#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu: Ipo hatari ya kuingia wimbi la 5 la COVID-19

#COVID19 Waziri Ummy Mwalimu: Ipo hatari ya kuingia wimbi la 5 la COVID-19

Walifanya vibaya sana....
Walisababisha vifo vya watu sana hilo halina ubishi..

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ni wapi au lini Mh. Ummy alikataa kata kata kuwa hakuna COViD-19?

Kama nchi yenye uhuru wake wa kujiamlia, na ikaamua kuwa hakuna "Pandemic" kuna athari gani?

Wacheni uongo wa kuwa Hayati JPM na serikali yake ilikataa uwepo wa kirusi hicho. Wacheni.
 

Tumeshakula Ndoano Kupitia Cash Ya Mabeberu Sasa Hivi Tukubali

 
Ummi kipindi cha mwenda zake alikataa kabisa kama kuna ugonjwa unaitwa Corona. Watu wakafa kwa sababu za kisiasa. Leo an kiri tumepita mapigo manne.
Mtu kama huyu kama anaonewa aibu kuambiwa hapa duniani kwamba yeye ni muuaji haita kuwa sawa.
Una maanisha Ummy huyu mbu get wa Tanga...punguza urongo mwaanaume !
 

Waziri Ummy Mwalimu kwa sasa kuna watanzania mamilioni wameshikwa na mafua makali sana sana si mjini si vijijini huo ni ugonjwa gani?​

Covid 19 IPO na itaendelea kuwepo !! Wazee na wale wenye afya mgogoro tuendelee kuchukua tahadhari kadri tunavyoweza!! Na kuchanja ni muhimu sana ! Tusiwasikilize Hao ambao afya zao ni nzuri maana kwao covid 19 ni mafua tu kama mafua mengine lakini kwa wazee na wenye afya mgogoro Covid 19 ni kiboko yetu !! Tuchukue tahadhari kila MTU ashinde mechi zake zilizobaki !!!!
 
Ni wapi au lini Mh. Ummy alikataa kata kata kuwa hakuna COViD-19?

Kama nchi yenye uhuru wake wa kujiamlia, na ikaamua kuwa hakuna "Pandemic" kuna athari gani?

Wacheni uongo wa kuwa Hayati JPM na serikali yake ilikataa uwepo wa kirusi hicho. Wacheni.
Achana nao uzuri wa hili jambo wote lipo vibwengo tu ndo wanatabia ya kujadili mtu badala ya issue
 
Achana nao uzuri wa hili jambo wote lipo vibwengo tu ndo wanatabia ya kujadili mtu badala ya issue
Hamumwa,
Hawa sio wakuwaachia kuendleleza kueneza uongo. Ni hatari.

Kila kukicha hapa utaona mamluki wa mafisadi wa kuchafua taswira wakisambaza uongo huo. Wanauhasama hasi kwasababu tu walishindwa kuchota rasilimali kama watakavyo, kama kuchuma mahindi kwenye shamba la bibi.
Wanacho jaribu kukifanya ni kuwaogopeaha wale wote ambao wanakuja, na wapo wengi tu, tupo wengi, na kamwe hawatashinda, hatuogopi, siogopi.

Kuwaachia ni hatari.
Wapingwe na kujibiwa popote.
 
Back
Top Bottom