Waziri Ummy Mwalimu akanusha taarifa za Tanzania kufunga mpaka na Kenya

*CROSS-EXAMINATION*

(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.

πŸ”Ή *Mheshimiwa* Ndio

(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa

πŸ”Ή *Mheshimiwa* Ndio.

(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.

πŸ”Ή *Mheshimiwa* Ndio.

(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.

πŸ”Ή *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.

(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.

πŸ”Ή *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
 
Ameambiwa akaseme baadaye Jiwe akamwambia atengue kauli. Full mvurugano!
 
Alafu tangazo la kitaaambo na limekanushwa wewe sijui ndio unaamka huko ughaibuni kwenye kubeba maboksi...

Mkuu hembu taja ni kitambo ipi hiyo ambayo watu wanavaa barakoa na social distance?!!

Wacheni propaganda za kijinga!!
 
πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½Akili kubwa hii.

Mwenye mamlaka yote huko wizarani ni mpiga zumari Mabula Mchembe. Hata Ummy anapokea maelekezo kutoka kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…