Waziri Ummy: Ma-DED chanzo wanawake kupigana ofisini

Kwanza umeandika nini hapo mkuu, hivi unahisi wewe huwezi kuupata huo ukimwi.
Hapa issue sio kupata unaupata kwa umalaya wako Kafie mbali hakuna wa kukuhurumia! Watu siku hizi tunajifariji ujinga UKIMWI ni hatari! Eti utalikuta jitu linasema ni kama malaria! Adhari ya ukimwi kwenye familia ni kubwa sana maana mgonjwa anaadhiri sana uchumi kwa matibabu! Tuwe makini na Kumwomba Mungu!
 
Kwa hiyo mkurugenzi akishashiba manoti zile pisi kali zote anataka amiliki yeye? hapo kazi lazima ziyumbe.....
 
Hiyo ni moja kati ya sifa za viongozi wa Ccm. Sio ma ded tuu. Kwani hata bungeni ndio maneno yao hayo hayo
 
Wanaume tukalilie wapi? tuna bakwa sana! tutoe utamu bure! ila tu sura zetu ni ngumu!! huwa tunakomaa! tunakausha make mwanaume huwezi sema nimebakwa! tumeumbwa ivo!

wanaume tunasoteshwa sana huko kwenye halmashauri ajili ya mapenzi, mpaka me unalia pooo!! ukiwa mlaini ndo basi tena ila wengine tunakomaa mpaka tumetoka, na majinayetu yapo huko, hayana maelezo, ila tunajua sisi chanzo ni Penzi!

ukimuacha binti wa mkurugenzi, Mkuu wa kazi, weee! unalo nakwambia!! tena huamishwi unakatiwa mshahara tu! maksudi, wanakutafutia bonge la sababu, wanakuacha hapo utajua wewe uende kazini au uzunguke zunguke kazini humo km chizi! lkn posho huna,

wanakutegea ufanye kakosa kidogo wana kusotesha si kawaida! au wanachunguza unapendelea nini saana!! wanakuachishia humo humo wanakuandikia maelezo mareeefu! sometimes ivi ivi tu! Ummy Usikae ofisini tu zunguka uone utakaa chini nakwambia!

mfano unaweza omba kwenda shule watakuzungusha weee! ile staki nataka sasa wewe nenda uone! ........shule hutaisoma na kazi wanakata posho yako!! ukitafuta part time wanakuita kazini! wewe yaani huko ni shida tupu! labda uwe mchawi hapo sawa!!

ke na ni watu wanatamani mno kuliko waname! tena wao wanaenda mbali wanaturoga kabisaaa!! hawa ndo wa kuanza nao kuwadhibiti! wanaume tunaonewa sana eti kwa sababu hatusemagi, eti wametuzaa! jamani heee!

Sasa uwe mkurugenzi ke'' eti wakuache kweli? wallah! unalo, Ummy ukitaka wape dawa ya kuwaondolea mvuto hao wakurugenzi wa kiume! manake si wao wanafanya maamuzi hayo, utafukuza wengi sana, jua wanarogwa mno!

wakurugenzi wanawake hawarogwi na wafanyakazi wa kiume! kabisaa amini maneno yangu! make wanaume hawanaga time na ulozi ndo maana hawa wakurugenzi wa kike wanaishiaga kugongwa na madereva wao me'' tu! si zaidi ya hapo, na ndo ilivo tunajua kila kitu!

Kwanza wana hela , mamlaka, umiliki, vijana, sasa kun amwanamke gani mwenye atamuacha huyu wa ivi kweli? hata km ungekuwa wewe kwa umri wako huo jinsi ulivo ivo Ummy!! fikiria tu! mkurugenzi kijana anajipitisha pitisha hapo mbele yako!

huumwi! huna shida, huna mawazo, hakuna kelele, huzongwi zongwi, no suspect!! ni kitu kinaita kwa afya! sasa Mkurugenzi awe Tata nyarusare utamuacha aende zake kirahisi tu? eti wakale wengine!!! km siyo kukamatafaster fursa?

Unajifanya hujui fursa? Mme/mke wako, fikiria tu kidogo kwanza ulimpata pataje sema ukweli wa nafsi! ..... km huta cheka mwenyewe hapo kwa kiti chako! hkn anae kuona wee cheka tuuu, mpaka ! ........ hata mtu akikuona hajui unacheka nini!!!
 
Ummy alisema bungeni huwa anamkagua bk binti yake,so hawezi kuwaacha Deds
Kumkagua binti bkr ni kumdhalilisha!! Ni shambulizi la kisaikologia na tiba yake ni ngumu!! Atabaki na jeraha la kisaikologia maisha yake yote!!
 
Mh!!!!
 
Kya
msiwatoe mnabaki na wazinzzi ofisini wa ninii ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…