Waziri Simbachawene, sio kila Mtanzania ana gobole kama la Mzee Machemba

Waziri Simbachawene, sio kila Mtanzania ana gobole kama la Mzee Machemba

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Miaka ya themanini baada ya vita vya Kagera mikoa ya kanda ya ziwa ilishuhudia wimbi kubwa la uvamizi wa kutumia siraha.

Nilikuwa najitambua japokuwa nilikuwa mdogo kiumri. Mtaa na kijiji nilichoishi alikuwepo mzee mmoja alikuwa na uwezo kidogo na kila mtu alitambua kuwa alikuwa akimiliki gobole au shotgugun. Maana alikuwa akienda kuwinda nalo na pia alionekana mara kwa mara akilibeba ili kwenda nalo kulipia leseni.

Siku moja miaka ya 1980's majambazi walivamia kwenye mji wa jamaa mmoja jina nalihifadhi ambae alikuwa na maduka ya bidhaa toka Kenya. Maana miaka hiyo kila kitu maneo ya kanda ya Ziwa zilitumika bidhaa toka Kenya. Na majambazi hayo yalitishia wananchi kwa kupiga baruti ili yaonekane yana siraha za moto.

Hakuna aliyepata ukweli juu nini kiliporwa hapo kwenye hilo tukio. Lakini kesho yake kila mtu alikuwa na swali moja tu. Mzee Machemba alikuwa wapi kulinda jamaa zake maana yeye ana gobole ambalo linaweza kulinda mtaa na kijiji.

Hatukusikia mzee Machemba akifyatua hata warning shot ili majambazi watimue mbio.

Leo hii tunambiwa na Igp Sirro tuwe na mapanga ili kujilinda. Hivi yatawatisha majambazi walio na Ak 47? Kama hata hatuna gobole kama la mzee Machemba?
 
Miaka ya themanini baada ya vita vya Kagera mikoa ya kanda ya ziwa ilishuhudia wimbi kubwa la uvamizi wa kutumia siraha.

Nilikuwa najitambua japokuwa nilikuwa mdogo kiumri. Mtaa na kijiji nilichoishi alikuwepo mzee mmoja alikuwa na uwezo kidogo na kila mtu alitambua kuwa alikuwa akimiliki gobole au shotgugun. Maana alikuwa akienda kuwinda nalo na pia alionekana mara kwa mara akilibeba ili kwenda nalo kulipia leseni.

Siku moja miaka ya 1980's majambazi walivamia kwenye mji wa jamaa mmoja jina nalihifadhi ambae alikuwa na maduka ya bidhaa toka Kenya. Maana miaka hiyo kila kitu maneo ya kanda ya Ziwa zilitumika bidhaa toka Kenya. Na majambazi hayo yalitishia wananchi kwa kupiga baruti ili yaonekane yana siraha za moto.

Hakuna aliyepata ukweli juu nini kiliporwa hapo kwenye hilo tukio. Lakini kesho yake kila mtu alikuwa na swali moja tu. Mzee Machemba alikuwa wapi kulinda jamaa zake maana yeye ana gobole ambalo linaweza kulinda mtaa na kijiji.

Hatukusikia mzee Machemba akifyatua hata warning shot ili majambazi watimue mbio.

Leo hii tunambiwa na Igp Sirro tuwe na mapanga ili kujilinda. Hivi yatawatisha majambazi walio na Ak 47? Kama hata hatuna gobole kama la mzee Machemba?
Kwenye maandamano ya wapinzani utawaona na silaha nzito na magari lukuki.
Kwenye kulinda raia maneno meengi!
 
Waruhusu umilikibsilaha ndogo uwe rahisi maana sasa utadhani unaomba umiliki kambi heshi na silaha zake.....tunaishi karne 17 kabisa wenye biashara wanaishi kwa tabu sana
 
Miaka ya themanini baada ya vita vya Kagera mikoa ya kanda ya ziwa ilishuhudia wimbi kubwa la uvamizi wa kutumia siraha.

Nilikuwa najitambua japokuwa nilikuwa mdogo kiumri. Mtaa na kijiji nilichoishi alikuwepo mzee mmoja alikuwa na uwezo kidogo na kila mtu alitambua kuwa alikuwa akimiliki gobole au shotgugun. Maana alikuwa akienda kuwinda nalo na pia alionekana mara kwa mara akilibeba ili kwenda nalo kulipia leseni.

Siku moja miaka ya 1980's majambazi walivamia kwenye mji wa jamaa mmoja jina nalihifadhi ambae alikuwa na maduka ya bidhaa toka Kenya. Maana miaka hiyo kila kitu maneo ya kanda ya Ziwa zilitumika bidhaa toka Kenya. Na majambazi hayo yalitishia wananchi kwa kupiga baruti ili yaonekane yana siraha za moto.

Hakuna aliyepata ukweli juu nini kiliporwa hapo kwenye hilo tukio. Lakini kesho yake kila mtu alikuwa na swali moja tu. Mzee Machemba alikuwa wapi kulinda jamaa zake maana yeye ana gobole ambalo linaweza kulinda mtaa na kijiji.

Hatukusikia mzee Machemba akifyatua hata warning shot ili majambazi watimue mbio.

Leo hii tunambiwa na Igp Sirro tuwe na mapanga ili kujilinda. Hivi yatawatisha majambazi walio na Ak 47? Kama hata hatuna gobole kama la mzee Machemba?
Naona musiba malaga cyprian umepata hoja ya kudandia. We mataga uchwara utateseka sana awamu hii!
 
Kwahiyo wamechoka au wameshindwa Kulinda Raia na Mali zao?sasa wajilinde wenyewe au?
 
Miaka ya themanini baada ya vita vya Kagera mikoa ya kanda ya ziwa ilishuhudia wimbi kubwa la uvamizi wa kutumia siraha.

Nilikuwa najitambua japokuwa nilikuwa mdogo kiumri. Mtaa na kijiji nilichoishi alikuwepo mzee mmoja alikuwa
Kwa nini unawaza kuwa hao majambazi watakuja na AK47 tu na wala siyo mapanga na nondo?? Mwanaume halisi lazima uwe na silaha nyepesi nyumbani kwako. Labda wanaume wa Dar wanaotengeneza miguu na kusugua nyuso zao ndiyo ambao hawana hata panga au nondo nyumbani kwao!
 
Kwa nini unawaza kuwa hao majambazi watakuja na AK47 tu na wala siyo mapanga na nondo?? Mwanaume halisi lazima uwe na silaha nyepesi nyumbani kwako. Labda wanaume wa Dar wanaotengeneza miguu na kusugua nyuso zao ndiyo ambao hawana hata panga au nondo nyumbani kwao!
Sawa
 
Back
Top Bottom