Waziri Ummy Mwalimu akanusha taarifa za Tanzania kufunga mpaka na Kenya

Waziri Ummy Mwalimu akanusha taarifa za Tanzania kufunga mpaka na Kenya

idawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
25,284
Reaction score
38,364
Waziri amekanusha kwenye page yake na kusema habari hizo ni uzushi .

BBC mnakwama wapi mbona mmekuwa wazushi hivi.
Screenshot_20200517-161711_Twitter.jpg
 
NCHI HII MAMBO NI MENGI AISEE ILA HIYO BBC NI OFFICIAL PAGE KWELI? MANAKE IPO NYINGINE NAYO INA WATU WENGI NA SIO OFFICIAL
 
Mwenye mamlaka yote huko wizarani ni mpiga zumari Mabula Mchembe. Hata Ummy anapokea maelekezo kutoka kwake.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Habari ipo na video ipo amekana nini ,video ipo
NCHI HII MAMBO NI MENGI AISEE ILA HIYO BBC NI OFFICIAL PAGE KWELI? MANAKE IPO NYINGINE NAYO INA WATU WENGI NA SIO OFFICIAL

MONEY STOP NONSENSE
 
Back
Top Bottom