Waziri wa Elimu anafanya kazi gani mpaka baadhi ya mambo ayatolee maamuzi Rais?

Waziri wa Elimu anafanya kazi gani mpaka baadhi ya mambo ayatolee maamuzi Rais?

Huyu mama yeye anachofanya ni kuongeza tu grade point za passmark kwa form 6 na form 4 yaani yeye yuko pale kufanya hilo tu ndio alilofanya wakati anaingia madarakani awamu ya 5 kuondoa tu ile GPA Baada ya hapo katulete vile vitabu vya ajabu Ajabu yaani yeye toka amerekebisha marks za ufaulu hajaona kama kuna shida nyingine kwenye elimu zaidi ya kuwafukuza wanafunzi wanao dai mikopo ya elimu ya juu kwa kisingizio kwamba hawawezi kumgusa hii nchi inahitaji mabadiliko makubwa sana

Ndio maana nilimpenda jana Uhuru Kenyatta alisema

Sasa kama mawaziri wanasubiri kuambiwa wafanye hivi kuna haja gani au maana gani ya kuendelea kua waziri si bora waondoke kwasababu yeye anafanya kazi kwa niaba ya serikali inamaana yeye anamuwakilisha raisi sasa kama kila kitu afikirie raisi aseme yeye atekeleze kuna haja gani ya kua na waziri ambaye hayupo creative kuwaza wapi kuna shida nitatue

Hata kama bosi wao hua anazingua basi wawe wanampelekea kwanza proposal wakubaliane halafu waje hapa kututangazia sasa kama tutasubiri TUCTA waende siku ya wafanyakazi kuomba mshahara uongezwe na waziri wa elimu pamoja na TAMISEMI wapo hawakuona haja ya mishahara kuongezwa kwa watumishi wanafanya nini paleeeee?
Inashangaza sana pamoja na kuprove failure bado anarejeshwa kwenye wizara hiyo hiyo ambayo haina mwelekeo wowote.

How on earth unakaa miaka 7 wizara moja na usiwe na impact yoyote?
 
Mpaka apate maagizo kutoka juu, kirahisi rahisi tu hivyo peke yake hawezi hadi boss wake atoe tamko.

Kuijua siasa ya bongo inabidi ujitoe ufahamu kidogo.
Mkuu tatizo ni kuwa na maprofesa uchwara na wanyenyekea vyeo. How come waziri mzima unasikia malalamiko daily but unashindwa hata kuunda team ndogo ikusaidie kufanya utafiti wa hali halisi kuhusu hiyo issue ili uitumue kumshawishi hata Waziri mkuu basi ikiwa kumu approach rais anaogopa?? Bora hoja yako ikataliwe leo but kuna siku itaonekana ya maana na itafanyiwa kazi, kuliko fedheha ya mkuu wa nchi kuingilia kati na kukusaidia kazi wakati wewe upo.
 
Hili suala sio wewe mwenyewe unayelishangaa ni watu wote makini wanamshangaa huyu Waziri wa Elimu

Yaani yeye huwa anasubiri kuendeshwa na remote controller. Anapewa maagizo halafu baada ya siku mbili anatangaza kutekeleza.

Sio bure nayeye alikuwa anakula mgao wa Retention fee ya HESLB ile 6% na penalty ya 10% kwasababu hatahivyo hizo pesa hazijulikani zilikuwa zinaenda wapi exactly.

Hili la retention fee na penalty yeye hakuona kuwa ni uonevu na mzigo kwa mtanzania masikini anayemaliza chuo na kukaa miaka 8 bila ajira?

Huyu Mama anashangaza sana tangu wakati wa JPM.
[emoji1666][emoji106][emoji1666]
 
Je, kama waziri ndo alipeleka mawazo ya wadau kwa Raisi unajuaje? Sio kila anachosema Raisi kinatoka kwake mwenyewe vingine ni mawaziri au wasaidizi mbalimbali

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tumeshasikia majibu yake bungeni mara nyingi tuu akipinga na kudai ni lazima watu walipe, wala hajawahi kusema tutalifanyia kazi. Huyu hii wizara imemshinda angerudishwa huko alikokuwa.
 
Tumeshasikia majibu yake bungeni mara nyingi tuu akipinga na kudai ni lazima watu walipe, wala hajawahi kusema tutalifanyia kazi. Huyu hii wizara imemshinda angerudishwa huko alikokuwa.
Atakuwa ni mnufaika wa hizi hela
 
Back
Top Bottom