Tulimaliza Chuo tangu Nov, 2017.
Ilipofika June 2018 Vyeti vikagawiwa kwa Wahitimu wote, lakini katika Vyeti vile kulikuwa na makosa ya kukosewa majina baadhi ya Wahitimu, tukaambiwa na Mkuu wa Chuo kuwa wote ambao majina yetu yalikosewa yatupasa tujiorodheshe baada ya miezi mitatu tukachukue.
Tangu June 2018 hadi hii leo 13 Nov. 2019 hakuna vyeti, kila ukienda unaambiwa bado.
KATIKA AJIRA tunashindwa kuomba kazi katika Makampuni kwasababu hatuna vyeti, ndugu Waziri je hii ni haki?
Tumemaliza Diploma mwaka wa tatu sasa vyeti mpaka sasa hatujapewa.
Ilipofika June 2018 Vyeti vikagawiwa kwa Wahitimu wote, lakini katika Vyeti vile kulikuwa na makosa ya kukosewa majina baadhi ya Wahitimu, tukaambiwa na Mkuu wa Chuo kuwa wote ambao majina yetu yalikosewa yatupasa tujiorodheshe baada ya miezi mitatu tukachukue.
Tangu June 2018 hadi hii leo 13 Nov. 2019 hakuna vyeti, kila ukienda unaambiwa bado.
KATIKA AJIRA tunashindwa kuomba kazi katika Makampuni kwasababu hatuna vyeti, ndugu Waziri je hii ni haki?
Tumemaliza Diploma mwaka wa tatu sasa vyeti mpaka sasa hatujapewa.