Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega, akikagua maendeleo ya matengenezo ya barabara za Samora iliyopo Posta, katikati ya jiji la Dar es Salaam usiku huu.
Kupata taarifa, matukio na mijadala katika mikoa mingine Bara na Zanzibar ingia hapa: Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Barabara hiyo muhimu inafanyiwa matengenezo makubwa ikiwemo kupitisha mradi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi katika jitihada za serikali ya awamu ya sita ya kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji nchini Tanzania.
Kupata vimbwanga na vituko vya wanasiasa kuelekea uchaguzi mkuu pita hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega, akikagua maendeleo ya matengenezo ya barabara za Samora iliyopo Posta, katikati ya jiji la Dar es Salaam usiku huu.
Kupata taarifa, matukio na mijadala katika mikoa mingine Bara na Zanzibar ingia hapa: Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Barabara hiyo muhimu inafanyiwa matengenezo makubwa ikiwemo kupitisha mradi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi katika jitihada za serikali ya awamu ya sita ya kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji nchini Tanzania.
Kupata vimbwanga na vituko vya wanasiasa kuelekea uchaguzi mkuu pita hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025