Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...
Kwa nini kama ana taarifa akamatwe au ukiwa na taarifa za uhalifu mpaka ukamatwe? Kama hivyo ndivyo, nani yuko tayari kukamatwa ili atoe taarifa? Kama anaona inatakiwa angesema 'Zitto awasaidie polisi kupata taarifa kuhusu kuchoma shamba lake'.
Mashamba ya Mbowe kule hai yaliyoharibiwa chini ya biyakanwa na yakawe mfano kuthibitisha hili!
Jitu halijawahi hata kuwa mwalimu mkuu wa shule linapewa nchi?
Nitaandika kuhusu uhalifu wa Magufuli hadi siku yangu ya mwisho ya kupumua. Yaani yule muuaji na mwizi ndiyo mnalazimisha aonekane katenda mema ya ajabu Tanzania. HAPANA
Nitaandika kuhusu uhalifu wa Magufuli hadi siku yangu ya mwisho ya kupumua. Yaani yule muuaji na mwizi ndiyo mnalazimisha aonekane katenda mema ya ajabu Tanzania. HAPANA
We Nyankurungu hivi ni kweli hauoni uhuiano wa maelezo ya saint ivuga na kumkamata mchomaji wa mashamba na majengo? Au ni we ni mshirika/ mnufaika wa matukio hayo?
Ni hivi, hoja ya saint ivuga anahoji kuwa kama ninyi washirika wa Jpm mlikuwa wapi wakati huo mkashindwa huwaita mwahoji waliochoma ofisi za imma advocates, mashamba ya Mh Mbowe na Mh Zitto, nyumba nk huku wahanga wa matukio wakijibiwa maneno "mbofu mbofu" kuwa wanatafuta umaarufu.
Kwa sasa mkae kimya muache watu wasikie lolote linaloweza kusemwa pengine wanaweza pata fununu za watesi wao maana wakati huo hamkuona umuhimu wa kufanya uchunguzi hata wa wale waliopigwa risasi na kuokotwa katika viroba.
Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...
Mbona unapanic?
Simbachawene hana IQ ya kutusha kumsaidia yeye wala serikali anayoitumikia.
Utafikiri haoni hii aibu serikali inayoibeba kwenye kesi ya Mbowe.
Wengine tunaona ni sawa tu, akamatwe apelekwe mahakamani ili tusikie vitimbwi vya wasiojulikana.
Hatimaye tulijua tu watajitokeza na kujua waliowatuma.
We Nyankurungu hivi ni kweli hauoni uhuiano wa maelezo ya saint ivuga na kumkamata mchomaji wa mashamba na majengo? Au ni we ni mshirika/ mnufaika wa matukio hayo?
Ni hivi, hoja ya saint ivuga anahoji kuwa kama ninyi washirika wa Jpm mlikuwa wapi wakati huo mkashindwa huwaita mwahoji waliochoma ofisi za imma advocates, mashamba ya Mh Mbowe na Mh Zitto, nyumba nk huku wahanga wa matukio wakijibiwa maneno "mbofu mbofu" kuwa wanatafuta umaarufu.
Kwa sasa mkae kimya muache watu wasikie lolote linaloweza kusemwa pengine wanaweza pata fununu za watesi wao maana wakati huo hamkuona umuhimu wa kufanya uchunguzi hata wa wale waliopigwa risasi na kuokotwa katika viroba.
Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...
Hata Adolph Hitler huko Germany kuna watu wanamkubali hadi leo na kuna siku maalum wanaandamana na kufanya kumbukumbu yake. Huyu Mwendazake anakubalika na wasio na kisomo aliiwabatiza jina "wanyonge".
Hata Adolph Hitler huko Germany kuna watu wanamkubali hadi leo na kuna siku maalum wanaandamana na kufanya kumbukumbu yake. Huyu Mwendazake anakubalika na wasio na kisomo aliiwabatiza jina "wanyonge".
Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...
Siasa za JIWE zilikuwa za Hovyo sana ,unashangaa kuchomewa shamba na nyumba? Mbona ni ndogo sana hizo ,ulijiuliza wale waliokutwa kwenye viroba? Ben, Azory, Kanguye, Rujabe wamepotea!!
Huu ni uzandiki mbaya sana kwa mwanasiasa kumchafua kiongozi aliyetangulia mbele za haki.
Maadamu jinai haina mwisho na huyu Zitto anadai kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake, nyumba iliyoko Kigoma na shamba la korosho huko mtwara.
Kama huyu Zitto sio muongo basi akamatwe na kusaidia jeshi la polisi liwakamate hao waliotumwa kuchoma mali zake. Maana hili ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo cha maisha.
My take; Kufuga wanasiasa kama huyu Zitto kwenye taifa letu ni kufuga maadui wasiofaa kabisa.
Nyumba ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yaungua moto. Bado chanzo hakijajulikana. Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezungumzia tukio la kuteketea moto nyumba yake jioni ya leo na kueleza kuwa licha ya moto huo kuunguza vitu...
Magufuli alikuwa Rais muhalifu na alifanya matendo mengi ya kihalifu, ila tuna katiba inayolinda marais wahalifu. Lakini hakuna shida iko siku hizi kinga zitaondolewa. Pamoja na kwamba Zitto ni mnafiki ila kwa hili ameongea ukweli.
Magufuli alikuwa rais muhalifu, na alifanya matendo mengi ya kihalifu, ila tuna katiba inayolinda marais wahalifu. Lakini hakuna shida iko siku hizi kinga zitaondolewa. Pamoja na kwamba Zito ni mnafiki ila kwa hili ameongea ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.