wa Bunge lao.
"MASHARTI YA KUPEWA MSAADA NA MIKOPO" yanajulikana ni lazima "UOMBE KWA KUTOA SABABU ZA MSINGI". Kwa hiyo, sisi kama taifa (Kupitia kwa Wizara Ya Mambo Ya Nje) tuliomba na tulitoa sababu za msingi mpaka kupewa ule msaada na mikopo wa kupambana na Covid-19.
Sasa, uliowaita "WAHUNI/WAJINGA" na kuwatisha kwamba "TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA VITA YOYOTE", na wala "HAIJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI KWAAJILI YA MISAADA".
Wameamua kutoa "MAFIGA" na "KUMWAGA CHUNGU CHA MBOGA". Natumai umefurahi sasa kwa ujeuri/ukaidi na dharau uliowafanyia. Sisi kama raia hatukupendezewa kabisa. Sifa ya mtanzania yoyote huwa inajulikana Ukarimu/Heshima/Ukweli/Urafiki/Upendo.
Turudi kwenye mada yangu,
WAHUNI/WAJINGA (Kama ulivyowaita)" wametoa "LIST YA MIKOPO/MISAADA" ambayo sisi kama taifa "TULIOMBA (Narudia tena kwa herufi kubwa TULIOMBA" ili tuweze kupambana na Covid-19. Hawajakurupuka usingizini na kuamua tu kutupa hio misaada. Tuliomba.!!!
Hii kama taifa ni kujivisha JOHO LA UONGO/UTAPELI NA KUTOKUA WAAMINIFU. Kuomba misaada na mikopo kwa kutumia sababu zisizo za kweli.
BAADHI ya hiyo Mikopo na msaada yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION (Msaada)
2) $ 14.3 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mkopo Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mkopo Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mkopo Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND (Mkopo).
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA mimi Alexander The Great natoa wito, utoke hadharani na kutupa MAELEZO NA SABABU ZA MSINGI za;
A) Kwanini tuliomba msaada na mikopo ya matrillioni kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Wakati Rais alihubiri na kutoa mawaiza kwamba hatuna huo ugonjwa?
B) Hizo hela zilitumika vipi? Na madeni yatarudishwa vipi? Kwa kodi zetu walalahoi?
C) Kwanini uliwatukana na kuwadharau wanaotupa misaada bila sababu ya msingi?
D) Kwanini hujaandika barua ya kuachia nafasi yako kwa maslahi ya taifa?
Ahsante, natumai utaita PRESS YA WAANDISHI WA HABARI WA NDANI NA NJE kutoa maelezo na majibu ya malalamiko yangu.
Habari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka tena bila wao kujisifia au kutuzodoa, Wabunge Wa Bunge La Ulaya, ambao Prof Kabudi uliwaita "WAHUNI/WAJINGA" kumhoji Mwenyekiti Wao Wa Bunge kuhusu vigezo alivyotumia kuipa Tanzania msaada ya "€ 27 MILLION" kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa Covid-19.
Wakati Serikali ya Tanzania (Ikiongozwa na Mh Rais) kutangaza na kutoa "MAHUBIRI NA MAWAIZA KWA RAIA WAKE" kwamba Tanzania haina ugonjwa huo. Ugonjwa huo ni wa kishetani.
Wabunge Wa Ulaya walikuwa na "HAKI YA KUMHOJI MWENYEKITI WAO" kuhusiana na hizo hela, kwasababu ni hela za walipa kodi wao Ulaya. Hela hizo hawajazokota. Waliwakamua walipa kodi wao. Hela hizo sio kwamba hawakua na kazi nazo, ila kutokana na upendo na heshima waliamua kutupa.
NOTE THAT: Wabunge wale hawakui hoji Tanzania wala hawajakuku hoji wewe kama Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Tanzania. Walimhoji Mwenyekiti Wa Bunge lao.
"MASHARTI YA KUPEWA MSAADA NA MIKOPO" yanajulikana ni lazima "UOMBE KWA KUTOA SABABU ZA MSINGI". Kwa hiyo, sisi kama taifa (Kupitia kwa Wizara Ya Mambo Ya Nje) tuliomba na tulitoa sababu za msingi mpaka kupewa ule msaada na mikopo wa kupambana na Covid-19.
Sasa, uliowaita "WAHUNI/WAJINGA" na kuwatisha kwamba "TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA VITA YOYOTE", na wala "HAIJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI KWAAJILI YA MISAADA".
Wameamua kutoa "MAFIGA" na "KUMWAGA CHUNGU CHA MBOGA". Natumai umefurahi sasa kwa ujeuri/ukaidi na dharau uliowafanyia. Sisi kama raia hatukupendezewa kabisa. Sifa ya mtanzania yoyote huwa inajulikana Ukarimu/Heshima/Ukweli/Urafiki/Upendo.
Turudi kwenye mada yangu,
WAHUNI/WAJINGA (Kama ulivyowaita)" wametoa "LIST YA MIKOPO/MISAADA" ambayo sisi kama taifa "TULIOMBA (Narudia tena kwa herufi kubwa TULIOMBA" ili tuweze kupambana na Covid-19. Hawajakurupuka usingizini na kuamua tu kutupa hio misaada. Tuliomba.!!!
Hii kama taifa ni kujivisha JOHO LA UONGO/UTAPELI NA KUTOKUA WAAMINIFU. Kuomba misaada na mikopo kwa kutumia sababu zisizo za kweli.
BAADHI ya hiyo Mikopo na msaada yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION (Msaada)
2) $ 14.3 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mkopo Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mkopo Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mkopo Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND (Mkopo).
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA mimi Alexander The Great natoa wito, utoke hadharani na kutupa MAELEZO NA SABABU ZA MSINGI za;
A) Kwanini tuliomba msaada na mikopo ya matrillioni kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Wakati Rais alihubiri na kutoa mawaiza kwamba hatuna huo ugonjwa?
B) Hizo hela zilitumika vipi? Na madeni yatarudishwa vipi? Kwa kodi zetu walalahoi?
C) Kwanini uliwatukana na kuwadharau wanaotupa misaada bila sababu ya msingi?
D) Kwanini hujaandika barua ya kuachia nafasi yako kwa maslahi ya taifa?
Ahsante, natumai utaita PRESS YA WAANDISHI WA HABARI WA NDANI NA NJE kutoa maelezo na majibu ya malalamiko yangu.
Pesa kutoka Ulaya nayo ni kodi ya mamako? kamuulize babako kamwachia change sh ngapi harafu urudi.Mimi kama raia wa tanzania, rais na mawaziri ni wafanyakazi wangu, mimi ndio nawalipa mshahara kwa kodi zangu. Shenz
Habari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka tena bila wao kujisifia au kutuzodoa, Wabunge Wa Bunge La Ulaya, ambao Prof Kabudi uliwaita "WAHUNI/WAJINGA" kumhoji Mwenyekiti Wao Wa Bunge kuhusu vigezo alivyotumia kuipa Tanzania msaada ya "€ 27 MILLION" kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa Covid-19.
Wakati Serikali ya Tanzania (Ikiongozwa na Mh Rais) kutangaza na kutoa "MAHUBIRI NA MAWAIZA KWA RAIA WAKE" kwamba Tanzania haina ugonjwa huo. Ugonjwa huo ni wa kishetani.
Wabunge Wa Ulaya walikuwa na "HAKI YA KUMHOJI MWENYEKITI WAO" kuhusiana na hizo hela, kwasababu ni hela za walipa kodi wao Ulaya. Hela hizo hawajazokota. Waliwakamua walipa kodi wao. Hela hizo sio kwamba hawakua na kazi nazo, ila kutokana na upendo na heshima waliamua kutupa.
NOTE THAT: Wabunge wale hawakui hoji Tanzania wala hawajakuku hoji wewe kama Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Tanzania. Walimhoji Mwenyekiti Wa Bunge lao.
"MASHARTI YA KUPEWA MSAADA NA MIKOPO" yanajulikana ni lazima "UOMBE KWA KUTOA SABABU ZA MSINGI". Kwa hiyo, sisi kama taifa (Kupitia kwa Wizara Ya Mambo Ya Nje) tuliomba na tulitoa sababu za msingi mpaka kupewa ule msaada na mikopo wa kupambana na Covid-19.
Sasa, uliowaita "WAHUNI/WAJINGA" na kuwatisha kwamba "TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA VITA YOYOTE", na wala "HAIJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI KWAAJILI YA MISAADA".
Wameamua kutoa "MAFIGA" na "KUMWAGA CHUNGU CHA MBOGA". Natumai umefurahi sasa kwa ujeuri/ukaidi na dharau uliowafanyia. Sisi kama raia hatukupendezewa kabisa. Sifa ya mtanzania yoyote huwa inajulikana Ukarimu/Heshima/Ukweli/Urafiki/Upendo.
Turudi kwenye mada yangu,
WAHUNI/WAJINGA (Kama ulivyowaita)" wametoa "LIST YA MIKOPO/MISAADA" ambayo sisi kama taifa "TULIOMBA (Narudia tena kwa herufi kubwa TULIOMBA" ili tuweze kupambana na Covid-19. Hawajakurupuka usingizini na kuamua tu kutupa hio misaada. Tuliomba.!!!
Hii kama taifa ni kujivisha JOHO LA UONGO/UTAPELI NA KUTOKUA WAAMINIFU. Kuomba misaada na mikopo kwa kutumia sababu zisizo za kweli.
BAADHI ya hiyo Mikopo na msaada yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION (Msaada)
2) $ 143 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mkopo Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mkopo Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mkopo Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND (Mkopo).
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA mimi Alexander The Great natoa wito, utoke hadharani na kutupa MAELEZO NA SABABU ZA MSINGI za;
A) Kwanini tuliomba msaada na mikopo ya matrillioni kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Wakati Rais alihubiri na kutoa mawaiza kwamba hatuna huo ugonjwa?
B) Hizo hela zilitumika vipi? Na madeni yatarudishwa vipi? Kwa kodi zetu walalahoi?
C) Kwanini uliwatukana na kuwadharau wanaotupa misaada bila sababu ya msingi?
D) Kwanini hujaandika barua ya kuachia nafasi yako kwa maslahi ya taifa?
Ahsante, natumai utaita PRESS YA WAANDISHI WA HABARI WA NDANI NA NJE kutoa maelezo na majibu ya malalamiko yangu.
Kwahiyo kwa mwaka huu peke yake wamelamba million 300$,na million 27 €!!!!.vipi kuhusu mwaka Jana na juzi,wamelamba ngapi?Habari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka tena bila wao kujisifia au kutuzodoa, Wabunge Wa Bunge La Ulaya, ambao Prof Kabudi uliwaita "WAHUNI/WAJINGA" kumhoji Mwenyekiti Wao Wa Bunge kuhusu vigezo alivyotumia kuipa Tanzania msaada ya "€ 27 MILLION" kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa Covid-19.
Wakati Serikali ya Tanzania (Ikiongozwa na Mh Rais) kutangaza na kutoa "MAHUBIRI NA MAWAIZA KWA RAIA WAKE" kwamba Tanzania haina ugonjwa huo. Ugonjwa huo ni wa kishetani.
Wabunge Wa Ulaya walikuwa na "HAKI YA KUMHOJI MWENYEKITI WAO" kuhusiana na hizo hela, kwasababu ni hela za walipa kodi wao Ulaya. Hela hizo hawajazokota. Waliwakamua walipa kodi wao. Hela hizo sio kwamba hawakua na kazi nazo, ila kutokana na upendo na heshima waliamua kutupa.
NOTE THAT: Wabunge wale hawakui hoji Tanzania wala hawajakuku hoji wewe kama Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Tanzania. Walimhoji Mwenyekiti Wa Bunge lao.
"MASHARTI YA KUPEWA MSAADA NA MIKOPO" yanajulikana ni lazima "UOMBE KWA KUTOA SABABU ZA MSINGI". Kwa hiyo, sisi kama taifa (Kupitia kwa Wizara Ya Mambo Ya Nje) tuliomba na tulitoa sababu za msingi mpaka kupewa ule msaada na mikopo wa kupambana na Covid-19.
Sasa, uliowaita "WAHUNI/WAJINGA" na kuwatisha kwamba "TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA VITA YOYOTE", na wala "HAIJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI KWAAJILI YA MISAADA".
Wameamua kutoa "MAFIGA" na "KUMWAGA CHUNGU CHA MBOGA". Natumai umefurahi sasa kwa ujeuri/ukaidi na dharau uliowafanyia. Sisi kama raia hatukupendezewa kabisa. Sifa ya mtanzania yoyote huwa inajulikana Ukarimu/Heshima/Ukweli/Urafiki/Upendo.
Turudi kwenye mada yangu,
WAHUNI/WAJINGA (Kama ulivyowaita)" wametoa "LIST YA MIKOPO/MISAADA" ambayo sisi kama taifa "TULIOMBA (Narudia tena kwa herufi kubwa TULIOMBA" ili tuweze kupambana na Covid-19. Hawajakurupuka usingizini na kuamua tu kutupa hio misaada. Tuliomba.!!!
Hii kama taifa ni kujivisha JOHO LA UONGO/UTAPELI NA KUTOKUA WAAMINIFU. Kuomba misaada na mikopo kwa kutumia sababu zisizo za kweli.
BAADHI ya hiyo Mikopo na msaada yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION (Msaada)
2) $ 143 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mkopo Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mkopo Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mkopo Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND (Mkopo).
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA mimi Alexander The Great natoa wito, utoke hadharani na kutupa MAELEZO NA SABABU ZA MSINGI za;
A) Kwanini tuliomba msaada na mikopo ya matrillioni kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Wakati Rais alihubiri na kutoa mawaiza kwamba hatuna huo ugonjwa?
B) Hizo hela zilitumika vipi? Na madeni yatarudishwa vipi? Kwa kodi zetu walalahoi?
C) Kwanini uliwatukana na kuwadharau wanaotupa misaada bila sababu ya msingi?
D) Kwanini hujaandika barua ya kuachia nafasi yako kwa maslahi ya taifa?
Ahsante, natumai utaita PRESS YA WAANDISHI WA HABARI WA NDANI NA NJE kutoa maelezo na majibu ya malalamiko yangu.
Zinetumika kuwanunua wakina Halima MdeeHabari Wana Kijiji,
Binafsi nimeshtuka sana, mpaka nlidodosha bakuli langu la pombe ya kienyeji jana usiku nlipokuwa kilabuni baada ya kupata habari hizi za kuogofya na kushtua.
Habari zenyewe ni baada ya kuambiwa wale jamaa zetu wanaotupa misaada kama taifa, misaada wanayotupa ya kila mwaka tena bila wao kujisifia au kutuzodoa, Wabunge Wa Bunge La Ulaya, ambao Prof Kabudi uliwaita "WAHUNI/WAJINGA" kumhoji Mwenyekiti Wao Wa Bunge kuhusu vigezo alivyotumia kuipa Tanzania msaada ya "€ 27 MILLION" kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa Covid-19.
Wakati Serikali ya Tanzania (Ikiongozwa na Mh Rais) kutangaza na kutoa "MAHUBIRI NA MAWAIZA KWA RAIA WAKE" kwamba Tanzania haina ugonjwa huo. Ugonjwa huo ni wa kishetani.
Wabunge Wa Ulaya walikuwa na "HAKI YA KUMHOJI MWENYEKITI WAO" kuhusiana na hizo hela, kwasababu ni hela za walipa kodi wao Ulaya. Hela hizo hawajazokota. Waliwakamua walipa kodi wao. Hela hizo sio kwamba hawakua na kazi nazo, ila kutokana na upendo na heshima waliamua kutupa.
NOTE THAT: Wabunge wale hawakui hoji Tanzania wala hawajakuku hoji wewe kama Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Tanzania. Walimhoji Mwenyekiti Wa Bunge lao.
"MASHARTI YA KUPEWA MSAADA NA MIKOPO" yanajulikana ni lazima "UOMBE KWA KUTOA SABABU ZA MSINGI". Kwa hiyo, sisi kama taifa (Kupitia kwa Wizara Ya Mambo Ya Nje) tuliomba na tulitoa sababu za msingi mpaka kupewa ule msaada na mikopo wa kupambana na Covid-19.
Sasa, uliowaita "WAHUNI/WAJINGA" na kuwatisha kwamba "TANZANIA HAIJAWAHI KUSHINDWA VITA YOYOTE", na wala "HAIJAWAHI KUPIGISHWA MAGOTI KWAAJILI YA MISAADA".
Wameamua kutoa "MAFIGA" na "KUMWAGA CHUNGU CHA MBOGA". Natumai umefurahi sasa kwa ujeuri/ukaidi na dharau uliowafanyia. Sisi kama raia hatukupendezewa kabisa. Sifa ya mtanzania yoyote huwa inajulikana Ukarimu/Heshima/Ukweli/Urafiki/Upendo.
Turudi kwenye mada yangu,
WAHUNI/WAJINGA (Kama ulivyowaita)" wametoa "LIST YA MIKOPO/MISAADA" ambayo sisi kama taifa "TULIOMBA (Narudia tena kwa herufi kubwa TULIOMBA" ili tuweze kupambana na Covid-19. Hawajakurupuka usingizini na kuamua tu kutupa hio misaada. Tuliomba.!!!
Hii kama taifa ni kujivisha JOHO LA UONGO/UTAPELI NA KUTOKUA WAAMINIFU. Kuomba misaada na mikopo kwa kutumia sababu zisizo za kweli.
BAADHI ya hiyo Mikopo na msaada yenyewe ya kupambana na Covid-19 kama ifuatayo;
1) € 27 Million - Kutoka kwa EUROPEAN UNION (Msaada)
2) $ 143 Million - Kutoka kwa INTERNATIONAL MONETARY FUNDS (Mkopo Mwezi June).
3) $ 3.4 Million - Kutoka kwa WORLD BANK (Mkopo Mwezi September).
4) $ 50.7 Million - Kutoka kwa AFRICAN DEVELOPMENT BANK (Mkopo Mwezi October).
5) $ 11 Million - Kutoka kwa GLOBAL FUND (Mkopo).
KWA UNYENYEKEVU MKUBWA mimi Alexander The Great natoa wito, utoke hadharani na kutupa MAELEZO NA SABABU ZA MSINGI za;
A) Kwanini tuliomba msaada na mikopo ya matrillioni kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Wakati Rais alihubiri na kutoa mawaiza kwamba hatuna huo ugonjwa?
B) Hizo hela zilitumika vipi? Na madeni yatarudishwa vipi? Kwa kodi zetu walalahoi?
C) Kwanini uliwatukana na kuwadharau wanaotupa misaada bila sababu ya msingi?
D) Kwanini hujaandika barua ya kuachia nafasi yako kwa maslahi ya taifa?
Ahsante, natumai utaita PRESS YA WAANDISHI WA HABARI WA NDANI NA NJE kutoa maelezo na majibu ya malalamiko yangu.
Wakiulizwa matumizi yake, wanataka kurusha ngumi.Zinetumika kuwanunua wakina Halima Mdee