Mimi mwanangu alishawahi kurudishwa kisa hakumalizia70000 ,sasa shule zilifungwa walikuwa wanadai laki NNE,tutaenda katana huko kwenye ada,ka walishindwa kunivumilia70000 Mimi nitawezaje kulipia kitu ambacho mwanangu hakutumia,katika400000 kuna chakula na malazi ,