johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!
Mh. Waziri Ummy mwalimu,pita majimbo yote ambayo wabunge walipita bila kupingwa,utakutana na madudubya ajabu kuhusu wizi wa fedha za umma. Pitia pia jimbo la chalinze,mtama,Ruangwa.Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!
Tatizo anakunywa mipombe michafu hata hajui anapost nini.Kwa hiyo Waziri Ummy amemwambia ajitathmini kutokana na kumpitisha January bila kupingwa? Story zako huwa unaziandika kipumbavu sana.
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Maneno mengi ya nini? Hili ndio tatizo la viongozi wetu unafikiri hawajui sheria za utumishi, Msimamishe, CAG akague kama kuna wizi afukuzwe kazi au apelekwe mahakamani, na kama hakuna wizi aendelee na kazi Yake. Ukiona Maneno mengi huenda ni majungu tuWaziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!
Mtu kala hela afukuzwe kazi????? Acheni maneno mingi nyie.Maneno mengi ya nini? Hili ndio tatizo la viongozi wetu unafikiri hawajui sheria za utumishi, Msimamishe, CAG akague kama kuna wizi afukuzwe kazi au apelekwe mahakamani, na kama hakuna wizi aendelee na kazi Yake. Ukiona Maneno mengi huenda ni majungu tu
Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!
Soma kwanza, usipanikiMtu kala hela afukuzwe kazi????? Acheni maneno mingi nyie.
"Afukuzwe kazi au apelekwe mahakamani" Ili uone sijapanik futa hiyo afukuzwe kazi. NextSoma kwanza, usipaniki
26 August 2020Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!
Sio makosa yote lazima yapelekwe mahakamani ndio maana nikaweka option zote 2, mengine unafukuzwa moja kwa moja soma sheria za utumishi."Afukuzwe kazi au apelekwe mahakamani" Ili uone sijapanik futa hiyo afukuzwe kazi. Next
Mbona hazingumzii DED wa BAHI?Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake.
Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia halijamshukia.
Bumbuli ni jimbo la January Makamba.
Kazi Iendelee!