kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Unakwama wapi sasa hivi mbunge mmoja anakosoa juu ya maamuzi ya Freeman mbowe kuongea ongea ovyo kwenye vyombo vya habari juu ya janga la coronaHuku dstv haipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakwama wapi sasa hivi mbunge mmoja anakosoa juu ya maamuzi ya Freeman mbowe kuongea ongea ovyo kwenye vyombo vya habari juu ya janga la coronaHuku dstv haipo.
Cheki tbc 2
Ni TBC 2 mkuu sio onembona TBC kuna katuni ya Akili
Mzee Mgaya amejikita kwenye utafiti wa tiba ya hili janga linaloitesa dunia bwashee!Mzee Mgaya yupo kimya sana. Mwambie tunahitaji ushauri wake. Ana ushauri mzuri sana.
Daah Kweli aisee nimekwama mzee babaUnakwama wapi sasa hivi mbunge mmoja anakosoa juu ya maamuzi ya Freeman mbowe kuongea ongea ovyo kwenye vyombo vya habari juu ya janga la corona
Ni kweli kabisa Mkuu, hii ya bunge letu sijui hata tuuiteje kwa kuwa haiakisi maana halisi ya neno bajeti na kibaya zaidi ni hicho cha kufanya matumizi nje ya bajeti.Na mara zote tunakisia makisio baab kubwa kwa kuongeza au kubadilisha tarakimu kadhaa hasa hasa Zero kwenye Excel sheets bila kuangalia uhalisia mitaani...!!
Mwisho tunajikuta tuna "paper-tiger" nzuri sana isiyoweza kutekelezeka!!
Alafu kwa miaka ya hivi karibuni tumekithiri kufanya matumizi mengi yaliyo nje ya bajeti (kwa maelekezo toka juu)!!
Amevaa na wabunge wote wamevaa!
Hivi ni kweli na barakoa zinatoka nje ya nchi kwaniSasa hizo ndio tuliambiwa zimenyunyuziwa virus vya corona na mabepari? Au kila mtu ameamua kumwona yule bwana mshamba (Nape)?
Kwani kujifukiza kuna mtu analazimishwa waache watapewa panadol mambo ya kizungu tu.wabunge wanakosoa kujifukiza,wametoa athari za kitaalamu za kujifukiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama last year aliidhinishiwa 100% lakini akaishia kupata only 15% .kuna tofauti gani this time ?! .
Odhis *
Wabunge leo wamechafukwa kila anaepewa nafasi lazima atumie dakika moja kumjadili mbowe..