Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba afafanue kwanini tunakopa kulipa deni

Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba afafanue kwanini tunakopa kulipa deni

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Binafsi naamini huku mtaani hata mtu binafsi ukifikia hatua ya kukopa Ili kulipa deni unakuwa umefikia point of no return. So how on Earth kama nchi tumefikia hapo . Je hii ni hali ya kawaida? Tushawahi kufika hatua hiyo before?

Madeni ni hulka ya mtu, mtaani kuna watu hawaogopi madeni ila naamini kuwa na madeni ni sensitive issue na tunahitaji kuwa na discussion ya kina. Tukope ila tuwe alert na si kuimba mapambio ya madeni kumbe ni siasa tumeingizwa kama jamii.

Binafsi haijaniingia akilini na naomba wenye uelewa zaidi wanitoe tongotongo .
 
Binafsi naamini huku mtaani hata mtu binafsi ukifikia hatua ya kukopa Ili kulipa deni unakuwa umefikia point of no return. So how on Earth kama nchi tumefikia hapo . Je hii ni hali ya kawaida ? Tushawahi kufika hatua hiyo before ? Madeni ni hulka ya mtu , mtaani kuna watu hawaogopi madeni ila naamini kuwa na madeni ni sensitive issue na tunahitaji kuwa na discussion ya kina .tukope ye ila tuwe alert na si kuimba mapambio ya madeni kumbe ni siasa tumeingizwa kama jamii. Binafsi haijaniingia akilini na naomba wenye uelewa zaidi wanitoe tongotongo .
Utoto bhana.

Kwa akili zako unadhani Mwigulu ndio waziri wa fedha pekee aliyewahi kukopa?

Yeye kakopa1.3T. Unadhani hiyo 70+T tunayodaiwa ilikopwa lini na kina nani?
 
Utoto bhana.

Kwa akili zako unadhani Mwigulu ndio waziri wa fedha pekee aliyewahi kukopa?

Yeye kakopa1.3T. Unadhani hiyo 70+T tunayodaiwa ilikopwa lini na kina nani?
Stupid reaction ever. Awamu ya sita inawakilisha awamu zote zilizopita. Once Hangaya alisema sifa za awamu zote zilizopita zinamwangukia sasa kwa sababu zinaonekana leo akiwa madarakani.

same hawezi kubeba sifa bila kuchukua na viambata vyake. Serikali zote ni za ccm collective responsibility inanambia inabidi awamu hii iwe responsible na matokeo yote ya tangu Uhuru maana hayapo matokeo yaloketwa na chadem . If you didn’t get my concept pls learn to shut up
 
Stupid reaction ever. Awamu ya sita inawakilisha awamu zote zilizopita. Once Hangaya alisema sifa za awamu zote zilizopita zinamwangukia sasa kwa sababu zinaonekana leo akiwa madarakani .same hawezi kubeba sifa bila kuchukua na viambata vyake. Serikali zote ni za ccm collective responsibility inanambia inabidi awamu hii iwe responsible na matokeo yote ya tangu Uhuru maana hayapo matokeo yaloketwa na chadem . If you didn’t get my concept pls learn to shut up
We lazima utakuwa mgogo.

Subiri mama akushughulikie...

Kiboko ya mgogo ni mwanamke
 
Mwigulu inawezekana ama hatoshi kwenye wizara hii, ama serikali ina mifumo ya hovyo kama ulivyo utendaji kazi katika ofisi zake nyingi.

Llinalonipa wasiwasi ni pale aliposema "Hakuna mwananchi atalipa deni, bali serikali ndiyo italipa". Serikali inapata wapi fedha za kulilpa? Hii ama ni dharau kwa Watanzania na kuwaona ni malofa na wapumbavu wasiojielewa, ama ni mzani wa Mh. unahitaji uzito zaidi.

Lakini this is serious!. Nani washauri wa mama kwa masuala ya fedha? Nini nafasi ya BoT, katika hili suala la fedha na maendeleo? Ni kweli tutegemee busara ya kutusogeza mbele kutoka wizara ya fedha iliyojaa ujambazi wa kutisha?

Suala hili linahitaji mjadala wa kina.
Binafsi naamini huku mtaani hata mtu binafsi ukifikia hatua ya kukopa Ili kulipa deni unakuwa umefikia point of no return. So how on Earth kama nchi tumefikia hapo . Je hii ni hali ya kawaida ? Tushawahi kufika hatua hiyo before ? Madeni ni hulka ya mtu , mtaani kuna watu hawaogopi madeni ila naamini kuwa na madeni ni sensitive issue na tunahitaji kuwa na discussion ya kina .tukope ye ila tuwe alert na si kuimba mapambio ya madeni kumbe ni siasa tumeingizwa kama jamii. Binafsi haijaniingia akilini na naomba wenye uelewa zaidi wanitoe tongotongo .
 
tumesikia imekopwa zaidi ya t10 ila wao wamejikita kutolea ufafanuzi wa 1.3 nahapa ndopenye tatizo
Af watakandia Magufuli alikopa kimya kimya! Hio mikopo yenu ya 10T imefanyia nini mbona kila siku mnasingizia madarasa😅?

Hayo madarasa ya 10T si yangekuwa yamezagaa kila kona ya mtaa! Sababu si chini ya madarasa 100K yangejengwa na hizo T!

Kwa Trillion 1 tu inasimamisha madarasa 10,000 bila tatizo kabisa in case hamna ufisadi!

Tozo ni almost 100B kila mwezi ina maana kuna uwezekano wa kujenga madarasa 1000 kila mwezi ndani ya miezi 10 tu ishu ya madarasa ikawa historia.
 
Binafsi naamini huku mtaani hata mtu binafsi ukifikia hatua ya kukopa Ili kulipa deni unakuwa umefikia point of no return. So how on Earth kama nchi tumefikia hapo . Je hii ni hali ya kawaida...
.... ajabu sana haya mambo walipa kodi huwa hatuambiwi! Tukiambiwa sana ni habari za mikopo nafuu isiyo na riba kuwaletea wananchi maendelo ila habari za kukopa kulipa madeni sidhani kama kuna mpiga kura anayejua haya mambo! Yule mwingine ndio kabisa mikopo aligeuza "fedha za ndani"!
 
Utoto bhana.

Kwa akili zako unadhani Mwigulu ndio waziri wa fedha pekee aliyewahi kukopa?

Yeye kakopa1.3T. Unadhani hiyo 70+T tunayodaiwa ilikopwa lini na kina nani?
Swali ni kwa nini wanakopa ili walipe?? Hayo mengine ni maelezo yako binafsi
 
Utoto bhana.

Kwa akili zako unadhani Mwigulu ndio waziri wa fedha pekee aliyewahi kukopa?

Yeye kakopa1.3T. Unadhani hiyo 70+T tunayodaiwa ilikopwa lini na kina nani?

Weeh ilokopwa ni 10 Trilion
 
Hapa naona Haganya amechemsha sema anaupepo wa kupendwa tu ndicho kinamsaidia.
 
Back
Top Bottom