Waziri Ummy: Ma-DED chanzo wanawake kupigana ofisini

Ccm ni wazinzi na waasherati
 
Liverpool VPN umelizungumzia hili sana humu na hili limedhihirishwa na Waziri wa Tamiseni.

Ofisi za serikali hasa za huko halimashauri kumegeuka madanguro kati ya wakurugenzi na watumishi wa kike.
Hawaelewi ndugu na watawaoa haohao.

Kazini Kuna Demu mmoja PS analiwa na DED halafu kila siku utamsikia "Mr. Liverpool utaoa lini?, Nioe basi"

Huwa najiuliza! "kwahiyo mi ndio wakuoa mbunye iliyomwagiwa mishaw* ya watu mpaka ikachoka?"

#YNWA
 
Ukiwa Na mchumba una malengo naye akikuambia nafanya kazi kwa DED ni bora kuanza kutafuta msichana Mwingine Safari haziishi mara naenda kwenye kikao nje ya halmashaur juwa anaenda kwenye kazi maalumu
DED na DC, DAS (Viongozi wa chini ya TAMISEMI) hawaruhusiwi kusafiri na wafanyakazi wao eti kwasababu ya kwenda kufanya Kazi.

Isipokuwa kama huko waendako kama wizarani wameelekeza hivyo.

Huwa wanalazimisha kusafiri na mademu zenu ili wakawale mbunye zao tu.

#YNWA
 
Asikwambie mtu maDED wana mipunga ya kutosha kwa Rushwa,waache watoto wa kike wapiganie mipunga kutoka kwa "MADEDI" wadeadishane vizuri kwa NGOMA.
 

Kwamba?

"Hebu tafuta nje ya halmashauri, lakini isiwe chanzo cha wanawake kupigana maana posho nayo huwa kubwa unajengewa nyumba, wanapewa gari inabidi wanawake tu wapigane."

Hiiiiii bagosha, Makubwa!

Uthibitisho mwingine kuwa vigogo hawalipi kodi.

Bila ya katiba mpya, bado sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…