Waziri wa Afya tusaidie kufuatilia daktari wa Lugalo aliyechangia kifo cha huyu dada

Waziri wa Afya tusaidie kufuatilia daktari wa Lugalo aliyechangia kifo cha huyu dada

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
RIP sis Angel,

Jirani, dada, mwanamazoezi mwenzangu leo umelala nyumba yako ya milele. Mh Waziri wa Afya narudia kuwapongeza humu niliwahi kuandika vitendo vya hospitali Kijitonyama juu ya mzee wangu mkafuatilia na wahusika wakakutana na waliyoyatafuta.

Leo naja na kisa hiki cha kuhuzunisha; tar 9 Jan jirani yangu Angel Moshi alipata ajali Masana Hospital na pikipiki akakimbizwa na wasamaria wema na bajaji.

Daktari wa zamu Lugalo akaita wahusika pembeni kukawa na kadalili cha kuomba rushwa akajulishwa huu ni msaada tumempa wahusika wanakuja.

Dkt akakataa kumpokea na kudai bila PF3 hapokelewi.

Mmoja wa waliomsaidia akaomba apokelewe ahudumiwe anaenda leta PF3, dkt akagoma kabisa bajaji ile ikampeleka palestina hospt. Huko mauti ikamkuta.

Tunaomba haya mambo ya PF3 tuweke hospt hizi docs zikiwa zimesainiwa kusubiri kuandika tarehe na majina else tutaua wengi sanaaa. Nakumbuka Mh. aliepita alipiga marufuku hosp kutopokea mgonjwa wakitaka PF3. Aliomba ahudumiwe PF3 ije baadaye.

Leo nimesikitika sana kuona dada aliepambana na maisha yake anaondoka duniani kwa uzembe wa PF3.

Mh.Waziri hili swala lipo pale hospt naamini ndugu wamepeleka malaamiko.

Inasikitisha unakataa kumhudumia mgonjwa akiwa hai, anakufa analetwa Lugalo kuhifadhiwa madkt mnampokea haraka akiwa mauti.

Hii ni laana na dhambi ya kuikataa mapema kabla amjatumaliza ndugu zetu.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe.

Rip Angel M.
 
Kwa uono wangu mimi naona tatizo limeanza kwa serikali kuwa na hii sheria ya PF3. Inatakiwa mgonjwa atibiwe halafu daktari atowe taarifa polisi na polisi waje wachukuwe maelezo. Nao ndio watowe PF3 hapohapo
Mkuu hospt hii hii tushapeleka watu wakapokea usiku na kuhudumia wakisubiria pf3 nawaza [>>>>] ilimfanya wasimpokee huyu dada.

Tufike wakati tuombe hosp ziwe na kitengo cha polisi kwa ajili hii special ama wazipeleke wasaini kila kituaache madk waandike majiina na tar wanapotokea wahitaji inaumiza sana, sana.
 
Mkuu nadhani kikubwa ungeshauri wizara ya afya kuangalia upya suala la pf 3. Kumlaumu huyu Dr ni kujisumbua tu hata mkimuita atawaambia yeye kafuata taratibu kitu ambacho ni kweli. PF 3 ilianzishwa kwa maana nzuri ila amini imeshaua watu wengi Sana ambao wangeweza pona

Lakini jambo lingine (naomba liende off record) msije mkani quote baadae, ntawakana ka sio mimi nimesema! Ni kuhusu rushwa hosp. Kama hapo unasema Dr aliwaita pembeni na kukaonesha viashiria vya rushwa, aisee rushwa ni mbaya yes ila Kuna mazingira jaribuni Sana kutoshupaza shingo.

Hao ma Dr mkae mjue wamezoea mno kuona mtu anakufa na wala sio ishu kwao tofauti na nyie Wageni wa hospitali. Nina hakika huyo Dr angelambishwa chochote sometimes hata sio hela nyingi kiviiiile angehangaika na dada Angel.

Ila mkajifanya hamumuelewi nae akaamua kufata taratibu zinavyosema. Sasa mwisho wa siku tunaishia kulaumu au kulalamika mitandaoni na Angel hawezi kurudi! Ni bora mngemshikisha akasaidia kumuokoa da Angel Kisha ndo mje kulalamika wakati angalau Angel anatembea hata kama na gongo!

Lala kwa Amani Angel. Nyuma yako mbele yetu.
 
TUNAOMBA HAYA MAMBO YA PF 3 TUWEKE HOSPT HIZI DOCS ZIKIWA ZIMESAINIWA KUSUBIRI KUANDIKA TAR NA MAJINA ELSE TUTAUWA WENGI SANAAAA..NAKUMBUKA MH ALIEPITA ALIPIGA MARUFUKU HOSP KUTOPOKEA MGONJWA WAKITAKA PF3..ALIOMBA AHUDUMIWE PF3 IJE BAADAE
Ukienda polisi rushwa
Ukienda hospitali rushwa
Ipo haja kila kituo cha polisi na hospitali pawe na dawati la PCCB
 
Mkuu nadhani kikubwa ungeshauri wizara ya afya kuangalia upya suala la pf 3. Kumlaumu huyu Dr ni kujisumbua tu hata mkimuita atawaambia yeye kafuata taratibu kitu ambacho ni kweli. PF 3 ilianzishwa kwa maana nzuri ila amini imeshaua watu wengi Sana ambao wangeweza pona

Lakini jambo lingine (naomba liende off record) msije mkani quote baadae, ntawakana ka sio mimi nimesema! Ni kuhusu rushwa hosp. Kama hapo unasema Dr aliwaita pembeni na kukaonesha viashiria vya rushwa, aisee rushwa ni mbaya yes ila Kuna mazingira jaribuni Sana kutoshupaza shingo. Hao ma Dr mkae mjue wamezoea mno kuona mtu anakufa na wala sio ishu kwao tofauti na nyie Wageni wa hospitali. Nina hakika huyo Dr angelambishwa chochote sometimes hata sio hela nyingi kiviiiile angehangaika na dada Angel. Ila mkajifanya hamumuelewi nae akaamua kufata taratibu zinavyosema. Sasa mwisho wa siku tunaishia kulaumu au kulalamika mitandaoni na Angel hawezi kurudi! Ni bora mngemshikisha akasaidia kumuokoa da Angel Kisha ndo mje kulalamika wakati angalau Angel anatembea hata kama na gongo!

Lala kwa Amani Angel. Nyuma yako mbele yetu
Pole sana kama ujaelewa amebebwa nawatu wasiojulikana wakisa idi wa na bajaji za pale jiran.sasa mkuu unaambiwa sisi tunatoa msaada tu..bado unakomaa na pf 3...hii dhambi itakunyemelea ujehapa kunikumbusha
 
Poleni
Ninavyofahamu Lugalo hosptal wako makini sana.Yawezekana wahusika walitaka wapate matibabu bila kufuata utaratibu uliowekwa kitaifa. Mbn wagonjwa wanatibiwa PF 3 zinafuata?
Ikumbukwe hiyo ni taasisi ya kijeshi wananchi tusizoee maisha ya ubaradhuri au kuleta tabia za vijiweni au unafiki wa kujuana au cheo cha mtu
 
Poleni
Ninavyofahamu Lugalo hosptal wako makini sana.Yawezekana wahusika walitaka wapate matibabu bila kufuata utaratibu uliowekwa kitaifa. Mbn wagonjwa wanatibiwa PF 3 zinafuata?
Ikumbukwe hiyo ni taasisi ya kijeshi wananchi tusizoee maisha ya ubaradhuri au kuleta tabia za vijiweni au unafiki wa kujuana au cheo cha mtu
Sidhani kama walileta hizi tabia wakati wakipambania uhai wa mtu
 
Unadhani ho PCCB Hawayafahamu haya?
Yaaan napita tu mkuu ...nabaki kuimba

Mwambaa wangu wa kalee kwakoo nitajifisha....majiraaa ...
DJ JF PLS TUWEKEE HAKA KANYIMBO KATUFARIJI TAFADHALI
 
Pole sana kama ujaelewa amebebwa nawatu wasiojulikana wakisa idi wa na bajaji za pale jiran.sasa mkuu unaambiwa sisi tunatoa msaada tu..bado unakomaa na pf 3...hii dhambi itakunyemelea ujehapa kunikumbusha
Sasa ininyemelee mimi ndo Dr wa Lugalo?

Ikunyemelee mwenyewe!
 
MKUU HOSPT HII HII TUSHAPELEKA WATU WAKAPOKEA USIKU NA KUHUDUMIA WAKISUBIRIA PF3 NAWAZA [>>>>] ILIMFANYA WASIMPOKEE HUYU DADA.
TUFIKE WAKATI TUOMBE HOSP ZIWE NA KITENGO CHA POLISI KWA AJILI HII SPECIAL AMA WAZIPELEKE WASAINI KILA KITUAACHE MADK WAANDIKE MAJIINA NA TAR WANAPOTOKEA WAHITAJI INAUMIZA SANA SANA.....
Ofisi zote(nyingi) za serikali rushwa ipo mbele kabla ya huduma. Nikija kwenye PF3 hii sheria ya wakoloni sijui kwanini mpaka leo ipo?.
 
Poleni
Ninavyofahamu Lugalo hosptal wako makini sana.Yawezekana wahusika walitaka wapate matibabu bila kufuata utaratibu uliowekwa kitaifa. Mbn wagonjwa wanatibiwa PF 3 zinafuata?
Ikumbukwe hiyo ni taasisi ya kijeshi wananchi tusizoee maisha ya ubaradhuri au kuleta tabia za vijiweni au unafiki wa kujuana au cheo cha mtu

Read 👇 between the lines

TAR 9 JAN JIRAN YANGU ANGLE .MOSHI ALIPATA AJALI MASANA HOSPT....NA PIKPIK

AKAKIMBIZWA NA WASAMARIA WEMA NA BAJAJI DK WA ZAMU LUGALO AKAITA WAHUSIKA PMBEN KUKAWA NA KADALILI CHA KUOMBA RUSHWA AKAJULISHWA HUU N MSAADA TUMEMPA WAHUSIKA WANAKUJA .....

DK AKAKATAA KUMPOKEA NA KUDAI BILA PF 3 APOKELEWI..

MMOJAWA WALIOMSAIDIA AKAOMBA APOKELEWE AHUDUMIWE ANAENDA LETA PF 3..DK AKAGOMA KABISA BAJAJI ILE IKAMPELEKA PALESTINA HOSPT

HUKO MAUTI IKAMKUTA..........
 
Back
Top Bottom