Waziri wa Elimu, toa tamko kuhusu wanafunzi kubaki shuleni wakati wa likizo

Waziri wa Elimu, toa tamko kuhusu wanafunzi kubaki shuleni wakati wa likizo

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Niende kwenye hoja moja kwa moja kesho shule zinafungwa kwa ajiri ya mapumziko ya kumaliza mhula wa kwanza wa masomo kwa mwaka 2023, wazazi tunaitaji watoto wetu likizo waje wapumzike hatuitaji sijui mtoto yupo darasa la mitihani hafungi shule hii kasumba imeshamiri sana na kimekuwa kichaka cha upigaji shule binafsi hata za serikali

Siku za masomo zinajulikana zipo kwenye kalenda inakuwaje mtoto aongezewe siku chonde chonde tunaomba watoto wetu waje majumbani wakae na bibi na babu, shangazi na mjomba nk waone wazazi wao mikopo kausha damu inavyotutesa waone shida na dhiki za mtaa ili wakirudi wasome kwa uchungu

Waziri Ummy Mwalimu kipindi yupo TAMISEMI alikataza hii kitu iweje imerudi, kama kufauru mtoto akifundishwa atafaulu tu kwa siku za masomo, waje tukae nao tujue mienendo yao tabia walizojifunza uko shule je ni rafiki kwa jamii zetu

======

UPDATES

=====

 
Mwaka jana anapo soma kijana wangu darasa la sita walileta hizi pigo, mzee nilienda nikamchukua mwanangu bila kuhitaji maelezo akaja likizo kupumzika. Na shule zilipo funguliwa nikamrudisha bila mazungumzo.
Cha ajabu ni kwamba kwenye mtihani wa muhula huu wa kwanza amewanyoosha wale waliobaki shuleni kwa kisingizio cha candidates.
 
We si umzuie tu asiende
Sio suala la kumzuia ni mwongozo wa wizara ya elimu kwamba siku za kuhudhuria masomo ni tuseme, 198 siku zinazobaki ni weekend, sikukuu na siku za likizo, sijui kwa nini walimu wakuu wanapingana na anateandaa mitaala
 
Hutaki mtoto wako abaki shuleni wakati wa likizo kamchukue, hakuna shule inalazimisha watoto kubaki.

Kipindi cha likizo kumuacha mtoto shuleni ni uamuzi wako.
Sheria inamtaka mwanafunzi akapumzike wakati wa likizo na sheria inamtaka mwanafunzi ahudhurie masomo siku za masomo
 
Watanzania tuna mihemuko. Umelazimishwa abaki? Kama lazima nenda kwa afisa elimu mkoani au wilayani. Kuhitaji kwa vile wewe una penda kuangalia mpira wote wanangalie ni utumwa.
 
Niende kwenye hoja moja kwa moja kesho shule zinafungwa kwa ajiri ya mapumziko ya kumaliza mhula wa kwanza wa masomo kwa mwaka 2023, wazazi tunaitaji watoto wetu likizo waje wapumzike hatuitaji sijui mtoto yupo darasa la mitihani hafungi shule hii kasumba imeshamiri sana na kimekuwa kichaka cha upigaji shule binafsi hata za serikali

Siku za masomo zinajulikana zipo kwenye kalenda inakuwaje mtoto aongezewe siku chonde chonde tunaomba watoto wetu waje majumbani wakae na bibi na babu, shangazi na mjomba nk waone wazazi wao mikopo kausha damu inavyotutesa waone shida na dhiki za mtaa ili wakirudi wasome kwa uchungu

Waziri Ummy Mwalimu kipindi yupo TAMISEMI alikataza hii kitu iweje imerudi, kama kufauru mtoto akifundishwa atafaulu tu kwa siku za masomo, waje tukae nao tujue mienendo yao tabia walizojifunza uko shule je ni rafiki kwa jamii zetu

======

UPDATES

=====

Sema we mwamba ni Ticha..🤣😂🤣😂🤣
Unataka uende likizo..😂😂😂😂

Fundishaga tu
 
Watanzania tuna mihemuko. Umelazimishwa abaki? Kama lazima nenda kwa afisa elimu mkoani au wilayani. Kuhitaji kwa vile wewe una penda kuangalia mpira wote wanangalie ni utumwa.
Suala ni sheria sio ridhaa au maamuzi ya kila mtu kivyake
 
Hutaki mtoto wako abaki shuleni wakati wa likizo kamchukue, hakuna shule inalazimisha watoto kubaki.

Kipindi cha likizo kumuacha mtoto shuleni ni uamuzi wako.
Hapana ni policy ya Elimu na inatakiwa iwe ni sheria na siyo option right?? Watoto ni lazima wapumzike!!!
 
Mwaka jana anapo soma kijana wangu darasa la sita walileta hizi pigo, mzee nilienda nikamchukua mwanangu bila kuhitaji maelezo akaja likizo kupumzika. Na shule zilipo funguliwa nikamrudisha bila mazungumzo.
Cha ajabu ni kwamba kwenye mtihani wa muhula huu wa kwanza amewanyoosha wale waliobaki shuleni kwa kisingizio cha candidates.
Unaona sasa!! Kupumzika husaidia ku charge ubongo...
 
Mwaka jana anapo soma kijana wangu darasa la sita walileta hizi pigo, mzee nilienda nikamchukua mwanangu bila kuhitaji maelezo akaja likizo kupumzika. Na shule zilipo funguliwa nikamrudisha bila mazungumzo.
Cha ajabu ni kwamba kwenye mtihani wa muhula huu wa kwanza amewanyoosha wale waliobaki shuleni kwa kisingizio cha candidates.
Acha majigambo
 
Back
Top Bottom