minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Baada ya mashule kufungwa kupisha corona ipite zile Gari za kubeba wanafunzi maarufu kama school nyingi zilipaki majumbani, lakini baada ya mashule kufunguliwa wamiliki wa mashule wameamua kutumia mabasi machache kubana matumizi matokeo yake ni watoto kubanana sana mpaka wengine kukaa chini kukwepa mkono wa Trafik
Kibaya zaidi watoto wa darasa la kwanza wasiojua kujikinga na barakoa hukalishwa chini kwenye Vumbi lakini wale wakubwa wa darasa la tano sita hukaa kwenye viti. Ni hatari kubwa watoto wadogo kuteswa kwani ni wepesi kupata maambukizi ya COVID-19
Kuna baadhi ya maofisa Elimu ni wamiliki wa mashule najua wakiona Uzi huu watalifanyia kazi haraka ingawa si kwa wepesi kutokana na Waziri wa Elimu kuwa busy na kampeni kusahau kuwa kuna maambukizi ya Corona kwenye school bus.
Kibaya zaidi watoto wa darasa la kwanza wasiojua kujikinga na barakoa hukalishwa chini kwenye Vumbi lakini wale wakubwa wa darasa la tano sita hukaa kwenye viti. Ni hatari kubwa watoto wadogo kuteswa kwani ni wepesi kupata maambukizi ya COVID-19
Kuna baadhi ya maofisa Elimu ni wamiliki wa mashule najua wakiona Uzi huu watalifanyia kazi haraka ingawa si kwa wepesi kutokana na Waziri wa Elimu kuwa busy na kampeni kusahau kuwa kuna maambukizi ya Corona kwenye school bus.