Ni official, naona wameitoa tena.
Kafunga kweli!Si watu wamesema eti ni fake😆😆😆
Wakuu oneni hii. Je ni hasira? Za mkizi? Mbona ameongea tofauti hadharani?
Ni jambo la mara kwa mara kwa Rais wetu kuongea mengine na kutenda mengine na mifano ipo!
View attachment 1452743
Siyo fakeIshakanushwa ni fake
Kafunga ndiyoTukisema mnatengeneza habali za uongo mnabisha sasa hiyo wewe umetoa wapi? Na tayari umeanza kulaumu bila ukweli.
Siyo fakeFake news
Fake news
Tukisema mnatengeneza habali za uongo mnabisha sasa hiyo wewe umetoa wapi? Na tayari umeanza kulaumu bila ukweli.
Ishakanushwa ni fake
Si watu wamesema eti ni fake[emoji38][emoji38][emoji38]
Wapi kasema hivyo? Kwenye hotuba hajaongea hivyo na wala msigwa hajatoa ptess release yoyote inayosema hivyo!Wakuu oneni hii. Je ni hasira? Za mkizi? Mbona ameongea tofauti hadharani?
Ni jambo la mara kwa mara kwa Rais wetu kuongea mengine na kutenda mengine na mifano ipo!
View attachment 1452743
Nimeshaiweka hiyo video..sijui ni ummy au naniVIDEO IPO UMMY AKIWA MPAKANI AKIONGEA MSIBISHE,LABDA KAMA AMETENGUA KAULI YAKE LAKINI VIDEO IPO
MONEY STOP NONSENSE
Alafu tangazo la kitaaambo na limekanushwa wewe sijui ndio unaamka huko ughaibuni kwenye kubeba maboksi...Kafunga kweli!
Wela source ya maana sio NBS, grow up kichwani!Siyo fake
Poleni sanaWakuu oneni hii. Je ni hasira? Za mkizi? Mbona ameongea tofauti hadharani?
Ni jambo la mara kwa mara kwa Rais wetu kuongea mengine na kutenda mengine na mifano ipo!
View attachment 1452743