Hapana Terrorist ni Ugaidi!Terrorism ni utalii
Unga Unga MwanaTerrorism ni utalii
Kule kwenye Mahakama kashikilia hilo yule shahidiKwahiyo maafande wanasema terrorism ni utalii
Aliwaza Nyuma Geuka, Nyuma Geuka, Mguu Upande, Hatua Moja Mbele SongaKwahiyo maafande wanasema terrorism ni utalii
Anakuambia sii sahihi Retired. 🏃Nina uhakika unafuatilia kwa makini nini kinaendelea katia kesi ya Mbowe et al na mashaidi wa Jamhuri kutoka jeshi la polisi.
I need not say more kuwa si sahihi kusema polisi hamhitaji div 1 nd 2!
For that matter, what is learned from Police witnesses, si sahihi contention yako kuwa Jeshini ni nguvu na akili kidogo, si sahihi!
Hiyo mitulinga ya kwata imepitwa na wakatiAliwaza Nyuma Geuka, Nyuma Geuka, Mguu Upande, Hatua Moja Mbele Songa
Kutengeneza muvi siyo kazi nyepesi hata kidogo! Ndiyo maana hata Bongo Muvi wetu wanachemka kutokana na kukosa elimu sahihi ya maigizo.Kwahiyo maafande wanasema terrorism ni utalii
Nina uhakika unafuatilia kwa makini nini kinaendelea katia kesi ya Mbowe et al na mashaidi wa Jamhuri kutoka jeshi la polisi.
I need not say more kuwa si sahihi kusema polisi hamhitaji div 1 nd 2!
For that matter, what is learned from Police witnesses, si sahihi contention yako kuwa Jeshini ni nguvu na akili kidogo, ie MITULINGA MINGI AKILI KIDOGO , si sahihi!
Mama Fukuza huyu Waziri ajali kila siku,mteue Kangi aje kwenye wizara yake ,tufe wangapi ndio mchukue hatua?Nina uhakika unafuatilia kwa makini nini kinaendelea katia kesi ya Mbowe et al na mashaidi wa Jamhuri kutoka jeshi la polisi.
I need not say more kuwa si sahihi kusema polisi hamhitaji div 1 nd 2!
For that matter, what is learned from Police witnesses, si sahihi contention yako kuwa Jeshini ni nguvu na akili kidogo, ie MITULINGA MINGI AKILI KIDOGO , si sahihi!
nakubaliana na wewe, fukuzaMama Fukuza huyu Waziri ajali kila siku,mteue Kangi aje kwenye wizara yake ,tufe wangapi ndio mchukue hatua?
exactly, bongo movies ni matatizo.... mtu anaibuka Kimanzichana without any formal training eti ni star wa movies...incredible!Kutengeneza muvi siyo kazi nyepesi hata kidogo! Ndiyo maana hata Bongo Muvi wetu wanachemka kutokana na kukosa elimu sahihi ya maigizo.
Nina uhakika unafuatilia kwa makini nini kinaendelea katia kesi ya Mbowe et al na mashaidi wa Jamhuri kutoka jeshi la polisi.
I need not say more kuwa si sahihi kusema polisi hamhitaji div 1 nd 2!
For that matter, what is learned from Police witnesses, si sahihi contention yako kuwa Jeshini ni nguvu na akili kidogo, ie MITULINGA MINGI AKILI KIDOGO , si sahihi!
HahahahaTerrorism ni utalii
Pumbavu zake huyuHuyu ndiye mwamba mwenyewe wa mambo ya terrorism na report yake:
View attachment 1991187
Pitia report kuona. Wako wapi kina Ibambasi, Wakudadavuwa, johnthebaptist, Jumbe Brown na binamu zao? Kuna mwenzenu hapa:
View attachment 1991192
Hii case hadi iishe Sirro asipoomba kujiuzulu mwenyewe, atakuwa na matatizo yenye kuhitaji tiba mirembe.