Waziri wa Afya ni bora ungeanza na mchakato wa Bima ya Afya kwa kila Mtanzania kuliko kutoa agizo kama hili

Watu wanaoishi Maisha ya kubahatisha wanaakili ya Maisha.wanauwezo wakuona changamoto kwa uhalisia na hao ski waimba mapambio
 
Uzuri rais Magufuli kwa kujibu mapigo ya wapinzani alisema suala la bima ya afya lipo kwenye ilani ya Ccm
Hata kutupeleka peponi lingekuwa ni suala wanaloweza liandika kwa ilani wangeliandika....ni siasa tu hizi hakitofanyika kitu!
 
Kwangu mimi huyu wa Waziri wa afya ndiye waziri wa hovyo zaidi.
Ni mpenda sifa na mkurupukaji.
Anafanya vitu kwa sifa na hana weledi wowote.
Hata mimi sikuelewi mkuu matamko kila siku #kupendasifatu
 
Sekta ya afya ina changamoto sana....hiyo bima sio jambo dogo.
Ila huyu mama apunguze mdomo..asikilize ushauri itamsaidia sana.
Tunawza kuamua kila lita moja ya mafuta ikatwe tsh 50 iende kwenye mfuko wa bima.

Makampuni makubwa aingie kwenye mfuko wa bima wataifa

Kila mtalii aketwe pasentage ingie kwnye mmfuko wa bima

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Bima ya afya kwa kila mtanzania lazima kuwa na source of income itakayolipa hizo hela za dawa na mishahara plus huduma zote za afya.

Nani atakubali kuongezewa bei let's say ya petroleum products au madini kodi iwe kubwa au matajiri wa bongo waongezewe kodi. Ngoja tuone
 
Kwani ilani ya Ccm ukurasa wa 133 unasemaje kuhusu bima ya afya?
 
Hiyo bima ya afya kwa kila mwananchi itakatwa kwenye chanzo kipi cha mapato, iwapo asilimia kubwa ya wananchi hawana kipato angalau elfu 10 kwa mwezi kuweza kuchangia, tofauti na wafanyakazi ambao hukatwa kwenye mishahara yao kila mwezi.
 
Sisi ni matajiri hivi via gharama vya matibabu tuvilipe tu upinzani unataka wapi sasa, Si upinzani tumeuzika?
 
Kwangu mimi huyu wa Waziri wa afya ndiye waziri wa hovyo zaidi.
Ni mpenda sifa na mkurupukaji.
Anafanya vitu kwa sifa na hana weledi wowote.
Waziri wa kupiga makalele yeye anakuja kupambanana watumishi
 
Kwangu mimi huyu wa Waziri wa afya ndiye waziri wa hovyo zaidi.
Ni mpenda sifa na mkurupukaji.
Anafanya vitu kwa sifa na hana weledi wowote.
Huyu Waziri wa Afya ni chizi au ni limbukeni wa madaraka!!!
Huyu alitakiwa awe mke wa Jiwe naona tabia zao zinaendana vizuri!!!
 
Msimung'unye maneno bima ya afya kwa wote iwe chini ya serikali sitaki msinihusishe mpaka mniambie michango ya hifadhi ya jamii imeishia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…