Labda alijua atamletea kauzibe. Huyu Waziri mwanzoni alionekana Kama anaupiga mwingi lkn huku mbele mbele nahisi labda Kuna maagizo kapata toka mahali Fulani maana haeleweki nae Sasa.Ndo maana akamtumbua yule KAIMU MENEJA??
Nchi hii ni deal zinapigwa kila mahali
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Mkuu kuwa mkweli wa nafsi yako. Maadam umeleta mada hii, ni vyema ungesema ukweli ni aina gani ya mbolea inatengenezwa Mijingu na kama ni hiyo tu mbolea ndiyo inahitajika kwa mazao yote Tanzania? Eleza ukweli ni viwanda gani vya mbolea vipo nchini. Otherwise tuache utani na maslahi binafsi kwa maisha ya watanzania zaidi ya asilimia 70.kwanza nianze ku-Declare Interest Mimi ni mdau wa Kilimo wa miaka mingi kuanzia Vitunguu na Nyanya Iringa mpaka Mahindi na Maharagwe Kia. Nmekua kwa muda mrefu nikitumia Mbolea zinazotengenezwa ndani ya nchi kwa ajili ya kupandia na Mambo mengine yahusuyo kulima, Tulianza na Mbolea ya mavi ya ng'ombe miaka Ile mpaka hii ya Sasa ya kiwandani nikiwa natumia Yara na Minjingu lkn tokea waziri huyu ameingia amekua akiipigia debe Mbolea ya kampuni moja ya Moroco ambayo hata bei yake ipo juu.
Kuna mkutano kabisa amesikika mpka akizitaja kwa majina na bei yake utazan yeye ndo afisa masoko wa kampuni hiyo. Hizi kampuni ambazo zinazalisha Mbolea hapa nchini kwa bei rahisi na wameajiri watanzania wenzetu zinapata taabu kwenye soko maana wale wahusika wa kampuni hyo ya Moroco wamekua wakiwasikilizisha clip hyo ya waziri. Jana nilikuwa KIA shambani akapita Afisa masoko wa kampuni hiyo akiwa na spika kuuubwa akipiga PA ya sauti ya waziri. Hapa nahisi Kuna hujuma maana baada ya hapo nkampigia Yule anaeniuziaga Mbolea kumuuliza hili swala akaniambia hata yeye hajui.
Naomba waziri ujue unahujumu sisi wakulima kwa kutufanya tununue Mbolea ya bei kubwa wakati zipo za bei rahisi akina minjingu, Baada ya kufuatilia zaidi ndo nkaambiwa mwakilishi wa kampuni hiyo kwa hapa nchini Ni Dr Mshindo Msolla ambae ni mwenyekiti wa Yanga na kabla aliwai kuwa pale wizara ya kilimo hivyo anamtumia waziri kuhujumu washindani wengine.
Fucken sana! Huko ubaruku Mbarali Mbeya, mbolea msimu huu usio wa kilimo ni 80000+ halafu kilo ya mchele 8000---1300. Nazan msimu wa shamba itakuwa laki.
Naskia wakajiita wantingeSafi sana kundi la wakulima ndoi moja kati ya makundi yanayo vaaga sana tisht za kijani kipndi cha uchaguzi
pambaneni na hali zenu
Hapana.Ukizingatia paragraph kwenye uandishi wako utaeleweka vizuri!
Naskia wakajiita wantinge
"...bei yake zipo chini na zinatengenezwa nchini lkn hazipewi kipaumbele"!Mbolea ipi hyo mkuu nahisi Kama Kuna mtu anamhujumu maza kwa kweli maana Kuna ambazo bei yake zipo chini na zinatengenezwa nchini lkn hazipewi kipaumbele
Kwenye maelezo yangu namba 15 humu nmeweka clip ambayo waziri anataja bei ya mbolea kwa brand ambazo zinatoka kwenye hiyo kampuni ya Morocco kwanini. Msimamizi mkuu wa hiyo kampuni kwa hapa nchini anaitwa Dr Mshindo Msolla ambae nae ana vinasaba na Wizara ya kilimo miaka ya nyuma. Wewe hapo inakuletea picha gani mkuu"...bei yake zipo chini na zinatengenezwa nchini lkn hazipewi kipaumbele"!
Haiingi akilini hata kwa sekunde moja kuamini haya yaliyoandikwa hapa, lakini inawezekana kuna sababu kwa nini unataka watu waamini hivyo hata bila ya maelezo yoyote juu yake.
Kama wewe ni mkulima mzoefu kama ulivyoandika, uanatumia mbolea ambazo tayari unajuwa hukupa mavuno bora kabisa, tena bei yake ni nafuu, na zinatengenezwa hapa hapa nchini.
Mara anaingia waziri mpya kwenye wizara, anaamua ku'promote' mbolea ambayo ni ghali, toka nje, na pengine huna uzoefu nayo, na wala waziri hakuelezi chochote juu ya ku'promote' hiyo mbolea mpya!
Na wewe kama mkulima mzoefu, utanyamaza tu na kulalamikia pembeni? Huyu waziri bila sababu yoyote atakuja kukulazimisha ununue ile mbolea ya ghali?
Wewe una maslahi fulani ndani ya mfumo wa wizara hiyo ambayo yameguswa na waziri.
Kama si hivyo, basi tulizana utueleze malalamiko yako hasa ni juu ya kitu gani!
Kwa uchaguzi huu wa juzi wangehesabu Kama Zambia asaivi hii nchi ingekua ya Asali na Mana lkn tulipigwa kwa kila namna, tusinyoosheane vidoleSafi sana kundi la wakulima ndoi moja kati ya makundi yanayo vaaga sana tisht za kijani kipndi cha uchaguzi pambaneni na hali zenu
Mimi sijaongelea kwa minajili ya aina ya mbolea nmesema Ile waziri kutaja brand ya mbolea ya kampuni moja na price huoni Kama amewapandisha chati hao. Swali langu ndo lipo hapoMkuu kuwa mkweli wa nafsi yako. Maadam umeleta mada hii, ni vyema ungesema ukweli ni aina gani ya mbolea inatengenezwa Mijingu na kama ni hiyo tu mbolea ndiyo inahitajika kwa mazao yote Tanzania? Eleza ukweli ni viwanda gani vya mbolea vipo nchini. Otherwise tuache utani na maslahi binafsi kwa maisha ya watanzania zaidi ya asilimia 70.
Mkuu 'Shark', HESHIMA kwako.Kwenye maelezo yangu namba 15 humu nmeweka clip ambayo waziri anataja bei ya mbolea kwa brand ambazo zinatoka kwenye hiyo kampuni ya Morocco kwanini. Msimamizi mkuu wa hiyo kampuni kwa hapa nchini anaitwa Dr Mshindo Msolla ambae nae ana vinasaba na Wizara ya kilimo miaka ya nyuma. Wewe hapo inakuletea picha gani mkuu
Thanx mkuu for appreciation hii sekta ya wakulima yenye 70% ya wananchi wote ni Kama inahujumiwa sana kila Kona, hakuna zao ambalo utatamani ukalime ili uwe nawe na hela bila mwanasiasa kuingiza mkono wake. Korosho ilikua angalau linasaidia kumuinua mwananchi mkulima lkn likaingiliwa. Naamini Prof Mkenda Kama aliongea vile sio kwa kukuhujumiwa anaeza badilisha maneno yake ili wakulima tuwe na ahueni. Mpaka sasa bado kampuni ya Moroco inatumia maneno yake Kama promo kwa bidhaa zao zenye bei ya juu.Mkuu 'Shark', HESHIMA kwako.
Kwanza niseme ya kwamba nilipoandika mchango wangu ulioujibu hapa nilikuwa sijaiona hiyo 'clip' uliyoiweka hapo #15.
Ninaheshimu sana mtu anayetoa ushahidi kwa jambo ambalo analiandikia kama wewe ulivyofanya hapa. Jukwaa hili la JF lingekuwa na heshima kubwa sana linapoendesha majadiliano yenye ushahidi, kama hivi ulivyofanya wewe.
Baada ya kuyasema hayo hapo juu, inanipa tatizo sana sasa kumtetea huyu Prof. Mkenda, ambaye kwa hakika niliweka matumaini makubwa juu ya utendaji wake katika wizara hiyo muhimu sana katika maendeleo ya nchi yetu, na hasa katika kuinua maisha ya waTanzania wengi wanaojishughulisha na kilimo.
Kwa hakika hapa Prof. hata sijui nimweleze vipi, ili isionekane kwamba anajiweka katika ku'promote' biashara za kampuni binafsi. Huyu, ingekuwa ni nchi yenye uhuru na haki, ingetakiwa kuwa 'challenged' hata kisheria kwa tabia mbovu ya aina hii anayoonyesha waziwazi.
Hata hivyo, maadam hajazuia mbolea nyingine ziwepo sokoni, uamzi ni wa mkulima binafsi.
Nirudie tena, nakushukuru kwa mchango wako huu wa maana kubwa sana.
Kama ni kweli basi inabidi TAKUKURU ichunguze mambo haya.kwanza nianze ku-Declare Interest Mimi ni mdau wa Kilimo wa miaka mingi kuanzia Vitunguu na Nyanya Iringa mpaka Mahindi na Maharagwe Kia. Nmekua kwa muda mrefu nikitumia Mbolea zinazotengenezwa ndani ya nchi kwa ajili ya kupandia na Mambo mengine yahusuyo kulima, Tulianza na Mbolea ya mavi ya ng'ombe miaka Ile mpaka hii ya Sasa ya kiwandani nikiwa natumia Yara na Minjingu lkn tokea waziri huyu ameingia amekua akiipigia debe Mbolea ya kampuni moja ya Moroco ambayo hata bei yake ipo juu.
Kuna mkutano kabisa amesikika mpka akizitaja kwa majina na bei yake utazan yeye ndo afisa masoko wa kampuni hiyo. Hizi kampuni ambazo zinazalisha Mbolea hapa nchini kwa bei rahisi na wameajiri watanzania wenzetu zinapata taabu kwenye soko maana wale wahusika wa kampuni hyo ya Moroco wamekua wakiwasikilizisha clip hyo ya waziri. Jana nilikuwa KIA shambani akapita Afisa masoko wa kampuni hiyo akiwa na spika kuuubwa akipiga PA ya sauti ya waziri. Hapa nahisi Kuna hujuma maana baada ya hapo nkampigia Yule anaeniuziaga Mbolea kumuuliza hili swala akaniambia hata yeye hajui.
Naomba waziri ujue unahujumu sisi wakulima kwa kutufanya tununue Mbolea ya bei kubwa wakati zipo za bei rahisi akina minjingu, Baada ya kufuatilia zaidi ndo nkaambiwa mwakilishi wa kampuni hiyo kwa hapa nchini Ni Dr Mshindo Msolla ambae ni mwenyekiti wa Yanga na kabla aliwai kuwa pale wizara ya kilimo hivyo anamtumia waziri kuhujumu washindani wengine.
Morogoro Dakawa bei ya urea 82000 1 kg ya mchele 1000Huko ubaruku Mbarali Mbeya, mbolea msimu huu usio wa kilimo ni 80000+ halafu kilo ya mchele 8000---1300. Nazan msimu wa shamba itakuwa laki.
Mkuu unamaanisha kilo moja ya mchele ni elfu 8 ama mia 8??Huko ubaruku Mbarali Mbeya, mbolea msimu huu usio wa kilimo ni 80000+ halafu kilo ya mchele 8000---1300.
Moja ya kazi za usalama wa taifa ni kufutilia uhujumu wa namna hii (economic sabotage). Kilimo, na mnyororo wake wa thamani, kinaajiri zaidi ya asilimia 70 ya watanzania. Itasikitisha sana kama itaruhusiwa kuchezea hii sekta kiduwanzi hivyo,Hivi mnajua watu sita au saba au hata mmoja mwenye misuli ya uchumi anaweza kununua mborea itakayo zalishwa msimu wa kiangazi yoote na akaihifadhi had msimu wa kilimo ukafika....pengne msimu wa kilimo ukifika kiwanda kikadhalish kwa rate ile ile lakni mbolea ikawa haitoshi na matajiri kadhaa wakawa nayo kwenye magodowns , kufanya hivo supply inakuwa down wakati demand inakuwa juu na price inakuwa kwa Kasi Zaid...fact hyo hyo ni kwa sukari mahindi na kadhalika