Waziri Ummy: Mikoa zaidi ya 15 haina mgonjwa yeyote wa Corona

Waziri Ummy: Mikoa zaidi ya 15 haina mgonjwa yeyote wa Corona

Kabisa Mkuu.
Mtu atakwambia hakuna covid-19 lakini akifika kwakwe anatasa mikono na kupiga nyungu sasa mwenzangu namimi hata muda wa barakoa hakuna unaumia peupe kabisa
 
Kabisa Mkuu.
Nimeona jana WTO(World Tourism Organization) imezipongeza baadhi ya nchi za E/Africa kwa kupambana vilivyo na Covid na wakasema wata recommend watalii kwenda kwny nchi hizo pindi utalii utakapo rejea tena.

Naona bongo hatukutajwa,sasa hii sijui ina maana gani kwa Kigwangala na sekta nzima ya utalii mzee baba.
 
Ndiyo maana yake lakini tunadanganywa eti Tanzania is free from COVID-19!!!
Hapohapo tunakomaa na nchi ya Kenya wasitaje uraia wa madereva husika wataokutwa na Covid hahah.
 
Tanzania ina mikoa 31, mikoa 15 haina wagonjwa, kwa hiyo mikoa 16 ina wagonjwa.
Lakini wagonjwa waliobaki ni 4 tu!!
Ukiwagawa hawa 4 kwa mikoa 16 yenye wagonjwa, kila mkoa una robo mgonjwa.
Aliyesema Tanzania inaongoza kwa wajinga duniani apewe tuzo.
 
Hao wagonjwa wanne (4) waliokuwa wamebaki hakuna aliyepona kati yao? Au wapo ICU?

Numbers never lies. Waziri anasema mikoa 15 haina wagonjwa, Tanzania tuna mikoa zaidi ya 27. Je, hiyo mikoa mingine Ina Wagonjwa Wangapi? OK, tuchukulie wastani kila mkoa una mgonjwa 1 maanake tuna wagonjwa 15! Lakini Ummy anasema nchi nzima tuna wagonjwa 4 tu?
Hizi ni cooked data kwa hakika kabisa.
Nashauri tu waendelee na Upimaji kwa kutumia hiyo Maabara yao mpya na waendelee ku-update kila baada ya saa 24!
 
mkuu mtu wa covid unamjuaje ?
na maabara yenyewe ipo moja tu uko geita mnatumia nini kupima?

au mnatumia vipimo vya maralia

1000 others,
Huu Ugonjwa hata Kama hujapima Kuna DALILI: Mafua Makali, Kikohozi kikavu, kubanwa mbavu, homa Kali na joto la mwili kuwa Juu.

Kama mgonjwa ana dalili zote hizi, tayari huyu ni mwathirika wa Covid-19. Kupima ni kama kujiridhisha tu.
 
Kumbe ni mikoa 15 tu ambayo haina wagonjwa wa Corona?.
Je mikoa mingine ina wagonjwa?, na kama wapo ni wangapi?.
Wagonjwa wapo wa4, nchi nzima kwa mikoa yote 10 iliyobakia na wagonjwa...

SLOWSLOW bingwa wa hesabu atakuja na magazijuto yake, kutuonyesha mikoa iliyobakia imegawana CORONA kwa wagonjwa wa 4..

Everyday is Saturday......................... 😎
 
Kuwaamini hawa ni sawq na kuamini kuwa malaya anabikira.

Huu Utawala ni wa kipuuzi sana! The source of information ni JIWE! Anachowaambia hao MAVUVUZELA ndicho wanachotangaza! Ukikiuka tu unapoteza nafasi ya UwaziriI kama Dr. Ndugulile alivyotemwa toka Unaibu Waziri wa Afya!
 
basi kwa dalili izo corona ipo toka kale . sababu hakuna kipya hapo mkuu wote tulishaonesha dalili izo na wapo ndugu zetu waliokufa kwa dalili izo miaka ya nyuma na wala hatukushangaa

nimekuelewa

Ndugu zako Wangapi walikufa kwa dalili hizo miaka ya nyuma? Madaktari walikuwa wakisema wanatibu Ugonjwa gani? Kawaida mtu akifa LAZIMA DAKTARI AANDIKE KWENYE DEATH CERTIFICATE: The cause of Death! Waliandikiwa wamekufa na Ugonjwa gani?
 
Na wale madereva 198 waliorudishwa kutoka Kenya wakiwa Positive? Wamepona? Au?

Hawa ni wale waliogoma kutoa 2000ksh ili waambiwe hawana.
In fact Kenya walikuwa wanawabambikia... Wanawwambia toeni 2000ksh au 3000ksh tunawaandikia negative. Othwse tunawaandikia positv
 
Ndio maana unaambiwa chukua tahadhali.usipojijari wewe nani atakujari.hvyo ndg yangu jijali sana.
ni hatare sana kuwasikiliza hawa wajinga, juzi tuu kafa mfanyakazi mmoja wa CRDB Geita kwa Covid19 wakati wao wanaendelea kuwadanganya watu eti corona haipo
 
Back
Top Bottom