Waziri Ulega: Uliamua kuwa mnafiki kwa Mpina ili uwe Waziri?!

Waziri Ulega: Uliamua kuwa mnafiki kwa Mpina ili uwe Waziri?!

KAteme

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
483
Reaction score
907
Nimeangalia hotuba ya Waziri wa mifugo na uvuvi wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Wizara yake...jamaa anajisifu kwamba kwa kutomshauri Waziri Mpina kipindi akiwa Boss wake ndiko kumempatia nafasi ya uwaziri....How pathetic!?...Kazi ya Naibu Waziri ni mshauri namba moja wa Waziri husika, sasa jamaa Bila aibu anatamba kwamba alijua Waziri wake anakosea lakini yeye akakaa kimya.

Ulega pia anatetea uvinjifu wa Sheria kwa kukosoa kuchomwa vifaranga waliongizwa Nchini kinyume cha utaratibu...

Pia Waziri huyu anaonekana katumwa kuwatisha Mawaziri waliotolewa kwenye wizara wasitoe mawazo yao.. nadhan hiyo sio sawa, Mawaziri wastaafu wasibagazwe eti kisa na wao wamewahi kuwa Mawaziri. Binafsi nadhan michango ya Mawaziri wastaafu ni muhimu sana na inaonesha misimamo yao na si ajabu misimamo hiyo ndiyo iliyowafanya kutenguliwa...

Rai yangu ni kwamba Mawaziri wastaafu wasisakamwe pindi watoapo michango yao bungeni... mwisho wa siku wote ni wawakilishi wa wananchi.
 
Mzaramo wa kimanzichana, kunaitwa mkamba sehemu mmoja aliyetokea Kighoma Aly Malima na pia alikuwa chawa wa Rizmoko.
 
Huyo jamaa akiongea tu unajua kichwan ni debe tupu, Ujinga mwingii kama ulivyo mdomo wake mkubwa.


Mpina anaongea hoja, yeye anajibu uswahili Swahili ,Et kwann uvichome mbele ya watu, navyo ni viumbe 😃

Japan mwezi wa tatu wamechoma vifaranga zaidi ya Milion Moja.
 
Huyo jamaa akiongea tu unajua kichwan ni debe tupu, Ujinga mwingii kama ulivyo mdomo wake mkubwa.


Mpina anaongea hoja, yeye anajibu uswahili Swahili ,Et kwann uvichome mbele ya watu, navyo ni viumbe 😃

Japan mwezi wa tatu wamechoma vifaranga zaidi ya Milion Moja.
Yaani..inasikitisha sana...sasa sijui wanafanyaje ata kuwa wabunge
 
Nimeangalia hotuba ya Waziri wa mifugo na uvuvi wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Wizara yake...jamaa anajisifu kwamba kwa kutomshauri Waziri Mpina kipindi akiwa Boss wake ndiko kumempatia nafasi ya uwaziri....How pathetic!?...Kazi ya Naibu Waziri ni mshauri namba moja wa Waziri husika, sasa jamaa Bila aibu anatamba kwamba alijua Waziri wake anakosea lakini yeye akakaa kimya.

Ulega pia anatetea uvinjifu wa Sheria kwa kukosoa kuchomwa vifaranga waliongizwa Nchini kinyume cha utaratibu...

Pia Waziri huyu anaonekana katumwa kuwatisha Mawaziri waliotolewa kwenye wizara wasitoe mawazo yao.. nadhan hiyo sio sawa, Mawaziri wastaafu wasibagazwe eti kisa na wao wamewahi kuwa Mawaziri. Binafsi nadhan michango ya Mawaziri wastaafu ni muhimu sana na inaonesha misimamo yao na si ajabu misimamo hiyo ndiyo iliyowafanya kutenguliwa...

Rai yangu ni kwamba Mawaziri wastaafu wasisakamwe pindi watoapo michango yao bungeni... mwisho wa siku wote ni wawakilishi wa wananchi.
Hata mimi nimeshangazwa na kauli ya huyu waziri kwa aina hii ya viongozi wetu je kweli wataweza kumshauri raisi na kumwambia ukweli ikiwa kutakuwa na mapungufu,jamaa ni mnafiki bila aibu na ni mtu wa kujikweza sana, ana maneno ya kiswahili utadhani muuza kahawa kijiweni, Pole mh Mpina kumbe alikuwa na msaidizi ambaye alikuwa anamhujumu na mnafiki.
 
Back
Top Bottom