Ndugu wanna jamvi kuna changamoto inatokea kwa baadhi ya walimu kutokupewa vipaumbele kabsa.
Kuna vijana wamehitimu udom 2015 wakiwa wamesoma computer studies na masomo ya sanaa ila wamebaguliwa kila ajira.
Serikali inatoa kipaumbele kwa Chinese language unaacha computer studies?
Je, mbona kuna shule zinafundisha masomo hayo tatzo ni nini?
Waziri wa elimu kuna tatzo hapa naomba ufatilie Jambo hili.
Kuna vijana wamehitimu udom 2015 wakiwa wamesoma computer studies na masomo ya sanaa ila wamebaguliwa kila ajira.
Serikali inatoa kipaumbele kwa Chinese language unaacha computer studies?
Je, mbona kuna shule zinafundisha masomo hayo tatzo ni nini?
Waziri wa elimu kuna tatzo hapa naomba ufatilie Jambo hili.