Waziri Profesa Mkenda, acha kutumika kuua Viwanda vya ndani vya Mbolea

Waziri Profesa Mkenda, acha kutumika kuua Viwanda vya ndani vya Mbolea

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
kwanza nianze ku-Declare Interest Mimi ni mdau wa Kilimo wa miaka mingi kuanzia Vitunguu na Nyanya Iringa mpaka Mahindi na Maharagwe Kia. Nmekua kwa muda mrefu nikitumia Mbolea zinazotengenezwa ndani ya nchi kwa ajili ya kupandia na Mambo mengine yahusuyo kulima, Tulianza na Mbolea ya mavi ya ng'ombe miaka Ile mpaka hii ya Sasa ya kiwandani nikiwa natumia Yara na Minjingu lkn tokea waziri huyu ameingia amekua akiipigia debe Mbolea ya kampuni moja ya Moroco ambayo hata bei yake ipo juu.

Kuna mkutano kabisa amesikika mpka akizitaja kwa majina na bei yake utazan yeye ndo afisa masoko wa kampuni hiyo. Hizi kampuni ambazo zinazalisha Mbolea hapa nchini kwa bei rahisi na wameajiri watanzania wenzetu zinapata taabu kwenye soko maana wale wahusika wa kampuni hyo ya Moroco wamekua wakiwasikilizisha clip hyo ya waziri. Jana nilikuwa KIA shambani akapita Afisa masoko wa kampuni hiyo akiwa na spika kuuubwa akipiga PA ya sauti ya waziri. Hapa nahisi Kuna hujuma maana baada ya hapo nkampigia Yule anaeniuziaga Mbolea kumuuliza hili swala akaniambia hata yeye hajui.

Naomba waziri ujue unahujumu sisi wakulima kwa kutufanya tununue Mbolea ya bei kubwa wakati zipo za bei rahisi akina minjingu, Baada ya kufuatilia zaidi ndo nkaambiwa mwakilishi wa kampuni hiyo kwa hapa nchini Ni Dr Mshindo Msolla ambae ni mwenyekiti wa Yanga na kabla aliwai kuwa pale wizara ya kilimo hivyo anamtumia waziri kuhujumu washindani wengine.
 
Huko ubaruku Mbarali Mbeya, mbolea msimu huu usio wa kilimo ni 80000+ halafu kilo ya mchele 8000---1300. Nazan msimu wa shamba itakuwa laki.
 
Fucken sana ...huko ubaruku mbarali mbeya, mbolea msimu huu usio wa kilimo ni 80000+ halafu kilo ya mchele 8000---1300 ....nazan msimu wa shamba itakuwa laki
Mbolea ipi hyo mkuu nahisi Kama Kuna mtu anamhujumu maza kwa kweli maana Kuna ambazo bei yake zipo chini na zinatengenezwa nchini lkn hazipewi kipaumbele
 
Huyu katoka chuo hajui uraiani kuna nini anachojua ni siasa na kufundisha
Wanataka Mbolea ilete shida Kama sukari ili walete za kwao hapo ukute Kuna mtu washamweka sawa ili alete
 
Mbolea ipi hyo mkuu nahisi Kama Kuna mtu anamhujumu maza kwa kweli maana Kuna ambazo bei yake zipo chini na zinatengenezwa nchini lkn hazipewi kipaumbele
Sure stanii mzee mbolea ndo Bei hyo huko yyte kuanzia DAP had urea ngoja nkupe analysis kukod shamba heka 270000 linakuwa lishalimwa, kuvuruga 70000, mbegu d3be nne 23000, kupanda heka moja 80000+, mbolea 80000+...ukumbuke mashamba mengene yamechoka hivo hutaka mifuko miwili, kupalia au kung'olea 30000-50000 kutegemea na magugu, pia mtu anaweza piga tu dawa ya magugu, ndege kulinda 20000, kuvuna na mashine 160000 mifuko 30 ...@ 10000 ...usafili 1500....Pana SI chin ya laki Saba kwa hekari had tisa
 
Hivi mnajua watu sita au saba au hata mmoja mwenye misuli ya uchumi anaweza kununua mborea itakayo zalishwa msimu wa kiangazi yoote na akaihifadhi had msimu wa kilimo ukafika....pengne msimu wa kilimo ukifika kiwanda kikadhalish kwa rate ile ile lakni mbolea ikawa haitoshi na matajiri kadhaa wakawa nayo kwenye magodowns , kufanya hivo supply inakuwa down wakati demand inakuwa juu na price inakuwa kwa Kasi Zaid...fact hyo hyo ni kwa sukari mahindi na kadhalika
 
kwanza nianze ku-Declare Interest Mimi Ni mdau wa Kilimo wa miaka mingi kuanzia Vitunguu na Nyanya Iringa mpaka Mahindi na Maharagwe Kia. Nmekua kwa muda mrefu nikitumia Mbolea zinazotengenezwa ndani ya nchi kwa ajili ya kupandia na Mambo mengine yahusuyo kulima, Tulianza na Mbolea ya mavi ya ng'ombe miaka Ile mpaka hii ya Sasa ya kiwandani nikiwa natumia Yara na Minjingu lkn tokea waziri huyu ameingia amekua akiipigia debe Mbolea ya kampuni moja ya Moroco ambayo hata bei yake ipo juu. Kuna mkutano kabisa amesikika mpka akizitaja kwa majina na bei yake utazan yeye ndo afisa masoko wa kampuni hiyo. Hizi kampuni ambazo zinazalisha Mbolea hapa nchini kwa bei rahisi na wameajiri watanzania wenzetu zinapata taabu kwenye soko maana wale wahusika wa kampuni hyo ya Moroco wamekua wakiwasikilizisha clip hyo ya waziri. Jana nlikua KIA shambani akapita Afisa masoko wa kampuni hyo akiwa na spika kuuubwa akipiga PA ya sauti ya waziri. Hapa nahisi Kuna hujuma maana baada ya hapo nkampigia Yule anaeniuziaga Mbolea kumuuliza hili swala akaniambia hata yeye hajui. Naomba waziri ujue unahujumu sisi wakulima kwa kutufanya tununue Mbolea ya bei kubwa wakati zipo za bei rahisi akina minjingu, Baada ya kufuatilia zaidi ndo nkaambiwa mwakilishi wa kampuni hiyo kwa hapa nchini Ni Dr Mshindo Msolla ambae ni mwenyekiti wa Yanga na kabla aliwai kuwa pale wizara ya kilimo hivyo anamtumia waziri kuhujumu washindani wengine.
ahsante mkulima mwenzangu.
kweli swala la mbolea ni changamoto ya muda mrefu.
Prof. Mkenda na Naibu wake naamini wataiondoa kero hii ili wakulima tuweze kuzalisha kwa tija.
 
Hizo mbolea za minjingu huku Namtumbo hazitumiki( sijajua hazifai au ndo hawafanyi matangazo) huku ni urea na sa
 
Hizi ishu mziache tu....nipo iringa hapa nazungukiaga maeneo ya cpb...au nmc ya zaman...Hawa jamaa wameamua kufanya biashara ya nafaka aiseee , Pana magari yameleta mahindi ...aisee Hawa jamaa kwa speed hii wanaweza nunua mahindi ya southern highland yote na wakayahifadhi na kuya uza taratibu....kukiwa na kampuni hata tano tu tz zenye nguvu hivi wanatosha kufanya unga kuwa gharama....halafu tz mahindi Bei chee ko nao hawatakubali kuuza ndani kwani pesa ipo Kenya , Sudan na Somalia ko Wana exhaust chakula tz wanaenda kupiga pesa mbele...aisee tujipnge Sana , Hadi nawaza jinsi maisha yatakuwa ghali huko Feb mwakan
 
Kwahio hizo za hao jamaa zina bei kubwa kuliko za kwetu, alafu watu bado wanatumia za hao watu sababu tu waziri amesema ? (Tuna tatizo kubwa sana kwenye vichwa vyetu)

Nadhani labda tatizo linaweza likawa kwenye yafuatayo:-
Ubora, bei au upatikanaji..., kama vyote hivyo vipo sawa basi ingawa huenda waziri ni tatizo lakini hao wakulima wenyewe ndio tatizo kubwa zaidi (matendo yao hayahusishi bongo zao)
 
ahsante mkulima mwenzangu.
kweli swala la mbolea ni changamoto ya muda mrefu.
Prof. Mkenda na Naibu wake naamini wataiondoa kero hii ili wakulima tuweze kuzalisha kwa tija.
Nmemsikia akitaja bei na brand ya mbolea toka Morocco ambayo ipo juu. Msikilize hapo kwenye link hyo

 
Kwahio hizo za hao jamaa zina bei kubwa kuliko za kwetu, alafu watu bado wanatumia za hao watu sababu tu waziri amesema ? (Tuna tatizo kubwa sana kwenye vichwa vyetu)

Nadhani labda tatizo linaweza likawa kwenye yafuatayo:-
Ubora, bei au upatikanaji..., kama vyote hivyo vipo sawa basi ingawa huenda waziri ni tatizo lakini hao wakulima wenyewe ndio tatizo kubwa zaidi (matendo yao hayahusishi bongo zao)
Yote yanawezekana ...lakn mkulima wa mwisho , hivi hujawahi kuta sehemu Ina bidhaa mbili za kazi moja, moja ipo juu moja chini Sana, na muuzaji akaamua kuweka Bei sawa tu ili apige maximum profit , hasa Kama mkulima Hana option ya kununua kwingine....mkuu achana na mfanya biashara
 
Uzoefu wa matumizi ya mbolea za viwandani kwenye kilimo cha vitunguu huko Mang'ola -Karatu ni kwamba kila msimu lazima uongeze kilo 50 za mbolea kama unataka kupata mavuno mazuri na usipoongeza unapata mavuno pungufu ya msimu uliopita. Kiujumla mbolea za viwandani ni sumu ya udongo. Wakulima wasisitizieni watumie samadi ambayo hulinda afya ya udongo kwa muda mrefu.
 
mpaka leo bado kweli Tanznia inaagiza mbolea kutoka Moroco?! hii ni aibu!!

Prof. Mkenda na elimu yake kweli unaenda Moroco kutafuta mbolea?! wakati Minjingu ipo?!!

jamani!! hivi hawa wasomi wetu walifoji elimu au?!

namsikia Dr. wa kituo cha utafiti wa kilimo (TARI) bila aibu anasifia mbolea ya nje?!
hakika bado tunasafari ndefu sana!!!.

kama tumeshindwa vingine hata kuzalisha mbolea kwa ajili ya wakulima wetu tumeshindwa?!

hivi kweli tumeshindwa kabisa kuwa na wataalamu/wanasayansi wa kuzalisha mbolea hapa hapa kwetu?!
na sisi wakulima tukapata mbolea kwa bei nafuu?!!

halafu mnataka uchumi ukue kweli?!!.
Minjungu ipo kwa nn msilete wataalamu kutoka nchi ya Moroco waje watusaidie maarifa hukuhuku Tz?!

au kuna viongozi wananufaika na huu mradi wa kuagiza mbolea kutoka nchini Moroco?!

Hadi leo hii sijaelewa hawa wasomi wetu walio pewa dhamana maarifa yao ya elimu wanayatumia ktk nn haswa? sioni ubunifu!!
 
kwanza nianze ku-Declare Interest Mimi Ni mdau wa Kilimo wa miaka mingi kuanzia Vitunguu na Nyanya Iringa mpaka Mahindi na Maharagwe Kia. Nmekua kwa muda mrefu nikitumia Mbolea zinazotengenezwa ndani ya nchi kwa ajili ya kupandia na Mambo mengine yahusuyo kulima, Tulianza na Mbolea ya mavi ya ng'ombe miaka Ile mpaka hii ya Sasa ya kiwandani nikiwa natumia Yara na Minjingu lkn tokea waziri huyu ameingia amekua akiipigia debe Mbolea ya kampuni moja ya Moroco ambayo hata bei yake ipo juu.

Kuna mkutano kabisa amesikika mpka akizitaja kwa majina na bei yake utazan yeye ndo afisa masoko wa kampuni hiyo. Hizi kampuni ambazo zinazalisha Mbolea hapa nchini kwa bei rahisi na wameajiri watanzania wenzetu zinapata taabu kwenye soko maana wale wahusika wa kampuni hyo ya Moroco wamekua wakiwasikilizisha clip hyo ya waziri. Jana nilikuwa KIA shambani akapita Afisa masoko wa kampuni hiyo akiwa na spika kuuubwa akipiga PA ya sauti ya waziri. Hapa nahisi Kuna hujuma maana baada ya hapo nkampigia Yule anaeniuziaga Mbolea kumuuliza hili swala akaniambia hata yeye hajui.

Naomba waziri ujue unahujumu sisi wakulima kwa kutufanya tununue Mbolea ya bei kubwa wakati zipo za bei rahisi akina minjingu, Baada ya kufuatilia zaidi ndo nkaambiwa mwakilishi wa kampuni hiyo kwa hapa nchini Ni Dr Mshindo Msolla ambae ni mwenyekiti wa Yanga na kabla aliwai kuwa pale wizara ya kilimo hivyo anamtumia waziri kuhujumu washindani wengine.
Ndo maana akamtumbua yule KAIMU MENEJA??

Nchi hii ni deal zinapigwa kila mahali

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
mpaka leo bado kweli Tanznia inaagiza mbolea kutoka Moroco?! hii ni aibu!!

Prof. Mkenda na elimu yake kweli unaenda Moroco kutafuta mbolea?! wakati Minjingu ipo?!!

jamani!! hivi hawa wasomi wetu walifoji elimu au?!

namsikia Dr. wa kituo cha utafiti wa kilimo (TARI) bila aibu anasifia mbolea ya nje?!
hakika bado tunasafari ndefu sana!!!.

kama tumeshindwa vingine hata kuzalisha mbolea kwa ajili ya wakulima wetu tumeshindwa?!

hivi kweli tumeshindwa kabisa kuwa na wataalamu/wanasayansi wa kuzalisha mbolea hapa hapa kwetu?!
na sisi wakulima tukapata mbolea kwa bei nafuu?!!

halafu mnataka uchumi ukue kweli?!!.
Minjungu ipo kwa nn msilete wataalamu kutoka nchi ya Moroco waje watusaidie maarifa hukuhuku Tz?!

au kuna viongozi wananufaika na huu mradi wa kuagiza mbolea kutoka nchini Moroco?!

Hadi leo hii sijaelewa hawa wasomi wetu walio pewa dhamana maarifa yao ya elimu wanayatumia ktk nn haswa? sioni ubunifu!!
Tatzo kila mtu anataka ale hapo Waziri nae anataka atengeneze shida kwenye Mbolea ili nae apate Kama ilivyo kwa Yule wa Sukari
 
Back
Top Bottom