#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu, chanjo za UVIKO-19 zinakaribia kukufedhehesha

#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu, chanjo za UVIKO-19 zinakaribia kukufedhehesha

Tatizo ni pale unapodhani wakitaka kutuua ni kupitia chanjo tu!! Kwani hizo ARV unazokula unaziamini? Neti za msaada je?? Au wanakua mabeberu kwenye chanjo tu ila kwenye madawa mengine ni malaika??
Zipo njia nyingi wanazotumia kutu-ua,sijasema wanatumia mbinu ya chanjo tu!ingekuwa hiyo moja tu si ingekuwa afadhali!Mbinu ulizo mention ni in addition to the many.

Hivyo vingine ulivyo-taja Kama vyandarua vya dawa Mimi situmii,never!!!Kwa nii situmii,kwa kuwa najua nia ovu iliyoko nyuma yaa.Kiukweli niko selective,najua watanipata somewhere,kama ni lazima,lakini najitahidi kuwa smart.Unajua,kama sumu zikiwa mwilini kidogo,the body can take care,lakini zikiwa nyingi sana,the body is overwhelmed.
 
L
Hizo chanjo ni kama tambo za Mandonga tu, Biden alipata chanzo mara mbili na booster mara nne lakini bado COVID inamuingia na kumtoka kadri inavyojisikia
Yes inamuingia lakini hafi, anaugua tu na kupona na hiyo ndio kazi ya hiyo chanjo, sio kukinga, ni kupunguza ugali wa impact ya vijidudu... over ?
 
Tatizo ni pale unapodhani wakitaka kutuua ni kupitia chanjo tu!! Kwani hizo ARV unazokula unaziamini? Neti za msaada je?? Au wanakua mabeberu kwenye chanjo tu ila kwenye madawa mengine ni malaika??
Kwani hizo net na condoms za msaada mnazopewa ndio kigezo cha kukuaminisha kuwa kila jambo linalotoka kwao ulibebe mazima mazima? Mnapenda penda sana vimisaada vinavyowadumaza akili hata za kung'amua mbichi na mbivu.
 
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link..."

Jumbe hizi zinatumwa kutoka kwenye namba 199, pia majina ya mtu anayetumiwa sms hubadirika wakati namba yangu ya simu ni hii moja. Mimi sijawahi kupewa chanjo yoyote ya uviko sasa hili lundo la sms la nini?

Nimejaribu kuuliza kwa ndugu na jamaa baadhi yao pia wanapokea sms hizi japo hawakupewa chanjo. Akili yangu ndogo inaniamba watumishi wa wizara yako wapo wanapika majina ya watu waliopata chanjo, sasa jiulize nini kitatokea kama wazungu/makampuni yanayotoa hizi chanjo wakija kufuatilia.

Mh. Waziri au watu wako waliomo humu hebu jaribu kufuatilia huu ujinga!

230605756_2396685807142940_8252564083641687925_n.jpg
 
Kwani hizo net na condoms za msaada mnazopewa ndio kigezo cha kukuaminisha kuwa kila jambo linalotoka kwao ulibebe mazima mazima? Mnapenda penda sana vimisaada vinavyowadumaza akili hata za kung'amua mbichi na mbivu.
Ndio Nasema kama ni kutuua wanaweza pitia katika madawa lukuki yanayotoka kwao why watumie chanjo pekee??

Ni sawa na kusema Nguruwe ni haramu ila mchuzi wake halali!! Mtu anapinga chanjo ya Covid ila anatumia chanjo ya yellow fever na Hepatitis B
 
Mkiambiwa CCM wanaiba kura watu mnakua wabishi, ila wakipika takwimu za kiuchumi na chanjo ndio mnapiga kelele!! Kama mtu anaweza kufoji afya za watu ndio ashindwe kwenye maboksi ya kura? WaTanzania tuache unafiki ndio unaotumaliza tuwe na sauti moja kama ni waongo basi wote tuwe na msimamo mmoja sio kwenye chanjo tu ndio hamuwaamini ila wakija na bajeti hewa mnapiga makofi!!
CCM imeingiaje hapo?
 

Getting Reports that Pelosi WILL Land in Taiwan this week . . .​


There are now NEW reports, claiming US Speaker of the House, Nancy Pelosi, will land in Taiwan sometime this week. No "official" word on this, but the reports are going around and getting louder.
The Chinese People’s Liberation Army (PLA) staged military exercises and published propaganda videos of various weapons, including an alleged “aircraft carrier killer,” on Sunday and Monday in anticipation of Pelosi (D-CA) arriving in Asia and potentially visiting Taiwan.
Pelosi landed in Singapore on Monday and has since met with its president and prime minister, bringing along a congressional delegation. Pelosi’s office confirmed the delegation would also visit Malaysia, South Korea, and Japan. Rumors for weeks have indicated that Pelosi had long been considering a surprise stop in the sovereign, democratic nation of Taiwan – defying the Chinese Communist Party, which claims Taiwan as a rogue “province” and dismisses its government as an illegitimate separatist entity.
Most striking about China's public remarks about Pelosi visiting Taiwan, and that visit being a major incident against which China will respond, was China's statement "Don't say we didn't warn you."
That particular statement is of very troubling history; China has only uttered that statement to another country THREE times in its history:
The first time in 1962 just prior to its border war with India;
The second time in 1979 just before it invaded Vietnam, and;
two days ago . . . to the USA

US Military: Extraordinary Activity
The United States military is already on the move, perhaps in relation to China's ominous message.
The USS Ronald Reagan aircraft carrier Strike Group is now moving into position near Taiwan, as shown on its travel map below:
USS-RonaldReaganStrikeGroup.jpg

Moreover, inside the continental United States, as of 1:49 PM eastern US time on August 1, 2022, ALL (every single one) of the planes shown on the FlightRadar24 map below, are US military aircraft over the Continental USA.


That's an awful lot of movement. Rather unusual.
Perhaps they are preparing for . . . something .
 
CCM imeingiaje hapo?
Ndio chama tawala ila wapinzani walisema mnapika data za uchumi na kuiba kura mnakua wakali.

Cha kushangaza linapokuja suala la chanjo mnakiri serikali imepika data!! Kwamba Nguruwe ni haramu ila mchuzi wake mtamu?

Huu unafiki ndio unaua hii nchi
 
Kwa mwezi mzima napokea SMS 10 hadi 15 kwenye simu yangu kwa siku zinazosomeka hivi:
" ndugu Shitunguru Bunzali Joseph Umefanikiwa kupata chanjo ya UVIKO- Janssen. Unaweza kuangalia cheti chako cha electronic kupitia link..."

Jumbe hizi zinatumwa kutoka kwenye namba 199, pia majina ya mtu anayetumiwa sms hubadirika wakati namba yangu ya simu ni hii moja. Mimi sijawahi kupewa chanjo yoyote ya uviko sasa hili lundo la sms la nini?

Nimejaribu kuuliza kwa ndugu na jamaa baadhi yao pia wanapokea sms hizi japo hawakupewa chanjo. Akili yangu ndogo inaniamba watumishi wa wizara yako wapo wanapika majina ya watu waliopata chanjo, sasa jiulize nini kitatokea kama wazungu/makampuni yanayotoa hizi chanjo wakija kufuatilia.

Mh. Waziri au watu wako waliomo humu hebu jaribu kufuatilia huu ujinga!
Binafsi sijapata msg. Nalifiatilia Kwa Umakini jambo hili.
 
Kuna watu wanapita mitaani kuandikisha watu ili kwenda kujaza taarifa zao kama wamechanja chanjo ya covid 19, na wanaambiwa kabisa watapigiwa simu au kutumiwa meseji kujulishwa kama vyeti vyao ni teyari vya kuonesha wamechanja. Na fununu zaidi nasikia kuna fungu kwa wanaokubali kuchanja.
 
Back
Top Bottom