Waziri Ummy Mwalimu akanusha taarifa za Tanzania kufunga mpaka na Kenya

Waziri Ummy Mwalimu akanusha taarifa za Tanzania kufunga mpaka na Kenya

Wakuu oneni hii. Je ni hasira? Za mkizi? Mbona ameongea tofauti hadharani?
Ni jambo la mara kwa mara kwa Rais wetu kuongea mengine na kutenda mengine na mifano ipo!
IMG_20200517_174721.jpg
 
Wakuu oneni hii. Je ni hasira? Za mkizi? Mbona ameongea tofauti hadharani?
Ni jambo la mara kwa mara kwa Rais wetu kuongea mengine na kutenda mengine na mifano ipo!
View attachment 1452743
Wapi kasema hivyo? Kwenye hotuba hajaongea hivyo na wala msigwa hajatoa ptess release yoyote inayosema hivyo!
ni mpango mwingine wa wapinzani kujaribu kuvuruga Tz na majirani.
Mtafeli tu!
 
Hiki ndicho nilichoshauri, na sisi hatutaki madereva wao watuletee Corona toka Kenya, hatuna muda wa kupima madereva sisi, wakae huko huko wote! Sasa Maziwa na Sausage zao wale wenyewe.
 
Back
Top Bottom