Waziri wa afya unayajua haya ya Ludewa?

Waziri wa afya unayajua haya ya Ludewa?

Nduna shujaa

Senior Member
Joined
Aug 14, 2022
Posts
163
Reaction score
134
Kwanza pokea pongezi za dhati nimepita wilayani ludewa mwezi uliyopita nimeona eneo la hospitali ya wilaya ni kubwa na majengo ya watumishi.

Ujenzi wa jengo la mochwari unaendelea hongera. Lakini pamoja na pongezi sasa nataka kukusoa utendaji wa baadhi ya wahudumu pale yani wagonjwa unakuta wamepanga foleni kwenye mabenchi hata nusu saa au dk45 dokta hayupo na haeleleweki wapi kaenda wapi, mbaya zaidi hata tarifa tu hakuna.

Wagonjwa wanatoka nje kupunga upepo wakati wanamsubiri.Ichunguzeni hospitali hiyo na utendaji wake.Watu wanalipwa mshahara wawatumikiye watu.

Ndiyo mana hospital binafsi zinawazidi.
 
Maeneo yale sidhani kama kuna hospitali binafsi ndio maana wagonjwa wanakuwa wanakomaa vile kwenye foleni.
Hospitali kubwa ni za mashirika ya dini tu zilizopo Milo na Lugarawa.
 
Maeneo yale sidhani kama kuna hospitali binafsi ndio maana wagonjwa wanakuwa wanakomaa vile kwenye foleni.
Hospitali kubwa ni za mashirika ya dini tu zilizopo Milo na Lugarawa.
Haswa kwakweli huko misheni ndiko wanakokusifia.
 
Lakini pamoja na pongezi sasa nataka kukusoa utendaji wa baadhi ya wahudumu pale yani wagonjwa unakuta wamepanga foleni kwenye mabenchi hata nusu saa au dk45 dokta hayupo na haeleleweki wapi kaenda wapi, mbaya zaidi hata tarifa tu hakuna.

Wagonjwa wanatoka nje kupunga upepo wakati wanamsubiri.Ichunguzeni hospitali hiyo na utendaji wake.Watu wanalipwa mshahara wawatumikiye watu.
Lakini Ludewa kuna wataalamu wengi wa jadi mmeshindwa kuwafanya mbadala wa hilo tatizo
 
Lakini Ludewa kuna wataalamu wengi wa jadi mmeshindwa kuwafanya mbadala wa hilo tatizo
wanatisha kule ktk jadi waliwahi kumlaza mkuu wa wilaya chooni hadi mkewe akaondoka kuogopa balaa.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Wakinga kwa ulozi balaa
Kule ni wapangwa mkuu
 
Back
Top Bottom