Yote yamekamilika ndani ya mawazo yako!Anaonekana bishoo sana huyu jamaa...vile vislay queen vya yudizim vitakuwa vinamkoma,usisahau dereva ndo kuwad[emoji41] anafanya kuletewa tu pale nefaland
Mkuu enzi hizo nahaso bado nishafanya hizo kazi,ndo maana nikasema hivyo. Sijui kama mpaka sasa huwa wanafanya hivyo au la
Mahindi yatoke songea, /rukwa kwenda DRC, uyapitishie ziwa Tanganyika? Huo umbali unaujua lakini? Kutoka songea /rukwa hadi, kigoma? Na huko pia inategemea unayapeleka pande ipi, labda kama ni KALEMII, na UVILA. Bado njia ya zambia kuingilia tunduma ni karibu zaidi... kwanini mizigo kwenda DRC ipitie Zambia wakati tuna njia m'badala? Huu ndio muda wa kulitumia L. Tanganyika vilivyo!
Hujaelewa nini hapo? Mbona kasema amewasiliana naeMaswala kama hayo yanaitaji diplomasia na utulivu wa akili na sio nguvu,Cha msingi akutane na muhusika kwa upande wa zambia ili kuweka mambo sawa na si kufanya maamuzi ya jazba,
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu ni wapuuzi sana. Anaesema kuwa ni bishoo unaweza kuta bado yupo kwa mama. Tuwasamehe tu brotherWapi kakunja mdomo? Wakuu mbona mnachunguzaga hata vitu vilivyo nje ya mada?
Sent using Jamii Forums mobile app