Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Waziri wa Afya nadhani umeona kauli ya RC. Naamini huo siyo msimamo wa CCm na serikali yake. Wewe kama Waziri mwenye dhamana unapaswa aidha kukemea au kuweka taarifa sawa la sivyo haya maelekezo ya RC yanakwenda kuwa msimamo wa watumishi wa afya kuanzia mjini hadi kijijini.
Kumbuka RC amesema kama huna pesa ya matibabu kaa kimya usijisumbue kwenda kwenye vyombo vya habari. Amekoleza kwamba kulalamika kwa kukosa pesa ni kufanya siasa.
Tunatambua wapo watu hata mlo mmoja kwao ni shida, hakuna mtu angependa kumwacha mpendwa wake afe na fedha anazo. Wenye fedha wapo private hospitals. Tupe msimamo wa serikali pls
Kumbuka RC amesema kama huna pesa ya matibabu kaa kimya usijisumbue kwenda kwenye vyombo vya habari. Amekoleza kwamba kulalamika kwa kukosa pesa ni kufanya siasa.
Tunatambua wapo watu hata mlo mmoja kwao ni shida, hakuna mtu angependa kumwacha mpendwa wake afe na fedha anazo. Wenye fedha wapo private hospitals. Tupe msimamo wa serikali pls