Waziri wa Ardhi Angelina Mabula ameshindwa kutoa mchanganuo wa posho za bilioni 47? Lukuvi alificha udhaifu wake au anamhujumu chinichini?

Waziri wa Ardhi Angelina Mabula ameshindwa kutoa mchanganuo wa posho za bilioni 47? Lukuvi alificha udhaifu wake au anamhujumu chinichini?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Huyu Waziri namshangaa, anaacha " ombwe" la taarifa kwa nini? Anashindwa kuwaeleza wabunge mchanganuo wa posho hizo? Mpaka Benki ya Dunia wanazikubali, ni mchakato mrefu, na uchanganuzi wa wazi, anakwama wapi?

Kama yatatokea mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, namtabiria kuhamishwa wizara, au kuachia uwaziri.

Kwa nini hakuandaa seminar kwa wabunge kuwaelewesha kiundani kuhusu mradi, kipengele kwa kipengele?

Lukuvi alificha "madhaifu" yake? Au kamua dalia watu wa kumvuruga?
 
Huyo ndiyo Dr wa philosophy, kazi tunayo,nimeona hata MwenyeKiti wa kamati na wabunge,wanazozana wakati wa kupitisha Bajeti (Chanzo ITV habari saa 2usiku). Kitendo ambacho hakileti Afya kwa Bunge letu
 
Mh. Angelina Mabula hakustahili kuongoza wizara hii nzito lakini kubwa mno, bado naamini uwezo wake ni kua Naibu waziri kwenye wizara yeyote ile. Jinsia yake pekee ndicho kinachombeba uwezo na maono ya kiuongozi hana
 
Nishaanza kutowaamini wanawake kwenye maswala ya uongozi.. nachowaza huwenda naibu anaandaliwa kushika kiti ili Sasa aanze kupikwa,kuwekwa na kuja kufanywa msemaji wa mwisho ktk nchi!
 
Dr. Angelina Mabula hatasahau maishani mwake siku ya leo. Wambadilishe Wizara haraka sana. Kweli amepwaya.
 
Wizara yakupitishia pesa za wizi, mgao kama kawa utaanzia juu mpaka chamani.
 
Back
Top Bottom