Waziri wa afya Kenya apongezwa na magazeti ya Ulaya kwa jinsi anajituma na kuwa muwazi

Waziri wa afya Kenya apongezwa na magazeti ya Ulaya kwa jinsi anajituma na kuwa muwazi

Waziri amekua akieleza kama ilivyo bila kuremba, jana ametoa tahadhari kwa vijana wakiendelea kupuuza na kuchukulia poa hiki kirusi, wataisha kuwazika wazazi wao wote.

==============================

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe addresses a press conference on Covid-19 in Nairobi in March 2020

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe addresses a press conference on Covid-19 in Nairobi in March 2020
FILE
Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has earned international recognition after New York-based publication Wall Street Journal recognised him as a hero in the fight against Covid-19.

In a Weekend article dated April 4-5, 2020, titled, "Thank God for Calm, Competent Deputies" under the subtitle "In This Crisis, the Deputies are the Heroes We Need", Kagwe is defined as one of the best handlers of the pandemic in the world.

Ranked among few other leaders from around the world, among them a doctor from South Korea and another from the UK, the media outlet stated that they had risen from the shadows to take control of a pandemic, members of the public would have only looked to elected officials.

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe when he held a consultative meeting on Covid-19 response with officials from the ministry, the Kenya Healthcare Federation and CEOs from the Kenya Association of Private Hospitals at Afya House on Thursday, March 26, 2020.

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe when he held a consultative meeting on Covid-19 response with officials from the ministry, the Kenya Healthcare Federation and CEOs from the Kenya Association of Private Hospitals at Afya House on Thursday, March 26, 2020.
FILE
"The leaders who have distinguished themselves under pressure are rarely the bold, charismatic, impulsive, self-regarding, politically calculating alphas we have elected. The real heroes have been, for lack of a better term, career deputies," the publication states.

The news outlet further describes Kagwe as a leader whose character and personality was thought as not political but now built for the health ministry and the fight against Covid-19.


Thank God for CS Mutahi Kagwe - US Publication
Naamini kenya itachaguliwa kuwa sample ya dawa za korona kutestiwa kama zinafanya kazi na wazungu. Kazi kwenu kenya!
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Mimi nipo tayari kujaribishwa hio chanjo.
Nimekuwa nawashangaa sana waafrica wanaolalamika na kukataa chanjo isifanyike afrika. . Ila kama kutatokea kiongozi mwenye maono atawakaribisha wataalamu waje wafanya majaribio kwneye nchi yake
Wao ndio wameathirika sana huko ulaya, kwa nini waje testia dawa yao afrika ambako hakujaathirika sana kama wao? Kwa nini wasiende italy au spain?
 
Naomba sana hiyo chanjo ije niwe wa kwanza kujaribisha ili kuokoa bara hili, mpaka leo Waafrika tumekoswa koswa na hiki kirusi, siku ukiskia kimetinga mitaa ya mabanda kama Tandale ndio ujue kiama cha Afrika kitakua kinaanza, wacha leo watu wanabweteka hovyoo. Mitaa ya mabanda hamuwezi kumudu lockdowns kama kule kwa wazungu, mtakufa njaa, hivyo tuombe mzungu agundue chanjo ya kutulinda mapema.

Wanasayansi wa Afrika wamekaa wanasubiri hadi mzungu avumbue dawa, hawachangii kwa chochote, leo profesa wa Ufaransa amejitokeza akisema chanjo ikipatikana itumike Afrika kwanza maana wote wanajua jinsi hali ilivyo huku, maeneo mengi hayana hata maji au huduma za msingi za kijamii uwaweke lockdown utawamaliza.

Waafrika bado sana, acheni kujifanya kichwa ngumu ilhali umaskini umetamalaki, jana tumeona Tanzania inawaomba msaada wa mkopo hao hao wazungu walioathirika, yaani ni kama uende kwa wenye msiba badala utoe mchango wa kuwasaidia, bila aibu unawapa kibakuli cha kuombea msaada.
Wanachosema Maprofesa hao ni chanjo ifanyiwe testing Africa sio itumike! ... Je Afrika ndo inaongoza kwa wagonjwa na vifo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.....is that what draws happiness from you? Among many other good things, I am forever greatful to the almighty God for having been born without an accidental birth of being a Kenyan.
Kenyans are ridiculously subservient to the white people. Are you guys born with an intrinsic stupidity, or what?
Mbona hujatumia lugha yako ya asili au kiswahili kuwasilisha hoja yako? Waziri akipata 'recognition' ya kimataifa na kutajwa kama shujaa na media za kimataifa inahusiana vipi na rangi ya ngozi ya mtu yeyote yule? Health Cabinet Secretary Mutahi
Kagwe has earned international recognition after New York-based
publication Wall Street Journal recognised him as a hero in the fight against Covid-19.
Taarifa simple sana kama hii sio ya kumbabaisha mtu yeyote yule ambaye hana 'inferiority complex' na anajiaminia uafrika wake au rangi ya ngozi yake. Tena sio kwenye dunia ya sasa ambayo binadamu wote tupo 'interconnected'.
 
Waziri amekua akieleza kama ilivyo bila kuremba, jana ametoa tahadhari kwa vijana wakiendelea kupuuza na kuchukulia poa hiki kirusi, wataisha kuwazika wazazi wao wote.

==============================

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe addresses a press conference on Covid-19 in Nairobi in March 2020

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe addresses a press conference on Covid-19 in Nairobi in March 2020
FILE
Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has earned international recognition after New York-based publication Wall Street Journal recognised him as a hero in the fight against Covid-19.

In a Weekend article dated April 4-5, 2020, titled, "Thank God for Calm, Competent Deputies" under the subtitle "In This Crisis, the Deputies are the Heroes We Need", Kagwe is defined as one of the best handlers of the pandemic in the world.

Ranked among few other leaders from around the world, among them a doctor from South Korea and another from the UK, the media outlet stated that they had risen from the shadows to take control of a pandemic, members of the public would have only looked to elected officials.

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe when he held a consultative meeting on Covid-19 response with officials from the ministry, the Kenya Healthcare Federation and CEOs from the Kenya Association of Private Hospitals at Afya House on Thursday, March 26, 2020.

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe when he held a consultative meeting on Covid-19 response with officials from the ministry, the Kenya Healthcare Federation and CEOs from the Kenya Association of Private Hospitals at Afya House on Thursday, March 26, 2020.
FILE
"The leaders who have distinguished themselves under pressure are rarely the bold, charismatic, impulsive, self-regarding, politically calculating alphas we have elected. The real heroes have been, for lack of a better term, career deputies," the publication states.

The news outlet further describes Kagwe as a leader whose character and personality was thought as not political but now built for the health ministry and the fight against Covid-19.


Thank God for CS Mutahi Kagwe - US Publication
Wameanza kuonesha dhamira yao ... Imeanza siasa katika corona toka magharibi
Yamkini wanataka nasi afrika tuongeze kutangaza tuathirike kiuchumi zaidi ....
Wacha mola awe upande wetu kwa hili
 
Give credit where credit is due. Waziri anastahili sifa kwa jinsi anvyojituma.
Ndio nawashangaa hawa viumbe na hizi chorus zao za kawaida za mabeberu. Mtu anasifiwa kwa mafanikio yake binafsi tena na media moja tu kutoka NY alafu wao wanaanza kuingiza hadithi zao za kipumbavu. Naona ametajwa pamoja na wengine kutoka Korea na UK pia, sijui hawa wanakwaya watasema nini kuhusu hilo. Makali ya dozi la Ujamaa hadi sasa hivi bado hayajafifia.
 
Wao ndio wameathirika sana huko ulaya, kwa nini waje testia dawa yao afrika ambako hakujaathirika sana kama wao? Kwa nini wasiende italy au spain?
Yaani sijui Africa kwanini
Au kwavile hatujiwezi kwa hili wazungu wanatudharau sana... Wao ndo waloathirika zaidi lakini test AFRIKA
 
Wao ndio wameathirika sana huko ulaya, kwa nini waje testia dawa yao afrika ambako hakujaathirika sana kama wao? Kwa nini wasiende italy au spain?
Mbona walishaanza testing sehemu nyingi tu. Sasaqatajuaje kama dawa inawafaa wafrika kamnaingiza mambo ya rangi
 
Mbona walishaanza testing sehemu nyingi tu. Sasaqatajuaje kama dawa inawafaa wafrika kamnaingiza mambo ya rangi
Swali la msingi ni kwa nini testing afrika na sio italy ambako kuna sample nyingi za ugonjwa?
 
Yaani sijui Africa kwanini
Au kwavile hatujiwezi kwa hili wazungu wanatudharau sana... Wao ndo waloathirika zaidi lakini test AFRIKA
Kaka sisi waafrika tuna matatizo sana, sisi ni watu wa kulialia tu na kuhisi tunadharauliwa au kubaguliwa.
1) Katika chanjo zote tunazozitumia hapa Afrika, 90% majaribio yalifanyika kwa wazungu, lakini sisi ndio tunazitumia na kufaidika zaidi, sasa kuna tatizo gani hii chanjo majaribio yakifanyika Africa?.
2) Kabla ya kulalamika ni lazima ujue taratibu za "Clinical trials", na kwanini yule daktari wa ufaransa alipendekeza kuja kuifanyia majaribio hapa Africa.

Hebu tupunguze kulalamika kila Mara na kujiona dunia haitupendi bila kuwa na uwelewa mzuri katika haya mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom