#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu, chanjo za UVIKO-19 zinakaribia kukufedhehesha

#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu, chanjo za UVIKO-19 zinakaribia kukufedhehesha

Ndebile

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
7,745
Reaction score
11,267
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link..."

Jumbe hizi zinatumwa kutoka kwenye namba 199, pia majina ya mtu anayetumiwa sms hubadirika wakati namba yangu ya simu ni hii moja. Mimi sijawahi kupewa chanjo yoyote ya uviko sasa hili lundo la sms la nini?

Nimejaribu kuuliza kwa ndugu na jamaa baadhi yao pia wanapokea sms hizi japo hawakupewa chanjo. Akili yangu ndogo inaniamba watumishi wa wizara yako wapo wanapika majina ya watu waliopata chanjo, sasa jiulize nini kitatokea kama wazungu/makampuni yanayotoa hizi chanjo wakija kufuatilia.

Mh. Waziri au watu wako waliomo humu hebu jaribu kufuatilia huu ujinga!
 
Hizo chanjo ni kama tambo za Mandonga tu, Biden alipata chanzo mara mbili na booster mara nne lakini bado COVID inamuingia na kumtoka kadri inavyojisikia
Ujinga shida, nani kakuambia ukipata chanjo hupati Covid?

Chanjo husaidia usife au usipate ugonjwa mzito wa kukufanya ulazwe hospitalini

Case ya Biden ni exceptional. Hata bila chanjo unatakiwa usipate covid mara mbili ndani ya mwezi mmoja. Ika wapo wachache yanatokea hayo.
 
Ujinga shida, nani kakuambia ukipata chanjo hupati Covid?

Chanjo husaidia usife au usipate ugonjwa mzito wa kukufanya ulazwe hospitalini

Case ya Biden ni exceptional. Hata bila chanjo unatakiwa usipate covid mara mbili ndani ya mwezi mmoja. Ika wapo wachache yanatokea hayo.
Una uhakika waliopata chanjo hawafi kwa covid?
 
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link..
Usiwaze sana kuna madarasa yamejengwa ya uviko-19 hivyo kinachotakiwa ni takwimu za waliochanjwa, kama hii ndio mbinu inayotumika kuwaaminisha wenzetu juu ya wliopata chanjo, Basi ni sahihi kucomment mama ameupiga mwingi, ondoa shaka ndugu Shitunguru Bunzali Joseph.
 
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link........"

Jumbe hizi zinatumwa kutoka kwenye namba 199, pia majina ya mtu anayetumiwa sms hubadirika wakati namba yangu ya simu ni hii moja. Mimi sijawahi kupewa chanjo yoyote ya uviko sasa hili lundo la sms la nini?

Nimejaribu kuuliza kwa ndugu na jamaa baadhi yao pia wanapokea sms hizi japo hawakupewa chanjo. Akili yangu ndogo inaniamba watumishi wa wizara yako wapo wanapika majina ya watu waliopata chanjo, sasa jiulize nini kitatokea kama wazungu/makampuni yanayotoa hizi chanjo wakija kufuatilia.

Mh. Waziri au watu wako waliomo humu hebu jaribu kufuatilia huu ujinga!
Ni kweli, asilimia 85 % ya data walizo nazo zimepikwa, yan mfano mhudum, wa zahanati ,katika mtaa ulele,au Kijiji kile kile, au eneo linalohudumiwa na kituo Cha kutolea huduma, ana waliochanjwa kuliko coverage population ya eneo husika , Sasa hao wengine wanatoka wap? Utasema ni wageni sio kweli,
 
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link........"

Jumbe hizi zinatumwa kutoka kwenye namba 199, pia majina ya mtu anayetumiwa sms hubadirika wakati namba yangu ya simu ni hii moja. Mimi sijawahi kupewa chanjo yoyote ya uviko sasa hili lundo la sms la nini?

Nimejaribu kuuliza kwa ndugu na jamaa baadhi yao pia wanapokea sms hizi japo hawakupewa chanjo. Akili yangu ndogo inaniamba watumishi wa wizara yako wapo wanapika majina ya watu waliopata chanjo, sasa jiulize nini kitatokea kama wazungu/makampuni yanayotoa hizi chanjo wakija kufuatilia.

Mh. Waziri au watu wako waliomo humu hebu jaribu kufuatilia huu ujinga!
Wafuasi wa Ngwajima mnashida!!!!!!!!!!!
 
Huu ugonjwa utakuwa feki nini ? Au ni kiini macho ?..😂😂
Mathanzua
Wale ambao mpaka leo wanadhani kuna Covid wao wenyewe ni kiini macho! Wahusika wakuu wenyewe wamesema ni kiini macho,who are to cling to the idea that Covid is real.Tatizo la kukohoa lina letwa na air pollution,wala sio ugonjwa unaitwa Covid,it is a Con.Na hiyo air pollution yenyewe inaletwa na hao hao waliopika hilo zengwe la Covid!

Covid ilikuwa zuga tu la kuleta the so called chanjo,ambayo hata hivyo sio chanjo,ni just a means to World depopulation.Yaani sijui wanadamu tuna matatizo gani,mbona hili jambo liko wazi,kwamba C-19 is a con.Hata mazingira na management ya Covid mbona yanaonyesha it is fake?Watu wanasumbuliwa tu na Mass Formation Psychosis.Very sad.
 
Usiwaze sana kuna madarasa yamejengwa ya uviko-19 hivyo kinachotakiwa ni takwimu za waliochanjwa, kama hii ndio mbinu inayotumika kuwaaminisha wenzetu juu ya wliopata chanjo, Basi ni sahihi kucomment mama ameupiga mwingi, ondoa shaka ndugu Shitunguru Bunzali Joseph.
Na siku huu mchezo umebainika wanazuiwa watanzania kuingia nch za watu kwa kuwa na rekodi mbaya za chanjo, ila kwa uzi huu labda ukweli utajulikana kama ni maelekezo ya wizara ya kukuza takwimu.
 
Na siku huu mchezo umebainika wanazuiwa watanzania kuingia nch za watu kwa kuwa na rekodi mbaya za chanjo, ila kwa uzi huu labda ukweli utajulikana kama ni maelekezo ya wizara ya kukuza takwimu.
Baasi tuishie hapa.
 
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link..."

Jumbe hizi zinatumwa kutoka kwenye namba 199, pia majina ya mtu anayetumiwa sms hubadirika wakati namba yangu ya simu ni hii moja. Mimi sijawahi kupewa chanjo yoyote ya uviko sasa hili lundo la sms la nini?

Nimejaribu kuuliza kwa ndugu na jamaa baadhi yao pia wanapokea sms hizi japo hawakupewa chanjo. Akili yangu ndogo inaniamba watumishi wa wizara yako wapo wanapika majina ya watu waliopata chanjo, sasa jiulize nini kitatokea kama wazungu/makampuni yanayotoa hizi chanjo wakija kufuatilia.

Mh. Waziri au watu wako waliomo humu hebu jaribu kufuatilia huu ujinga!
Mkiambiwa CCM wanaiba kura watu mnakua wabishi, ila wakipika takwimu za kiuchumi na chanjo ndio mnapiga kelele!! Kama mtu anaweza kufoji afya za watu ndio ashindwe kwenye maboksi ya kura? WaTanzania tuache unafiki ndio unaotumaliza tuwe na sauti moja kama ni waongo basi wote tuwe na msimamo mmoja sio kwenye chanjo tu ndio hamuwaamini ila wakija na bajeti hewa mnapiga makofi!!
 
Wale ambao mpaka leo wanadhani kuna Covid wao wenyewe ni kiini macho! Wahusika wakuu wenyewe wamesema ni kiini macho,who are to cling to the idea that Covid is real.Tatizo la kukohoa lina letwa na air pollution,wala sio ugonjwa unaitwa Covid,it is a Con.Na hiyo air pollution yenyewe inaletwa na hao hao waliopika hilo zengwe la Covid!

Covid ilikuwa zuga tu la kuleta the so called chanjo,ambayo hata hivyo sio chanjo,ni just a means to World depopulation.Yaani sijui wanadamu tuna matatizo gani,mbona hili jambo liko wazi,kwamba C-19 is a con.Hata mazingira na management ya Covid mbona yanaonyesha it is fake?Watu wanasumbuliwa tu na Mass Formation Psychosis.Very sad.
Tatizo ni pale unapodhani wakitaka kutuua ni kupitia chanjo tu!! Kwani hizo ARV unazokula unaziamini? Neti za msaada je?? Au wanakua mabeberu kwenye chanjo tu ila kwenye madawa mengine ni malaika??
 
Style gani hii ya kuishi ili kuwaridhisha wazungu? Mbona sisi wananchi wa kawaida tuna guts kuliko hawa wanaotutawala? Mi binafsi nimegoma kusafiri nchi yoyote inayodemand nionyeshe proof ya vichanjo vya corona. Na sisemi hivyo kwa kutamba nina fursa kibao za kusafiri but I prefer uhuru wangu kuliko kuwafurahisha wahuni wa biashara. za chanjo.
 
Back
Top Bottom