Waziri Ummy: Nakataza Michango Mashuleni, asiyekuwa na Sare za Shule acha asome

Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
Uchumi wa kati hawawezi kugawa sare bure maana elimu tuliambiwa ni bure kuanzia awamu ya 5 na kwamba wasiotakiwa shule ni waliozaa tu
 
Hahahahhaahaa wanasema ogopa sana kuongozwa politicians.Huyu waziri ni Mwanasheria kwa taaluma yake lakini hajui umuhimu wa mwanafunzi kuwa ndani ya sare ya shule inamwepusha na mambo mengi including masuala ya kiusalama kwake.Hivi akibakwa itakuwaje?
Tunako elekea nusu ya shule wanafunzi watakuwa hawana Uniform
 
kwanza mkuu Muumba akuongezee hapo ulipopunguza
jengine huko kwengine umeongea ukweli mtupu makosa ya wazazi wanapigwa watoto kweli dah!

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wa TZ ni janga.
 
Tujitafakari haya mambo eti tupo uchumi wa kati. Ukweli usemwe uzazi wa mpango kuwapotosha watu elimu bure, huduma afya zimeboreshwa mfyatuane!!!
wewe kwa tafsiri yako uchumi wa kati ni upi?

Je tanzania imeji-rank yenyewe kuwa uchumi wa kati kwa kujipendelea?

Ikiwa zipo nchi nyingne ktk afrika hii kama Kenya, Ghana, Namibia Benin zipo pia uchumi wa kati, kwanini isiwe sisi!

Rankings za kisoka mnaziamini, za kiuchumi hamtaki!

Ungeambiwa hapo yanga au simba ni ya 7th ktk viwango vya ubora afrika usingesita kuamini.
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
kwasasa ndie waziri angalau anayeonekana kujiamini.

Labda na yule dogo wa pangani bwana awesso.
 
Bado michango inahimizwa na kupelekwa mashuleni kwa mgongo wa kinachoitwa "WAZAZI WAMEAFIKI"

Ni uhuni wa baadhi ya walimu..na ni wengi.

Kinachofanyika mwalimu mkuu anaitisha kikao na wazazi..

Wazazi wanaohudhuria wanakuwa ni wachache mno, probably chini ya 25%

Mwalimu mkuu ana-introduce mchango..
wazazi hao wanapitisha bila utaratibu wa kura..
mchango tayari..

mahudhurio yanachukuliwa na wakt mwingne idadi ya mahudhurio kughushiwa

Hapa serikali iondoe huu mkanganyiko..
ije na mwongozo kwamba michango ya aina yeyote shuleni; iwe ni ya hiari au ya mashaurino ipgwe marufuku..

Hizi ndimi mbili za serikali ndio wakt mwingne mzizi wa tatzo.
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
UNAYO HOJA MKUU WANGU,
 
Haya yanafanyika shule za Serikali?
 
Tujiondoe kwenye zama zile.
Hata hivyo amesema wapewe muda.
Nchi za wenzetu walioendelea hawana cha sare na wanasoma vizuri tu. Tubadilike.
 
Mambo ya ajabu sana kwa kuharibu utaratibu uliowekwa. Mwanafunzi lazima aende akiwa ndani ya uniform.

Kuwaruhusu kwenda bila uniform ni presence mbaya sana, siku tutawaruhusu waingie darasani hata kama hawana daftari.
Unform na Madaftari ni vitu viwili tofauti
 
Waziri Ummy chapa kazi Mama,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…