Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kama job ndugai hadi mdomo unajaa povu akiwa anatetea ujinga upumbavu na uvunjaji wa katiba ya nchi.Wakiulizwa matumizi yake, wanataka kurusha ngumi.
BusisiNimetazama hii video, Nimecheka sana. Ni aibu kwa kweli. Hivi kuna ile pesa ambayo EU walitaka kujua imetumikaje wakati hatukuwa na COVID counter measures. Si ingechukuliwa hivi sasa wanunulie mitungi pale Bugando?..
Alafu mnasema tuchague upinzani,kama kweli upinzani ulikuwa unanunulika kipindi cha Magufuri,basi wapinzani hawafai kabisa,na bora Mungu akuwapa nafasi ya kuongoza nchi maana wangelituuza kabisa.Lowassa aliisha wahi kununua chama chote, kweli wapinza hawana bei.Kama zile Trillion 1.5 hazina jibu mpaka leo sidhani hela hizo watakupa majibu maana ndio hela wanazotumia kununulia wapinzani alafu wananchi ndio walipaji.
Nchi hii jibu sahihi ni kuwatoa majambazi hawa CCM utaona zaidi ya haya.